Kamwe usiolewe na mwanaume asiyeweza kukulipia mahari

Hiyo 2m ni kutulisha upepo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mimi tangu dada zangu waanze kuolewa sijawahi ona vitu havijatolewa[emoji23][emoji1787][emoji23]
Vitenge,mashati,mablanket,viatu,yaani vitu Kama vyote
Na katika ununuaji wa hivyo vitu dada anaomuorodheshea shemeji kabisa[emoji1787]

Labda sijui kama utaratibu utabadilikia kwangu.
 
hawajawahi kutoa hela cash?...... uliza utajua!


kabila gani hilo? sijui labda kama msafwa!
 
nasikia kwako,....... mimi huwa nafuata hadi kwenu kudai chenji kama nilizidisha!
Kwenda huko[emoji1787]
Huku mmejaa mjini pale mnazidishia watu chenji ili hela ziongezeke dukani.
Halafu na ile ya kutoa kafara watoto wa kwanza[emoji134]
 
Naoa zangu ulayaaaa...Haya mambo ya kitenge cha shangazi na koti la Babu kule hayapo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yah hapo sawa[emoji1787][emoji1787]
Tuacheni wabongoo[emoji108][emoji108][emoji108]
Tunataka vitu
 
Neno la MUNGU litasimama.
Mambo yote yatapita bali Neno litasimama...acheni kutaka kuhalalisha wake wengi kwa kisingizio hicho.

Hadi limeandikwa kwenye Bible ujue ni la kweli
 
Kwa kweli la kwanza ni mimi kuokoka.
La pili napambana nipate hata bata wawili nilete nikuchukue.
 
hahahaaaa naona umemwanza Khantwe sasa..............


kama unaamini ktk hayo basi na wewe ni mshirika,,,,
Mimi siamini ila lisemwalo yawezekana lipo[emoji23][emoji23]

Akija huyo sista wangu hapa sijui nitajificha wapi[emoji13]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…