Kamwe usijaribu kumng’ang’ania mwanamke anayeonekana hakuhitaji tena, utaumia

Kamwe usijaribu kumng’ang’ania mwanamke anayeonekana hakuhitaji tena, utaumia

From my POV wanawake hasa yule anayekupenda huwa wanachukia mwanaume wake amtumie hela then unakumbushia sex it's like you are buying goods from me....Jaribu kukumbushia katika mazingira ambayo hayahusiani or hayatakuwa associated na pesa.Okay may be kuchukia is a strong word the right one is irritation
Ukikumbusha katika mazingira tofauti unapata response rahisi sana yani isiyo na mashiko na mtu haonyeshi kushtuka wala kutake effort. Unakumbusha mara mbili tatu huoni change yoyote. Mtu anatimba geto akiwa period or sick. Unaendelea kuwa mpenzi mtazamaji. Ongezea na vidharau vidogo vya hapa na pale na ukosefu wa respect & kauli nzuri (big problem) lazima ujidouble check: kaniona boya au la?

That was a test and the result was a definite positive. Angalau hela niliyotuma (wallahi nyingi) ilinisave from a life of misery maana niliwake up kwakweli.
 
Tatizo kubwa nililogundua me wengi wanampenzi mmoja hali ya kuwa lolote linapotokea basi uumizwa vibaya sana isitoshe unakuta mtu anaonyesha upendo laivu kwa mtu wake mwisho wa siku mademu zetu wanaleta dharau, vitabu vitakatifu vinatuambia tuishi nao kwa akili

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Bado najiuliuza inawezekanaje kupenda mwanamke zaidi ya mmoja?
Nikipenda mwingine lazima wakwanza ajue simpendi tena maana upendo unahama labda kinafki tu ila Kama yuko makini lazima atambue nina mwanamke mwingine
 
Ukikumbusha katika mazingira tofauti unapata response rahisi sana yani isiyo na mashiko na mtu haonyeshi kushtuka wala kutake effort. Unakumbusha mara mbili tatu huoni change yoyote. Mtu anatimba geto akiwa period or sick. Unaendelea kuwa mpenzi mtazamaji. Ongezea na vidharau vidogo vya hapa na pale na ukosefu wa respect & kauli nzuri (big problem) lazima ujidouble check: kaniona boya au la?

That was a test and the result was a definite positive. Angalau hela niliyotuma (wallahi nyingi) ilinisave from a life of misery maana niliwake up kwakweli.
Then huyo hakukupenda hongera you dodged a bullet
 
Hahahah wote huwa mnafanyiana hayo, at times mwanaume yuko broke kuna wanawake huwa wanakimbia.
Nikwambie kitu mkuu, mi simkimbiagi mwanaume eti kisa hana hela, najua kuna kesho

Sasa ngoja yy mwanaume apate vijihela, yaan ni anaibuka na mijitabia ambayo hapo awali hakuwa navyo, anaibua ugomvi ili tu mgombane apate kisingizio, sasa kama ni mshamba wa wanaume unaweza kunywa sumu..

Mimi nikshaona hizi tabia huwa nakwambia kabisa oyaa umebadilika jirekebishe hii dunia haiendi hivyo hivyo vihela vitaisha, kama kawaida huwa hamsikii, Basi anaenda kwa hao wapya waliozuzuka na vihela vyake, vikiisha wanampiga kibuti, hapo sasa kabaki na kendee tatu ndo ananikumbuka mimi wit, kitu ambacho na mimi ntamfanyia lazima atanikumbuka mpaka anaingia kaburini maninaa, mfyuuu zenu[emoji57]
 
From my POV wanawake hasa yule anayekupenda huwa wanachukia mwanaume wake amtumie hela then unakumbushia sex it's like you are buying goods from me....Jaribu kukumbushia katika mazingira ambayo hayahusiani or hayatakuwa associated na pesa.Okay may be kuchukia is a strong word the right one is irritation
I second u..

By the way hiyo Pov ni kifupi cha nini eti!???
 
Then huyo hakukupenda hongera you dodged a bullet
She did, in the beginning. And I happily paid for her spending wlbila figisu zozote. But who knows what happened? Wala sijahangaika kufigure out. Maybe was never a good fit.

Thanks for your insights though, plus nimetoa upepo kidogo.

But hey maybe I'm the one who messed up somewhere, si unajua tatizo la one sided stories? Whatever happened happened.
 
Ukikumbusha katika mazingira tofauti unapata response rahisi sana yani isiyo na mashiko na mtu haonyeshi kushtuka wala kutake effort. Unakumbusha mara mbili tatu huoni change yoyote. Mtu anatimba geto akiwa period or sick. Unaendelea kuwa mpenzi mtazamaji. Ongezea na vidharau vidogo vya hapa na pale na ukosefu wa respect & kauli nzuri (big problem) lazima ujidouble check: kaniona boya au la?

That was a test and the result was a definite positive. Angalau hela niliyotuma (wallahi nyingi) ilinisave from a life of misery maana niliwake up kwakweli.
Kama ni hivyo basi hapo Mapenzi hayakuwepo
 
Nikwambie kitu mkuu, mi simkimbiagi mwanaume eti kisa hana hela, najua kuna kesho

Sasa ngoja yy mwanaume apate vijihela, yaan ni anaibuka na mijitabia ambayo hapo awali hakuwa navyo, anaibua ugomvi ili tu mgombane apate kisingizio, sasa kama ni mshamba wa wanaume unaweza kunywa sumu..

Mimi nikshaona hizi tabia huwa nakwambia kabisa oyaa umebadilika jirekebishe hii dunia haiendi hivyo hivyo vihela vitaisha, kama kawaida huwa hamsikii, Basi anaenda kwa hao wapya waliozuzuka na vihela vyake, vikiisha wanampiga kibuti, hapo sasa kabaki na kendee tatu ndo ananikumbuka mimi wit, kitu ambacho na mimi ntamfanyia lazima atanikumbuka mpaka anaingia kaburini maninaa, mfyuuu zenu[emoji57]
Punguza hasira mjumbe japo inakera kweli. Ndio maana nakwambia mapenzi hayana fomula maalumu toka mwanzo hata kesho.
 
Ivi ni Ni mimi tu ambae bado sija wahi kuumizwa na mapenzi
Usiombe kuingia kwenye hizo anga ndugu utatamani dunia ishuke.
Kuna mpuuzi mmoja nilimpenda akaja na kamsemo 'I want to be alone" sijui nimekuwa emotional dependant na bla bla kibao ukumbuke tuko kwenye mahusiano zaidi ya 2 years aisee nilihisi kuugua roho, mwili nafsi hadi akili.
Hadi nilifunga na kuomba shetani amuondoke lakini wapi sijui alikutana na vichaa gani wakamtapeli. Anyway nimejifunza wanawake wanaathirika sana na ushauri wa marafiki zao
Nilimuacha aende kwa shingo upande baada ya kufanya kila ninaloliweza kumbembeleza nashukuru Mungu nimekuwa sawa tena na nimepata chuma kipya maumivu nimeyasahau ila amini nakuambia kujitenga na mtu unayempenda ni zaidi ya maumivu unayoweza kuhadithia
 
Kama ni hivyo basi hapo Mapenzi hayakuwepo
Ndio fikra zangu pia. Kuna namna angeweza kutumia kauli yake kama mtoto wa kike special kwangu nikatuliza ghasia na kumvumilia hata miezi 6 bila kula mzigo na kumhudumia bila kwere. Respect, respect, respect.
 
Usiombe kuingia kwenye hizo anga ndugu utatamani dunia ishuke.
Kuna mpuuzi mmoja nilimpenda akaja na kamsemo 'I want to be alone" sijui nimekuwa emotional dependant na bla bla kibao ukumbuke tuko kwenye mahusiano zaidi ya 2 years aisee nilihisi kuugua roho, mwili nafsi hadi akili.
Hadi nilifunga na kuomba shetani amuondoke lakini wapi sijui alikutana na vichaa gani wakamtapeli. Anyway nimejifunza wanawake wanaathirika sana na ushauri wa marafiki zao
Nilimuacha aende kwa shingo upande baada ya kufanya kila ninaloliweza kumbembeleza nashukuru Mungu nimekuwa sawa tena na nimepata chuma kipya maumivu nimeyasahau ila amini nakuambia kujitenga na mtu unayempenda ni zaidi ya maumivu unayoweza kuhadithia
Kweli naunga mkono hoja , pia wanaume ndio tunamapenzi ya kweli mwanzo mwisho.
 
She did, in the beginning. And I happily paid for her spending wlbila figisu zozote. But who knows what happened? Wala sijahangaika kufigure out. Maybe was never a good fit.

Thanks for your insights though, plus nimetoa upepo kidogo.

But hey maybe I'm the one who messed up somewhere, si unajua tatizo la one sided stories? Whatever happened happened.
[emoji848]i heard somewhere that there are three sides in every story in this case it is
Your side
Her side and
The truth
Maybe i should not judge her
 
Mwanamke akimpenda Mwanaume anakua hana visababu vya kumnyima Mpenzi wake kitu chochote ili mradi anauwezo na hicho kitu, lakini ukiona unapewa visababu vingi visivyo kua na kichwa wala Miguu,hapo hakuna penzi kabisa ni zuga tu mradi yake yaende!!
This is common sense I believe
 
Usiombe kuingia kwenye hizo anga ndugu utatamani dunia ishuke.
Kuna mpuuzi mmoja nilimpenda akaja na kamsemo 'I want to be alone" sijui nimekuwa emotional dependant na bla bla kibao ukumbuke tuko kwenye mahusiano zaidi ya 2 years aisee nilihisi kuugua roho, mwili nafsi hadi akili.
Hadi nilifunga na kuomba shetani amuondoke lakini wapi sijui alikutana na vichaa gani wakamtapeli. Anyway nimejifunza wanawake wanaathirika sana na ushauri wa marafiki zao
Nilimuacha aende kwa shingo upande baada ya kufanya kila ninaloliweza kumbembeleza nashukuru Mungu nimekuwa sawa tena na nimepata chuma kipya maumivu nimeyasahau ila amini nakuambia kujitenga na mtu unayempenda ni zaidi ya maumivu unayoweza kuhadithia
Saa zingine unalindwa na Mizimu ya kwenu, maana inakua imeshaona huko mbele utakuja kuumizwa vibaya sana ndiyo maana inaingilaia kati japo itauma lakini tayari imesha kulinda!! Labda ungepewa Mimba ambayo siyo yako! Yote hayo huwezi jua!!
 
Mwanamke akimpenda Mwanaume anakua hana visababu vya kumnyima Mpenzi wake kitu chochote ili mradi anauwezo na hicho kitu, lakini ukiona unapewa visababu vingi visivyo kua na kichwa wala Miguu,hapo hakuna penzi kabisa ni zuga tu mradi yake yaende!!
Sijakataa kabisa uko sawa
 
[emoji848]i heard somewhere that there are three sides in every story in this case it is
Your side
Her side and
The truth
Maybe i should not judge her
Fair enough, I am aware of that too ila it won't stop me from ranting as long as I keep it civil and anonymous.
 
Back
Top Bottom