Kamwe usimwamini mwanamke

Kuna Cha ajabu hapo sasa? Kwani ni ulimkuta ni singlemom? Maana singlemom ndiyo tunaonekana hatufai kuoleka.Maji mtaita mma🤒
 
Nilidhan anazungumziwq Ally Kamwe
 
Pole kwa kuoa kahaba,hata kama ni changamoto za ndoa sio watu watatu wote,hiyo ni too much
 
Kama uliyoandika ni ya ukweli basi mkeo ni Malaya aliyekubuhu.

Mimi mwenyewe sina Cha kukushauri zaidi ya kukupa tu pole
 
Hii haiwezi kuwa kweli maana sio rahisi kupata nguvu ya kusoma meseji zote hizo. Siamini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…