alexavitus
Member
- Jul 18, 2022
- 40
- 53
Umefika Ulaya ukaona jinsi wanavyoshabikia mpira?Uafrika ni laana,Mungu wabariki wazungu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umefika Ulaya ukaona jinsi wanavyoshabikia mpira?Uafrika ni laana,Mungu wabariki wazungu.
Mamboili ushabikie mpira lazima fyuzi fulani kichwani ziwe zimeachia.
Waangalie tu wanaoshabikia mpira wako kama MAZOMBI yaani hawajielewi kabisa!
Huwa nawaepuka sana, naogopa kuambukizwa uwendawazimu.
Cc: DR Mambo Jambo Nyani Ngabu FaizaFoxy Poor Brain
nilikumiss ulienda wapi babyMambo
Unajua wanafaidikaje?Unamjua GSM au Kikwete? Hao ni mashabiki wakubwa wa soka, hemu elezea andiko lako zaidi!!!
Ulishawahi kuwaona wakilialia au kufanya upuuzi unaofanywa na mashabiki wenzao wa hizo timu? Sasa jiulize kwann haujawahi kuwaona kwenye stage hyUnamjua GSM au Kikwete? Hao ni mashabiki wakubwa wa soka, hemu elezea andiko lako zaidi!!!
Hao wanacheza na akili tu za wajinga wajinga. Hizo takataka sio priority kwaoUnamjua GSM au Kikwete? Hao ni mashabiki wakubwa wa soka, hemu elezea andiko lako zaidi!!!