Kamwe usiolewe na mwanaume asiyeweza kukulipia mahari

Kamwe usiolewe na mwanaume asiyeweza kukulipia mahari

mahari ni lazima
kabila letu baba ndo anawajibika kulipa mahari. kama hana uwezo ndo mimi natafuta, kama nimeshindwa ndugu zetu wa ukoo wanachangia
lakini hakuna vya bure
Bora usioe
Kabisa mkuu
Hakuna vya bure
 
Na wengi wanaojilipia mahari ndoa zimewatokea puani, wameishiwa kuuliwa tu, na kuteswa Hadi kuachwa walemavu, mwanaume asiyeweza kutoa mahari na asioe kabisa aisee mpaka awe vizuri
Inasikitisha Sana kuona baadhi ya wasichana wanajilipia mahari.
 
Kulipia mahari kwa lugha kamili ya Kiswahili ni kununua mtu.
Sasa ole wako nikununue alafu ukumbuke kwenu! Nina mamlaka ya kuifanya bidhaa yangu niliyoinunua kwa pesa yangu vile nitakavyo
Mahari ni Asante kwa wazazi
Hiyo tafsiri nyingine Mimi siijui..
Na unapomlipia mahari mwanamke unamchukua anakuwa chini ya himaya yako,kuwa chini ya himaya yako siyo sababu ya kumnyanyasa.
 
Hili neno 'mahari' mmelikuza sana nyakati hizi, utakuta unatajiwa mahari kubwa kama vile unalipishwa fidia.

Nadhani hali ya kiuchumi huchangia hili.
Wapi huko wanataja mahari kubwa?
 
Mahari ni Asante kwa wazazi
Hiyo tafsiri nyingine Mimi siijui..
Na unapomlipia mahari mwanamke unamchukua anakuwa chini ya himaya yako,kuwa chini ya himaya yako siyo sababu ya kumnyanyasa.
Asante kwa wazazi wangu mimi mwanaume ni nini?
Kumbuka pia nikishakuoa nakuwa chini yako,,,,, kwani siku hizi hamtaki tena haki sawa kwa wote?
 
Hembu taja visa japo viwili unavyoviona kama adhabu
Jacob alichunga Mifugo miaka mingi tu.....ili aoe,
Labban( kama sijakosea) akampa Dada wa binti aliyekusudiwa, Jacob akasema anamtaka chaguo lake lile lile,
Akaambiwa achunge tena mifugo ili apewe huyo anayemtaka.
Jumla ya miaka unaweza fika 10, alitumia kuchunga mifugo ili aoe.
Hii ni adhabu tosha.
 
Wahindi mwanamke ndie anaetoa mahari! Imekaaje! Hakuna anaestahili kulipa mahari, wote wametunzwa na wazazi wao. Ni kiasi tu cha kuachana na wazazi na kuambatana na mpendwa wako. Shukrani zitoka kwa pande zote mbili
 
Kama ni bikra basi mahari atapata,ila Kama ni used car atajilipia mwenyewe

Over
 
Asante kwa wazazi wangu mimi mwanaume ni nini?
Kumbuka pia nikishakuoa nakuwa chini yako,,,,, kwani siku hizi hamtaki tena haki sawa kwa wote?
Mwanaume atabaki mwanaume na mwanamke atabaki kuwa mwanamke

Ukitaka kutolewa mahari basi badilika uwe wa kike ,,kitu ambacho hakiwezekani.
 
Mbona mahari zinazopangwa ni za kawaida kabisa.

Wanaume wenyewe ndiyo wasatoaji wazuri wa hizo bikra za wanawake.
Zamani wanaume walikuwa watulivu.
ila wewe unaongea vitu ambavyo huna uhakika navyo!


hivi awamu hii ya Magufuli unataka mahari kuanzia mil 2 unasema za kawaida? tena hapo bado mkaja wa mama, debe la mtama, mahindi, kuku, mbuzi, n.k n.k


kuhusu bikra mimi huwa sipendi kuongelea hili jambo, ila tafsiri ya mahari ni shukrani kwa wazazi wa binti kwa kumtunza binti yao vizuri, sasa kama binti hajatunzwa vizuri (sio bikra) unataka shukrani ya nini?


Saint Anne hivi unaelewa kwanini Mungu aliiweka bikra kwa mwanamke? au unaelewa kwanini Yesu alikaa kwenye tumbo la bikra?....... kama wewe ni mfuasi wa Kristo then unajua!


btw, mimi haya mambo ya bikra huwa sipendi kuyajadili sana,,,,,,........
 
Back
Top Bottom