Kamwe usimwamini mwanamke

Nilishaacha kunwaninj mwanamke yeyote hata kana ni dada au nani nani...wote wanadanganya...yaani wotee na nina sababu 1000
Wanawake ni malaya sana halafu waongo. Miaka hii wanawake wengi ni takataka
 
Wanawake ni malaya sana halafu waongo. Miaka hii wanawake wengi ni takataka
Nitaanza kuandika makala zangu za wanawake walivyo majasusi wa kutisha soon stay tuned usibadilishe mkao huo makala zitakua ni ndefu sana uwe na kidumu cha maji lita 5 pembeni unaweza kusoma kuanzia asubuhi mpaka usiku bado hujamaliza kumsoma mwanamke
 
Hii story hata kama ni chai jaba ila imebeba ukweli 90% ya ushenzi wa kiumbe anaitwa mwanamke endelea kujitoa fahamu ipo siku utalilia chooni!
Inaonekana wanawake wameshakupiga sana. Pole sana mkuu. Acha kuhendekeza ngono wanawake watakuua.

Mwanamke anamkandmiza mwanaume mjinga. Angalia usiwe miongoni mwao.
 
Haya, mzee.



Usodoma ni ushetani usiotakiwa kuhamasishwa. Story za kuzunguka kufikisha lengo hazifai. "Mtu hunena yaujazayo moyo wake." Ukianzisha thread yenye maudhui maovu hata ukizunguka utajulikana tu.
100% Perfect.
 
Mtu hunena yaujazayo moyo wake." Ukianzisha thread yenye maudhui maovu hata ukizunguka utajulikana tu.

Thanks
 
Pole sana Mkuu.....kwanini wanaume wa siku hizi mmejiweka kwenye Vulnerability ya wanawake? Kuna shida mahala.
Mimi mtazamo wangu ni tofauti sana inapohusu kudeal na hawa viumbe hawajawahi kuniumiza akili wala kunimanipulate
 
Huu ni Upupu tu, unapata wapi ujasiri wa kuandika hivi kama kweli hili limekutokea!?
 
Nasaha zangu kwa vijana,wadogo zangu kaka zangu (wale tuliochelewa kuoa i mean) na yeyote anayetamani kuanzisha familia.

Kama jamii ya Kiafrika kuna sehemu tumekosea,yaani ipo part fulani ktk asili yetu tumei-skip tukiwa tunajua au hatujui nayo ni hii ya kujitafutia “MKE”,lazima turudi kwenye utaratibu wa kuoa wake tutakaoelekezwa na baba zetu,babu zetu wajomba zetu sometimes hata na mama zetu kutoka kwenye asili yetu (nikimaanisha makabila yetu) na kutoka kwenye nyumba wanazozijua wao kwamba zina siha njema,mke hajawahi kupatikana sehemu za kazi,chuo sijui Kanisani Msikitini wala kwenye dakadala hao wote ni kazi bure na ni kudanganyana.
 
Bora wewe kusita mimi nasikia uchungu kweli hata hamu ya kufunga ndoa sina kabisa, unajua hivi vitu sikia au soma kwa mwezio vikitokea kwako ndo utajua kwanini watu hawapendi kufunga ndoa.
Rudi kaoe kwenu kwenye asili yako kingine punguza vigezo sijui awe na tako kubwa awe na kiuno nyigu sijui awe na diploma in reality hivyo vyote ukishamuweka ndani utaviona useless pale atakapoanza kukuletea giza.

Zungumza na wakubwa zako wakutafutie mke hili siyo jambo la aibu hata babu na baba zetu walisaidiwa kuwapata mama zetu thus wapo pamoja hadi leo.
 
Bana hii situation sikia kwa watu wakiandika au kusimulia utaona kama kawaida vile ila yakikukuta ndo utatambua maumivu yake kama afya ya akili haipo sawa unaweza kuuwa mtu, hamu ya ndoa ilishanitoka kabisa wala kumuamini mwanamke huo msamiati haupo akilini hata swala la kupenda sijui upendo hiyo misamiati kwangu haipo, wacha wengine tunwapendane na kuona ila mimi hapana kwakweli.
 
Mkuu wewe oa tu kama haujaoa ila mimi hapana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…