Winnie Kilemo kuna vitu huwa anaandika huko facebook hadi namwonea huruma,,,, wakati flani namwona kama mtu aliyekaa kwenye wokovu miaka mingi ila ni mchanga kwenye mambo ya kiroho (kifalme)!.......
mi nadhani angeaza kwa kushauri wazazi kutopanga mahari kubwa sana , au angeshauri mabinti wanaoposwa wawambie wazazi wao kwamba mtarajiwa wangu hana uwezo kwaio msipange mahari kubwa!
anyway, ukitumia biblia, anaetakiwa kulipiwa mahari ni binti kigori tu....... ndivyo torati inavyoeleza!..... ukikuta sio kigori warudishie wenye mtoto nao warudishe mahari!