Kamwe usimwamini mwanamke

Sijafika mwisho kusoma nimetetemeka
 
kama ni chai umetuweza sisi wenye ndoa maana unaharibu. kama ni kweli pole na utupe marejesho
 
LGBTQI tumeshawajua janja yenu na vistori vya kutunga.

Ili ionekana ndoa haina thamani huku mnatangaza ufirauni na kuutaja taja mara kwa mara ili uanze kuzoeleka iwe ni jambo la kawaida.

Poor man
Ushoga unaingiaje hapo,
Mtu kaleta experience yake
Wewe unabisha,

Wabongo acheni ujuaji kwanza wewe endelea kujiona safe nyie ndio wale wake zenu hua wanabinuliwa vibaya sana😁

Hii story hata kama ni chai jaba ila imebeba ukweli 90% ya ushenzi wa kiumbe anaitwa mwanamke endelea kujitoa fahamu ipo siku utalilia chooni!

Shabhaaash!
😁😁
 
Hilo sio kosa ni wanaume wajinga tu ndio husema kuangalia simu ya mwanamke wako ni kuwa insecure

Na malaya ndio hupenda wanaume wa aina hiyo wajinga

Kuangalia simu yake itakusaidia kujiepusha na mengi
Kwahiyo unadhan kuangalia simu yake ni ujanja na hautapigiwa,?

Huwajui wanawake wewe,kuna demu hakuolewa ila alikuwa anaishi na jamaa tu,kila akirudi kazini hukaguliwa nyapu na bwana wake na bado akapigiwa

Huwajui hawa viumbe,endelea kukagua simu tu
 
kama ni chai umetuweza sisi wenye ndoa maana unaharibu. kama ni kweli pole na utupe marejeshoAhsa

Kataa kuoa kataa ndoa kuoa ni ufala
Hapana ndoa ni Baraka Mkuu wapo wanao furahia usikate tamaa me leo nalia lakini Kuna wanandoa huko wanatimiza miaka 8 mpaka 20 ya ndoa so inategemea Mkuu.
 
kama ni chai umetuweza sisi wenye ndoa maana unaharibu. kama ni kweli pole na utupe marejesho
Hapana ndoa ni Baraka Mkuu wapo wanao furahia usikate tamaa me leo nalia lakini Kuna wanandoa huko wanatimiza miaka 8 mpaka 20 ya ndoa so inategemea Mkuu.
 
Pole mkuu haya mambo yalishanitokeaga ni shida sana maumivu Yake ni tabu na mateso mwanamke usije ukamwamini na kwenye hii dunia ya sasa hakuna mwanamke wa peke yako au mwanaume wa peke yako nazani hata nikikuuliza mlivyoanza mahusiano ulimkuta na bikira?
 
Afadhali umewagundua , siwapendi waovu hawa. Hiki ni kikundi maalum na wana mikakati wa kubadili mindset hasa za vijana wenye msisimko na umri mdogo ili kuwaharibu.
Unajua unaweza usiwe shoga kwa vitendo ila ni_shoga wa akili. Vijana wengi ni mashoga kiakili ndiomana mtu akileta issue yake muhimu nyie mnawaza uShogA tu akili zenu always zipo kishogashoga hata kwenye vitu serious jipambanue bwana mdogo.
 
Unajua unaweza usiwe shoga kwa vitendo ila ni_shoga wa akili. Vijana wengi ni mashoga kiakili ndiomana mtu akileta issue yake muhimu nyie mnawaza uShogA tu akili zenu always zipo kishogashoga hata kwenye vitu serious jipambanue bwana mdogo.
Hahaha aiseee naona unawapiga spana tu team ndoa tamu!

Vijana wa kataa ndoa tumejipanga aisee!
😁😁
 
K

Ukiisoma kwa kutulia utagundua ni Chai yupu na ni story ya kutunga tu, New members mna mambo kweli kweli
 
Unajua unaweza usiwe shoga kwa vitendo ila ni_shoga wa akili. Vijana wengi ni mashoga kiakili ndiomana mtu akileta issue yake muhimu nyie mnawaza uShogA tu akili zenu always zipo kishogashoga hata kwenye vitu serious jipambanue bwana mdogo.
Haya, mzee.
Unajua unaweza usiwe shoga kwa vitendo ila ni_shoga wa akili. Vijana wengi ni mashoga kiakili ndiomana mtu akileta issue yake muhimu nyie mnawaza uShogA tu akili zenu always zipo kishogashoga hata kwenye vitu serious jipambanue bwana m

Unajua unaweza usiwe shoga kwa vitendo ila ni_shoga wa akili. Vijana wengi ni mashoga kiakili ndiomana mtu akileta issue yake muhimu nyie mnawaza uShogA tu akili zenu always zipo kishogashoga hata kwenye vitu serious jipambanue bwana mdogo.
Usodoma ni ushetani usiotakiwa kuhamasishwa. Story za kuzunguka kufikisha lengo hazifai. "Mtu hunena yaujazayo moyo wake." Ukianzisha thread yenye maudhui maovu hata ukizunguka utajulikana tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…