Kamwe usimwamini mwanamke

Kitendo Cha kuleta Jambo zito Kama hili online jua huna maamuzi na huna Cha kumfanya huyo mwanamke ndo maana amekuzoea anafanya anavyotaka.
Labda Kama ni Chai..
Hakuna Jambo la kulinda Kama Afya yako ya mwili na akili.
Mke mke mke huku anakuua umekazania mke mke.
 
LGBTQI tumeshawajua janja yenu na vistori vya kutunga.

Ili ionekana ndoa haina thamani huku mnatangaza ufirauni na kuutaja taja mara kwa mara ili uanze kuzoeleka iwe ni jambo la kawaida.

Poor man
 
Ni chai hii na hawa ni mashoga wanaotaka kuchafua tasisi ya ndoa kama wao walivyo loosers wanataka na sisi tuonekane hivyo.
 
Ni chai hii na hawa ni mashoga wanaotaka kuchafua tasisi ya ndoa kama wao walivyo loosers wanataka na sisi tuonekane hivyo.
Wewe mwanamke awe na michepuko mwaka mzima usione dalili!
Lazima tu atakuonesha dalili...
Hawa jamaa hawajaendaga jando nini?wametolewaje govi hawa bila kuelekeza habari za wanawake?
Kuna muda unasoma post mpaka unapata hasira..
Ulegevu legevu ndo unafanya tunaharibu familia watoto na jamii kwa ujumla.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…