Kamwe usiruhusu Mtoto wako awe Mshabiki wa Simba na Yanga. Atakuwa fala

Kamwe usiruhusu Mtoto wako awe Mshabiki wa Simba na Yanga. Atakuwa fala

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Mashabiki wa hizi team... Wanakuwa hawana akili. Asilimia 80 plus. Usibishe.niamini mimi. Msikilize anachoongea Ali Kamwe na anachofanya akiwa ameambatana na mashabiki hao hao. Ni hovyo kabisa. Hamna akili.

Kauli anazotoa Ali Kamwe kwa sasa au anachoandika kinaonesha alipata udumavu wq akili au alibemendwa. Na msikilize msemaji wa Simba Ahmed Ally anaongea pumba naye most of the time anafanya ucheshi. Hata katika mambo serious. Kinachosikitisha ni Kuwa ana watu nyuma yake wanamsikiliza.

Inashangaza sana. Hawa watu wana matatizo gani? Ok.niseme hizi teams zina matatizo gani?

Ndo maana Serikali imeweka hapo macho yake.kuzitumia kuwapumbaza watanzania wengi sababu hawana akili au uelewa.

Usithubutu kumwacha mtoto wako awe mshabiki wa hizi team. Atakuja kuwa naye kama fala sababu huwa mashabiki wa hizi teams wanaondolewa akili.
 
Kwahio wewe mzee unampangia timu ya kushabikia mwanao ? Utakuwa umekosa Kazi, na hilo sio tatizo ni mapenzi / utashi wako bali kuwapangia na wengine ni kukosa busara...
 
Umenena jambo kubwa sana hata humu jf angalia watu wanavyojadili mambo ya simba na yanga.
Hata humu mitaani kuanzia asubuhi habari ndio hizohizo maredioni, kwenye vijiwe vyote na stendi za ma'' ma'bus, boda, bajaji n k
Ndo maana watanzania wengi hawana akili uelewa wao mdogo sana.
 
Kwahio wewe mzee unampangia timu ya kushabikia mwanao ? Utakuwa umekosa Kazi, na hilo sio tatizo ni mapenzi / utashi wako bali kuwapangia na wengine ni kukosa busara...
Nimemwondolea kabisa kuwa mshabiki atakuwa mpumbavu kama mlivyo nyie.
 
Mashabiki wa hizi team... Wanakuwa hawana akili. Asilimia 80 plus. Usibishe.niamini mimi. Msikilize anachoongea Ali Kamwe na anachofanya akiwa ameambatana na mashabiki hao hao. Ni hovyo kabisa. Hamna akili.

Kauli anazotoa Ali Kamwe kwa sasa au anachoandika kinaonesha alipata udumavu wq akili au alibemendwa. Na msikilize msemaji wa Simba Ahmed Ally anaongea pumba naye most of the time anafanya ucheshi. Hata katika mambo serious. Kinachosikitisha ni Kuwa ana watu nyuma yake wanamsikiliza.

Inashangaza sana. Hawa watu wana matatizo gani? Ok.niseme hizi teams zina matatizo gani?

Ndo maana Serikali imeweka hapo macho yake.kuzitumia kuwapumbaza watanzania wengi sababu hawana akili au uelewa.

Usithubutu kumwacha mtoto wako awe mshabiki wa hizi team. Atakuja kuwa naye kama fala sababu huwa mashabiki wa hizi teams wanaondolewa akili.
Fala mwenyewe..halafu hayo mambo jawapangiani..yanakuja tu
 
Nakubaliana na wewe kabisa. Hata mashabiki wao maarufu ukiwasikiliza wanaongea ujinga mtupu, mfano; gb64, mwalimu Yanga, kisugu, doctor Mohamed..... Hawa watu ni wajinga kupitiliza
 
Mashabiki wa hizi team... Wanakuwa hawana akili. Asilimia 80 plus. Usibishe.niamini mimi. Msikilize anachoongea Ali Kamwe na anachofanya akiwa ameambatana na mashabiki hao hao. Ni hovyo kabisa. Hamna akili.

Kauli anazotoa Ali Kamwe kwa sasa au anachoandika kinaonesha alipata udumavu wq akili au alibemendwa. Na msikilize msemaji wa Simba Ahmed Ally anaongea pumba naye most of the time anafanya ucheshi. Hata katika mambo serious. Kinachosikitisha ni Kuwa ana watu nyuma yake wanamsikiliza.

Inashangaza sana. Hawa watu wana matatizo gani? Ok.niseme hizi teams zina matatizo gani?

Ndo maana Serikali imeweka hapo macho yake.kuzitumia kuwapumbaza watanzania wengi sababu hawana akili au uelewa.

Usithubutu kumwacha mtoto wako awe mshabiki wa hizi team. Atakuja kuwa naye kama fala sababu huwa mashabiki wa hizi teams wanaondolewa akili.
Hii Nchi ndiyo maana haiendelei, mtoto ajengewe uwezo wa kutafakari lipi sahihi na lipi kosa. Kataza kataza ndiyo nini, anakuwa kama nyumbu tu, anaishi kwa hofu.
 
Unamjua GSM au Kikwete? Hao ni mashabiki wakubwa wa soka, hemu elezea andiko lako zaidi!!!
 
"MASHABIKI YA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE YANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE YANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI"

- DR LUC EYMAEL 2020
 
FB_IMG_1682646137959 (3).jpg
 
NIMEKUWA NIKIWASISITIZA VIJANA SIKU ZOTE.

"UKISHABIKIA SANA SIMBA NA YANGA AUTOMATICALY AKILI ZA KICHWANI ZINAANZA KUYEYUKA UNAANZA KUWA NA UKICHAA NA UCHIZI"

MUNGU ALINUSURU TAIFA LINAANGAMIA
 
Back
Top Bottom