Kitu gani nimeongea nisicho na uhakika nacho?
Ndivyo mahari ilivyo[emoji23]Shida sio mahari shida ni mahitaji yanayohitajika kwenye hiyo mahari, Ng'ombe 3, wanini? shuka la ba mkubwa, lanini? Jogoo wa babu,wanini? Sufuria ya kilo 7 ya shangazi,yanini? Zulia la MAMA,la nini? na pesa taslim Laki 7.
yani ukiangalia mahitaji unaona wanacheza mule mule kwenye vitu vyao vya kila siku walivyoona vimeisha sasa,wanataka mimi niwanunulie,ki ufupi ni kwamba Mahari ni swala la mke na mume washirikiane (ikibidi) unamuachia kila kitu mwanaume ndio ndani ya ndoa ANAKUMILIKI haswa
maaana katoa hela yake,hujui katoa wapi mahari yako ukute alikopa,aliiba,nk halafu unataka aamke akute hamna chai mezani lazima mueleze kwa herufi kubwa kwann mezani hamna chai,kwann hujamuandalia nguo,nk Kakununua kwa hyo uwe tyr kuishi kama bidhaa ndani ya ndoa yako.
mi tayari nipo ndoani na nilibahatika kupata bikra bt bila hivo nisingetoa mahari wala niniOhoo Kumbe unasubiri ndoa ya kusogezana
sahihi, ila wa kike anapaswa kupewa mkazo maana anaepata hasara ni yeye!.......Tunapaswa kuwaonya vijana wote wa kike na wa kiume kujitunza.
Na si kuwanyoshea vidole watoto wa kike tu.
Kwani umelazimishwa kuoa aliyezalishwa?Kwanini nisipate?chukua nafasi ya baba bint yako ameshazalishwa na mjukuu unalea wewe na kila ukiangalia kulia na kushoto dalili kwamba binti atatulia hakuna muda wowote unaona kabisa hapa atakuja mjukuu mwengine halafu anajichanganya kijana kwamba nataka nimuowe huyu......
Unadhani utakuwa na muda wa kuandaa vikao na kuita ndugu mkae chini mjadili kuhusu mahari?i swear japo hutatamka asante kijana akaisikia ila kimoyo moyo na Mungu wako lazima utajisemea “asante sana kijana”,kwanza bint aliyeshazalishwa hairuhusiwi hata kwa bahati mbaya kukaa kujadili mahari na kama mimi ndiye nayetaka kumuowa nikisikia habari hizo wakikaa wakasema toa hata 50,000/= sitoi navunja uchumba.
Kuna nini humo cha kutoa 50K,kachukueni kwa aliyemzalisha na kumtoa bikra.
Inategemeana na jamii husika.kwamba mahari ni za kawaida, hivi 3m awamu hii ya huyu baba ni kawaida!
Again, Purity sio kwa wote, huoni kina Daudi walioa zaidi ya mmoja na sample zote zilikua pure![emoji16][emoji16][emoji16]
Basi kama uko ndoani huyo mkeo ana hasarami tayari nipo ndoani na nilibahatika kupata bikra bt bila hivo nisingetoa mahari wala nini
Hasara ipo kwa wote maana nyinyi ndo waoaji na mnawaoa hao hao.sahihi, ila wa kike anapaswa kupewa mkazo maana anaepata hasara ni yeye!.......
imagine umepata mimba kabla ya ndoa, ukazaa mtoto akawa sio riziki, madhara yake vipi?..........
wakinga tunasema 'ojo na khyombo hya mkhabati'
aaahhh bwana weee, kwanza we mwenyewe unatetea hivi usikute ni makabila ya mbeya au njombe, mahari zetu tunajuana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Inategemeana na jamii husika.
Wengine hiyo hela ni ya kawaida mkuu,yawezekana Mimi na wewe tukaiona kubwa kwa sababu hatunam..kama hatuna tusidhani watu wote hawana[emoji23][emoji23]
Wakina Daud kufanya dhambi haikupi uhalali wa wewe kufanya dhambi.
Kwahiyo wewe unapinga mahari ya vitu???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila kweli
Umejibu kike kike mno,nilitegemea ungeniuliza mimi kama mwanaume ndo najikuta ktk situation hiyo ningefanyaje?Kwani umelazimishwa kuoa aliyezalishwa?
Si umetaka mwenyewe!
Mkuu tafuta huyo make wa bure wa kukupa wewe mahari uone kama utapata.
Kwa tafsiri nyingine yeye anakuoa na wewe upo tayari kuolewa.
Huyo Paulo nitamsema tu[emoji23][emoji23][emoji23]aaahhh bwana weee, kwanza we mwenyewe unatetea hivi usikute ni makabila ya mbeya au njombe, mahari zetu tunajuana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
agano la kale karibu wote walioa zaidi ya mmoja, unataka kusema walitenda dhambi?.......... (usilete maoni ya Paulo hapa[emoji847])
Sasa mkuu kumbe uliniuliza maswali ukiwa na majibu yako kichwani tayari!?!Umejibu kike kike mno,nilitegemea ungeniuliza mimi kama mwanaume ndo najikuta ktk situation hiyo ningefanyaje?
Obviously ni ujinga kuita watu kikao kujadiliwa nyumbani mwangu mahari ya bint ambaye humo ndani yupo mjukuu aliyeniletea huyo nawapa baraka zangu kama mzazi wende wakafanye maisha yao huko wasitoe hata cent tano.
ikiwepo familia yetu.
Hakuna interest yoyote zaidi ya ile mkituzidishia chenji dukani hamtaki turudishe[emoji1787]Yep, any special interest?.........
it was his revelation, not neccesarily yours!.......... si unaona pengine anashauri watu wote mwe kama yeye!?Huyo Paulo nitamsema tu[emoji23][emoji23][emoji23]
Yote ni ubatili na kujilosha upepo.Kila mwanaume na awe na mke mmoja[emoji108]
Sasa nyie jidaini kupingana na maandiko[emoji1787]
Ningependa nikulipie mahari Saint.Hakuna interest yoyote zaidi ya ile mkituzidishia chenji dukani hamtaki turudishe[emoji1787]