Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Twende msibani basi, nikupitie[emoji22] duh! rafiki wa baba yangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Twende msibani basi, nikupitie[emoji22] duh! rafiki wa baba yangu.
Kichwa cha habari anasema NI KANALI, katika malekezo akasema ni Lut Jenerali. Hatujui kipi ni kipiRIP. Amekufa akiwa na cheo kipi Jeshini, Kanali au Luteni Jenerali?
Hapa hata mimi sijaelewa au jamaa alisahau ku edit inakuwaje mtu amestaafu alafu aendelee kupanda vyeo anakua kama museven amejipachika ma vyeo tu au kanal gadafi mbona mwenzao kagame alikua meja na hatumii hicho cheo kwenye siasa zakeRIP. Amekufa akiwa na cheo kipi Jeshini, Kanali au Luteni Jenerali?
Kisocky alikuwa mbele yangu, pia nakumbuka, Kajala pia japo nahisi hakumaliza shule, Ali mayai mchuchu wake alikuwa mbele yangu, Daz baba alikuwa mbele yangu madarasa mawilinakumbuka nilipoanza form1 1995 mzee wangu alilipa ada mwaka uliofuata 1996 sikulipa ada mpaka namaliza shule kwasababu tu Mr masawe aligundua nina kipaji cha kucheza basketball huyy mzee aliibua vipaj vingi na amesaidia wengi kutimiza ndoto zao,Jitegemee ilishehen kila aina ya wanamichezo kuanzia mpira wa miguu,maigizo,ngoma mpaka masumbwi...hawa ni baadhi ya watu maarufu waliolelewa na masawe..Njohole,ally mayai,eddo Kumwembe,solo thang,soggy doggy,Bad gear(.witness,richone,daz mwalimu,DazP,Mh Temba,kajala masanja(basketballer),kisoky,Iddy ligongo,emmanuel Ambrose,chid benz,Gervas kasiga(Director wa movie zote za kanumba na mtunzi wa filamu),wasiwasi mwabulambo(azam tv) etc
Allishia na Cheo cha ukanaliKichwa cha habari anasema NI KANALI, katika malekezo akasema ni Lut Jenerali. Hatujui kipi ni kipi
Akiwa Head Jitegemee alikua na cheo gani?Allishia na Cheo cha ukanali
Kanali na sio Lt GenKichwa cha habari anasema NI KANALI, katika malekezo akasema ni Lut Jenerali. Hatujui kipi ni kipi
Kawafananisha Masao na huyu.Kanali na wala sio Lt Gen halafu hakuwahi kuwa mkuu wa chuo Monduli wala NDC mleta uzi anakurupuka tu
KanaliAkiwa Head Jitegemee alikua na cheo gani?
Kweli itakuwa kakoseaKawafananisha Masao na huyu.
Kanali bado mtu mzito jeshiniAllishia na Cheo cha ukanali
Sasa hawezi kua amefariki akiwa bado kanali,Kanali
His time, our time to comeUlale unakostahili kamanda wangu
Huenda kipindi head alikuwa Luteni Kanali, ila sasa hivi kafa akiwa Kanali. Japo toka kitambo hicho alipendeza astaafu hata na Brigedia Geneal. Huenda wenzake walikuwa wanaweka ka uzibe au nae alikuwa na mambo yake, huwezi jua.Sasa hawezi kua amefariki akiwa bado kanali,
kijazi alikuwa mtu wa karibu na jiwe, Masawe alishastaafu Jeshi na ametumika vyeo vya kisiasa wakati wa JK tu...ni wazi wakati wa JK hakukuwa na chuki kubwa ya kisiasa kama wakati huu wa mungu wa chatoo!.Si kweli hakuna mtu alikua hana shida na mtu kama Kijazi ila mlishangilia sana kifo chake,
Huyu najua kwanini hamumtukani.