Mjina Mrefu
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 3,045
- 3,389
Wakuu,
Hawa watoto wa kike wanajua udhaifu wetu ni papuchi.
Kuna wakati unakataza jambo fulani ila yeye hasikii anakiuka kwa makusudi. Au anafanya kosa fulani analojua kabisa ulishamkanya hupendi...
Au umetoa maelekezo fulani kama baba wa nyumba na akakiuka kuyatekeleza kwa makusudi tu
Mwanamke akishaona amekukosea, sometimes hajishushi wala kuomba radhi. Anaweza naye kukurudishia maneno wakati ukitaka clarity. Uki mind zaid, baadae usiku anakuja kukutega tega anakupa papuchi akitegemea kuwa utasahau makosa aliyofanya.
Cha kufanya, usiingie kwenye huo mtego, kula zako mzigo safi halafu endelea kumkazia makosa aliyofanya hadi ajishushe na kuomba radhi. Au kama una guts za kuvumilia usile mzigo hadi aombe radhi na kukiri kosa.
Msimamo wako kama mwanamume usinunuliwe kwa rushwa ya kichwa cha chini kusimama.
Tuishi nao kwa akili hawa
Hawa watoto wa kike wanajua udhaifu wetu ni papuchi.
Kuna wakati unakataza jambo fulani ila yeye hasikii anakiuka kwa makusudi. Au anafanya kosa fulani analojua kabisa ulishamkanya hupendi...
Au umetoa maelekezo fulani kama baba wa nyumba na akakiuka kuyatekeleza kwa makusudi tu
Mwanamke akishaona amekukosea, sometimes hajishushi wala kuomba radhi. Anaweza naye kukurudishia maneno wakati ukitaka clarity. Uki mind zaid, baadae usiku anakuja kukutega tega anakupa papuchi akitegemea kuwa utasahau makosa aliyofanya.
Cha kufanya, usiingie kwenye huo mtego, kula zako mzigo safi halafu endelea kumkazia makosa aliyofanya hadi ajishushe na kuomba radhi. Au kama una guts za kuvumilia usile mzigo hadi aombe radhi na kukiri kosa.
Msimamo wako kama mwanamume usinunuliwe kwa rushwa ya kichwa cha chini kusimama.
Tuishi nao kwa akili hawa