Kamwe usiolewe na mwanaume asiyeweza kukulipia mahari

Kamwe usiolewe na mwanaume asiyeweza kukulipia mahari

Mahari ni Zawadi yoyote ya lazima kutoka kwa Mwanaume kwenda kwa Mwanamke anaeolewa, sasa ukiona Mwanaume anashindwa kutoa Mahari basi ujue Mwanamke kaleta tamaa
 
Winnie Kilemo kuna vitu huwa anaandika huko facebook hadi namwonea huruma,,,, wakati flani namwona kama mtu aliyekaa kwenye wokovu miaka mingi ila ni mchanga kwenye mambo ya kiroho (kifalme)!.......


mi nadhani angeaza kwa kushauri wazazi kutopanga mahari kubwa sana , au angeshauri mabinti wanaoposwa wawambie wazazi wao kwamba mtarajiwa wangu hana uwezo kwaio msipange mahari kubwa!


anyway, ukitumia biblia, anaetakiwa kulipiwa mahari ni binti kigori tu....... ndivyo torati inavyoeleza!..... ukikuta sio kigori warudishie wenye mtoto nao warudishe mahari!
Bongo unakuta wahuni wameshajitobolea bado unapigwa mahari 5M
 
Akili hamna
Unaweza kuwa sahihi kwamba hatuna akili. Ila ukumbuke swali lako linasema hakuna mtu kwenye biblia alioa bila kutoa mahari, bila kujali aidha ni halali au sio halali.

Pia kabla haujahukumu jitahidi kusikiliza na kuelewa
 
Kukuongezea tu, mimi nimeoa na nilitoa mahari. Kwautaratibu wa kwetu, wazazi wa binti ndio wanatamka kisha mnaanza bargain, kima cha chini ni ng'ombe 6
 
Unaweza kuwa sahihi kwamba hatuna akili. Ila ukumbuke swali lako linasema hakuna mtu kwenye biblia alioa bila kutoa mahari, bila kujali aidha ni halali au sio halali.

Pia kabla haujahukumu jitahidi kusikiliza na kuelewa
Mngekuwa mna akili msingeniuliza hilo swali
 
Mahari ni Tradition,ni zawadi kwa wazazi,regardless mwanamke ametumika ama not..huu ni utamaduni wetu,siwaelewi mnaoupinga, kwa mfano leo Mchaga aache mbege..inawezekana lakini somehow impossible
 
Mahari ni Tradition,ni zawadi kwa wazazi,regardless mwanamke ametumika ama not..huu ni utamaduni wetu,siwaelewi mnaoupinga, kwa mfano leo Mchaga aache mbege..inawezekana lakini somehow impossible
Umenena vema, ila kuna watu wameacha utamaduni na wameingia kwenye usasa, ndio hao utasikia "bila milioni kadhaa binti yetu haolewi." Tamaduni nyingi zinajulikana kuwa walau uwe na kiasi kisichopungua kadhaa na wengine wana kikomo cha juu cha mahari. Wazazi wakiingiza tamaa ndipo utaratibu huwa wa hovyo
 
Back
Top Bottom