masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
Usimuoneshe mteja wewe ni tajiri, usimuoneshe umejipata. Siku zote muoneshe unahitaji hiyo ela yake kuliko oxygen. Usimuoneshe Mteja umejipata
Hata kama kwa siku unafunga hesabu ya milion kadhaa Mteja wa elfu 50 ndo anaikamilisha milioni moja
Milioni moja bila elfu 50 ni 950,000/= Sisemi umnyenyekee mteja au lahh
Ila biashara nyingi/huduma nyingi mnazofanya mnawaonesha wateja mmejipata Nyie wamiliki pamoja na mnaowaajiri
NB;Mpaka leo Bakhresa anauza maandazi na kila shilingi ina thamani.
Hata kama kwa siku unafunga hesabu ya milion kadhaa Mteja wa elfu 50 ndo anaikamilisha milioni moja
Milioni moja bila elfu 50 ni 950,000/= Sisemi umnyenyekee mteja au lahh
Ila biashara nyingi/huduma nyingi mnazofanya mnawaonesha wateja mmejipata Nyie wamiliki pamoja na mnaowaajiri
NB;Mpaka leo Bakhresa anauza maandazi na kila shilingi ina thamani.