Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
- Thread starter
-
- #321
Kaoe mbuzi mkuuJibu swali kwanza.
Acha kupaniki.
Waulize wazee wako hapoKwani maana halisi ya Mahari ni nini?
Bongo unakuta wahuni wameshajitobolea bado unapigwa mahari 5MWinnie Kilemo kuna vitu huwa anaandika huko facebook hadi namwonea huruma,,,, wakati flani namwona kama mtu aliyekaa kwenye wokovu miaka mingi ila ni mchanga kwenye mambo ya kiroho (kifalme)!.......
mi nadhani angeaza kwa kushauri wazazi kutopanga mahari kubwa sana , au angeshauri mabinti wanaoposwa wawambie wazazi wao kwamba mtarajiwa wangu hana uwezo kwaio msipange mahari kubwa!
anyway, ukitumia biblia, anaetakiwa kulipiwa mahari ni binti kigori tu....... ndivyo torati inavyoeleza!..... ukikuta sio kigori warudishie wenye mtoto nao warudishe mahari!
Hivi ukitolewa mahari nani huwa anatoa risiti kudhibitisha kweli hela imelipwa ?Kaoe mbuzi mku
Sikuwahi kuona kwenye Biblia mwanaume aliyepewa mke bure.
Na
Winnie Kilemo
Bado na bargain ili nikuchukueKwahiyo ulilipa yote!
Baba zake akina mbuzi watakupa risitiHivi ukitolewa mahari nani huwa anatoa risiti kudhibitisha kweli hela imelipwa ?
Ukimaliza uje utwambie Adamu alimpa nani mahari, na alitoa nini.
Akili hamnaAdam alitoa shi ngapi kumuoa hawa?
Na je kuna ndoa gani takatifu ya kuishinda ya Adam na Hawa?
Unaweza kuwa sahihi kwamba hatuna akili. Ila ukumbuke swali lako linasema hakuna mtu kwenye biblia alioa bila kutoa mahari, bila kujali aidha ni halali au sio halali.Akili hamna
Mngekuwa mna akili msingeniuliza hilo swaliUnaweza kuwa sahihi kwamba hatuna akili. Ila ukumbuke swali lako linasema hakuna mtu kwenye biblia alioa bila kutoa mahari, bila kujali aidha ni halali au sio halali.
Pia kabla haujahukumu jitahidi kusikiliza na kuelewa
Hayo yote sijakuulizaKukuongezea tu, mimi nimeoa na nilitoa mahari. Kwautaratibu wa kwetu, wazazi wa binti ndio wanatamka kisha mnaanza bargain, kima cha chini ni ng'ombe 6
Kumbe ulikuja kubishana?Ok, nadhani sio vema mwenye akili kubishana na mjingaa
Umenena vema, ila kuna watu wameacha utamaduni na wameingia kwenye usasa, ndio hao utasikia "bila milioni kadhaa binti yetu haolewi." Tamaduni nyingi zinajulikana kuwa walau uwe na kiasi kisichopungua kadhaa na wengine wana kikomo cha juu cha mahari. Wazazi wakiingiza tamaa ndipo utaratibu huwa wa hovyoMahari ni Tradition,ni zawadi kwa wazazi,regardless mwanamke ametumika ama not..huu ni utamaduni wetu,siwaelewi mnaoupinga, kwa mfano leo Mchaga aache mbege..inawezekana lakini somehow impossible
Baada ya kukitembeza 190,000km kisha mtu anadai mill.3 bila aibu kabisa.🤣🤣🤣kwa namna mlivyotumika bado tu mnahitaji mahari? kwa mantiki hii mnataka muendelee kuwa singo maza wa kudumu