Shida sio mahari shida ni mahitaji yanayohitajika kwenye hiyo mahari, Ng'ombe 3, wanini? shuka la ba mkubwa, lanini? Jogoo wa babu,wanini? Sufuria ya kilo 7 ya shangazi,yanini? Zulia la MAMA,la nini? na pesa taslim Laki 7.
yani ukiangalia mahitaji unaona wanacheza mule mule kwenye vitu vyao vya kila siku walivyoona vimeisha sasa,wanataka mimi niwanunulie,ki ufupi ni kwamba Mahari ni swala la mke na mume washirikiane (ikibidi) unamuachia kila kitu mwanaume ndio ndani ya ndoa ANAKUMILIKI haswa
maaana katoa hela yake,hujui katoa wapi mahari yako ukute alikopa,aliiba,nk halafu unataka aamke akute hamna chai mezani lazima mueleze kwa herufi kubwa kwann mezani hamna chai,kwann hujamuandalia nguo,nk Kakununua kwa hyo uwe tyr kuishi kama bidhaa ndani ya ndoa yako.