Mapenzi ya hapa bongo yanahitaji uwe na emotional intelligence ya kutosha tafuta mke ambaye utaweza kuacha ili uweze kuandelea na maisha mengineKabisaa ukijifanya mbishi utazidi kumumia
Mimi kipindi natafuta mlango wa kutokea niliangaika sana nifanyeje ila nashukuru kuna mtu alinisaidia sana nilianza taratibu sana
Kabla ya yote nilimwita nizungumze nae nilijifanya Lofa ili nijue msimamo wake
Nilivyogundua hapa napoteza muda nilianza taratibu mnoo huku nikimwomba mungu anivushe hatua hiii
Umeshindwa kuniheshimu mimi, mahitaji yangu sasa na pesa yangu uidharau?Hata Mimi ningefoka ungesubiri hata baadae kidogo sasa wewe hapohapo[emoji23]
Basi hapo hujapenda upo unazuga tu, lakini ukimpenda mtu kweli na akiulizia kula Mzigo lazima utafurahi na utamuwaishia kula Mzigo,lakini ukifoka huyo utakua unamzuga tu!!Hata Mimi ningefoka ungesubiri hata baadae kidogo sasa wewe hapohapo[emoji23]
Uzuri mmoja wanawake wanakuwa wajinga sana kwenye uchaguzi, namaanisha kwenye kuchagua wenza. Unaweza ukampenda ukampa kila kitu mpaka usafiri chakushangaza akamthamini dereva bajaji kuliko wewe, ndio maana mapenzi yangekuwa utajiri Afrika tungekuwa namba moja. Ila chamsingi HAKUNA MWANAUME AU MWANAMKE ALIYESHINDANA NA MAPENZI AKASHINDA TOKA DUNIA IANZE MPAKA KESHO.Alafu unakuta umetumia nguvu ya pesa nyingi kua nae,lakini mwenyewe hata habari na wwe hana! Hapo ndiyo naaminigi kua Mapenzi siyo pesa,maana hao wenye pesa ndiyo wanateswa sana na Mapenzi ukilinganisha na watu wa vipato vya chini!!
Sasa si ungeomba hata kabla ya kutuma pesa..... I'm not saying she was right kutokukuheshimu na mengine nimesema tu hata Mimi ungenitumia pesa halafu unaambatanisha na maombi ningechukia tuUmeshindwa kuniheshimu mimi, mahitaji yangu sasa na pesa yangu uidharau?
Yani huna kazi nakuhudumia all ur luxury needs for months afu unanipangia muda wa kuomba mzigo? Inabidi nikukumbushe majukumu yako naona kama umesahau ilhali unahakikisha natimiza yangu.
Foka basi. Ukimaliza anza utaratibu wa kutafuta boya jipya maana hili umelitia msumari.
Sijakataa lakini inategemea unaombwa kivipiBasi hapo hujapenda upo unazuga tu, lakini ukimpenda mtu kweli na akiulizia kula Mzigo lazima utafurahi na utamuwaishia kula Mzigo,lakini ukifoka huyo utakua unamzuga tu!!
Hahahah hio ilinikutaga first heartbreak. Kwa sasa dah hapana sitaki hata kukumbuka.Achaaa kabisa Hebu fikiria mwanamke wako hata kuongozana na wewe njia moja hatakiii .
Sikuomba, nilikumbusha that it has been a while, do something about it.Sasa si ungeomba hata kabla ya kutuma pesa..... I'm not saying she was right kutokukuheshimu na mengine nimesema tu hata Mimi ungenitumia pesa halafu unaambatanisha na maombi ningechukia tu
Hahahah hamna namnaAlafu unakuta umetumia nguvu ya pesa nyingi kua nae,lakini mwenyewe hata habari na wwe hana! Hapo ndiyo naaminigi kua Mapenzi siyo pesa,maana hao wenye pesa ndiyo wanateswa sana na Mapenzi ukilinganisha na watu wa vipato vya chini!!
[emoji3][emoji3][emoji3]Hata sio kweli, unaweza ukawa na mwanaume unampenda kwa dhati, na wala huna hata hisia za kumsaliti ila yeye akaanza kukufanyia vituko kumbe kaishakuchoka anakutafutia sababu, sasa kwa kuwa sisi ni watu wa hisia sana tunakuwa tumeshajua ukweli inabidi ujiondoe kimyakimya tu kuepusha malumbano.
Na hasa hasa hii hutokea pale mwanaume anapopata vijisenti mbuzi, anaona hee huyu wa kazi gani hanifai ngoja nitafute mpya, kasheshe ni pale vihela vilikiliwa na huyo mpya zikaisha halafu eti linarudi kwangu na mapumbuu tu, ndo siku hiyo utatamani ardhi ipasuke kitu nakufanyia siku hiyo[emoji57][emoji57]
Tatizo kubwa nililogundua me wengi wanampenzi mmoja hali ya kuwa lolote linapotokea basi uumizwa vibaya sana isitoshe unakuta mtu anaonyesha upendo laivu kwa mtu wake mwisho wa siku mademu zetu wanaleta dharau, vitabu vitakatifu vinatuambia tuishi nao kwa akili
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Yes brother na hapo ndipo nilipokosea
Yaani nilivyojifanya mzee wa kuomba msamaha
Mzeee wa upendo kumbe ndo nazidi kumpa moto wa kuniona mimi boya
Hahahah wote huwa mnafanyiana hayo, at times mwanaume yuko broke kuna wanawake huwa wanakimbia.Hata sio kweli, unaweza ukawa na mwanaume unampenda kwa dhati, na wala huna hata hisia za kumsaliti ila yeye akaanza kukufanyia vituko kumbe kaishakuchoka anakutafutia sababu, sasa kwa kuwa sisi ni watu wa hisia sana tunakuwa tumeshajua ukweli inabidi ujiondoe kimyakimya tu kuepusha malumbano.
Na hasa hasa hii hutokea pale mwanaume anapopata vijisenti mbuzi, anaona hee huyu wa kazi gani hanifai ngoja nitafute mpya, kasheshe ni pale vihela vilikiliwa na huyo mpya zikaisha halafu eti linarudi kwangu na mapumbuu tu, ndo siku hiyo utatamani ardhi ipasuke kitu nakufanyia siku hiyo[emoji57][emoji57]
Wengine hatuna hela ya kumaintain warembo watatu. La sivyo hutofanya maisha yako ili uwe bingwa wa mapenzi. Mimi ni kimasihara mpaka hali ikae sawaWee ndio umeongea point...cha msingi nikiwa na warembo watatu. Akizingua mmoja una sehemu ya kujipoza
Haaaa haaaa mbona pumbuma [emoji23]Hata sio kweli, unaweza ukawa na mwanaume unampenda kwa dhati, na wala huna hata hisia za kumsaliti ila yeye akaanza kukufanyia vituko kumbe kaishakuchoka anakutafutia sababu, sasa kwa kuwa sisi ni watu wa hisia sana tunakuwa tumeshajua ukweli inabidi ujiondoe kimyakimya tu kuepusha malumbano.
Na hasa hasa hii hutokea pale mwanaume anapopata vijisenti mbuzi, anaona hee huyu wa kazi gani hanifai ngoja nitafute mpya, kasheshe ni pale vihela vilikiliwa na huyo mpya zikaisha halafu eti linarudi kwangu na mapumbuu tu, ndo siku hiyo utatamani ardhi ipasuke kitu nakufanyia siku hiyo[emoji57][emoji57]
From my POV wanawake hasa yule anayekupenda huwa wanachukia mwanaume wake amtumie hela then unakumbushia sex it's like you are buying goods from me.... Jaribu kukumbushia katika mazingira ambayo hayahusiani or hayatakuwa associated na pesa. Okay may be kuchukia is a strong word the right one is irritationSikuomba, nilikumbusha that it has been a while, do something about it.
Btw kuna uhusiano gani? By your logic ningemkumbusha afu nikatuma si yale yale tu kama namshinikiza?
How is the former better?