Kamwe usiolewe na mwanaume asiyeweza kukulipia mahari

 
Ukisoma visa vya kulipa mahari kwenye biblia, kama umesoma kweli ,ilikuwa kama adhabu
 
Mbona mahari zinazopangwa ni za kawaida kabisa.

Wanaume wenyewe ndiyo wasatoaji wazuri wa hizo bikra za wanawake.
Zamani wanaume walikuwa watulivu.
 
Na wengi wanaojilipia mahari ndoa zimewatokea puani, wameishiwa kuuliwa tu, na kuteswa Hadi kuachwa walemavu, mwanaume asiyeweza kutoa mahari na asioe kabisa aisee mpaka awe vizuri
 
Kumbe mahari inachangwa na wazazi?
 
Huyo uliyemnukuu alilipiwa mahari kiasi gani?

Kuna wazee wakuda wanataja mahari ndefu utadhani wanataka kupata mtaji wa biashara...

Sijui kreti mia za bia, ng'ombe kumi, mbuzi sijui wangapi...
Sijajua alilipiwa kiasi gani
Ila Kuna sehemu amesema alilipiwa
 
Ina maana na huwezi kuoa bila mahari mkuu.
Hata Sasa mahari ni Akhsante kwa wazazi
 
Kulipia mahari kwa lugha kamili ya Kiswahili ni kununua mtu.
Sasa ole wako nikununue alafu ukumbuke kwenu! Nina mamlaka ya kuifanya bidhaa yangu niliyoinunua kwa pesa yangu vile nitakavyo
 
Hata Kwetu wakristo mahari huwa ni ya kawaida sana.
Na baadhi ya makabila vitu hutolewa Sana kuliko pesa..yaani pesa itakuwa kidogo tu.
 
Yaani baba zao watoe mahari??
Mke wa hivyo huwezi kupata mkuu
 
kwa namna mlivyotumika bado tu mnahitaji mahari? kwa mantiki hii mnataka muendelee kuwa singo maza wa kudumu
Kama wewe huwezi kuoa acha wenzio wataoa.
Hakuna mke utakayegawiwa bure.
 
Hili neno 'mahari' mmelikuza sana nyakati hizi, utakuta unatajiwa mahari kubwa kama vile unalipishwa fidia.

Nadhani hali ya kiuchumi huchangia hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…