Kamwe usimwamini mwanamke

Kila siku watu wanaandika usimwamini manzi haya sasa one man down
 
Short summary hizo wakuu.
Yani ni majonzi ina maana wife amenyonya za watu 3 au zaidi wakati yupo na Mimi kwenye ndoa na nilikuwa napenda sana kumkiss muda wote imagine ni wewe mkuu daaa!
Hapo una bahati amefuta ile aliyosema anapenda jamaa wanavyoponda kisamvu akiwa amekaa doggy na kusifia mikito anayoipokea, sasa hapo kupooza machungu muombe na wewe uponde kisamvu kisha usimwambie chochote acha kutia huruma sana baharia nani aliekwambia ni burudani ya kwako pekeyako hio ni burudani kwa Wote
 
mpaka yakikukuta utaelewa kama hivi sina cha kukuambia zaidi ya kukupa pole mkaka
Kwakweli mtu anaposimulia kama hauwezi kumuelewa utaona kama kitu rahisi na kidogo vile ila yakitokea kama afya akili haipo sawa mnabadilishana majengo tu
 
Unamtesa au unajitesa mwenyewe yote hayo ya nini? Hujui amekupa uone makusudi ili akuone utachukua hatua gani au amekupa lesson plan nini unatakiwa umfanyie na yeye akufanyie? Yaan hapo wakulungwa tunatulia km hatujaona kisha yanaanza matukio sio kulipa kisasi ni kunogesha upendo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…