Kamwe usimwamini mwanamke

Unajua kwanini ameshea hii story? Ni kwasababu tuna id fake kwahiyo inakuwa rahisi kufunguka

Lkn pili ni ponyo kwa nafsi yake kwa maana anatoa ya moyoni

Tatu nakushangaa wewe,je huamini kama kuna wanawake washenzi kama hawa?
 
Screenshot hizo msg,mtumie wife wako


Kisha Amisha umiliki wa mali zako zote akienda mahakamani asipate hata mia


Kisha muache,Huyo ni kahaba,Tafuta Mwanamke mwingine
 
True men don't kiss n tell au sio? Haha kesho utasikia kuna mtu kapigwa panga huko subiri uone
 
Screenshot hizo msg,mtumie wife wako


Kisha Amisha umiliki wa mali zako zote akienda mahakamani asipate hata mia


Kisha muache,Huyo ni kahaba,Tafuta Mwanamke mwingine
Utampa mkeo?
 
Atangulie tu... anaoa kahaba na anampenda na kumwita mkewe? Hii ni aibu kubwa sana. Mm kuna dem aliniambia anipitishe njia za panya nikaona hii sio ya aina yangu. Nikajikataa mapema sana
Mkuu wewe unafaa mno kwenye ushauri kwa kuingiza kipato zaidi ila sio kila mahaliπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Nikiwaambia hapa wanawake ni kama wanaume tuu kwenye suala la kugegedana...... Nao wanatamani de liboloz tofauti waonje ladha tofauti.
Usijidanganye hamna mwanamke mwenye mwanaume mmoja
 
My nyokonyokoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Unajua kwanini ameshea hii story? Ni kwasababu tuna id fake kwahiyo inakuwa rahisi kufunguka

Lkn pili ni ponyo kwa nafsi yake kwa maana anatoa ya moyoni

Tatu nakushangaa wewe,je huamini kama kuna wanawake washenzi kama hawa?
Yote nakubaliana na wewe; hilo la 3 ndio sijaelewa why unadhani siamini kama wapo wanawake wa design hiyo? Wapo wengi sana, naishi kwenye jamii, nafanya nao kazi pia. Nawajua hawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…