TANZIA Kanali Fabian Massawe, aliyekuwa RC Kagera afariki dunia

kijazi alikuwa mtu wa karibu na jiwe, Masawe alishastaafu Jeshi na ametumika vyeo vya kisiasa wakati wa JK tu...ni wazi wakati wa JK hakukuwa na chuki kubwa ya kisiasa kama wakati huu wa mungu wa chatoo!.
Wenye akili wameshajua watukanaji mnatoka wapi.
 
Huenda kipindi head alikuwa Luteni Kanali, ila sasa hivi kafa akiwa Kanali. Japo toka kitambo hicho alipendeza astaafu hata na Brigedia Geneal. Huenda wenzake walikuwa wanaweka ka uzibe au nae alikuwa na mambo yake, huwezi jua.
Niisikiaga ilikua akipandishwa cheo inabidi atoke pale Shule, so ikabidi ajicheleweshe kupanda. Ila baada ya kutoka pale sielewi aliendelea vip
 
Niisikiaga ilikua akipandishwa cheo inabidi atoke pale Shule, so ikabidi ajicheleweshe kupanda. Ila baada ya kutoka pale sielewi aliendelea vip
Hakuwa basi anataka makuu, na huenda alijisoma akaona u kanali una mtosha. Huenda alikuwa mtu poa sana. Mtu asie uchu wa madaraka mala nyingi huwa watu poa sana
 
Alikuwaga na ka binti kazuri kazuri.
Mabinti zake wote watatu kama si wanne ni wazuri sana. Yeye handsome boy alioa pia mke beautiful. Hivyo zikatoka point 5 za Kibosho. Kuna mmoja au wawili wameolewa na wazingus🤣🤣🤣
 
Marehemu Kanal Masawe ninamfahamu kiasi fulani. Ni mtu mstaarabu mno tena huwezi kuamini ni Mjeshi. Anayo maisha ya kijamii na hofu ya Mungu sana. Anaheshimu na kupenda sana familia yake. Ni mtu ambaye ni low key kwenye jamii inayomzunguka. Ninaamini hata ambao alishawaongoza katika utumishi wake watamsemea mema.
 
Hata mimi ma lt kanali na kanali wengi ninaowajua ni wastaarabu to the max,full discpline yaani zile sifa mbaya wanazopewaga wanajeshi hawa jamaa hawanaga.

Mpk sometimes hua nahisi pengine kuna mchujo sana wa kuwapata watu wa vyeo hivyo ili walinde sifa za jeshi kwa wananchi.
 
Nimepitia hizi comments zote. Hakika nimejifunza kuwa ukitenda mema utakumbukwa kwa mema yako. Watu wote alikopita Marehemu Masawe wanamnenea mema. Hata wale waluokula mboko za nidhamu wanaona walistahili.

Ni wito kwa viongozi wetu kuwa watu wa busara na wasijifante Mungu mtu yenye kutesa na kudhalilisha. Iko siku moja utalala na husia za watu zitaamka. Jiulize ni hisia gani? Utaelezewaje maisha yako?

Yaani Marehemu Masawe ameacha alama nzuri isiyofutika kwa wale ulioishi na kufanya nao kazi.
 
Legendary Head Master wa JKT Mgulani
 
Hakuwa basi anataka makuu, na huenda alijisoma akaona u kanali una mtosha. Huenda alikuwa mtu poa sana. Mtu asie uchu wa madaraka mala nyingi huwa watu poa sana
Si kwamba alikuwa anakwepa kutolewa kwenye ulaji si unajua ile shule kubwa na fungu ndo analifanyia maamuzi. Angapandishwa cheo na kupelekwa kukaa kwenye ofisi malupulupu angeyatoa wapi. Ni sawa na sasa hivi Afisa Elimu msaidizi wilayani anatamani awe mkuu wa shule hasa za advance ndo kuna mafungu huko.
 
Kuwa ofisa jeshini ni mpaka uwe umepiga shule. Ni tofauti maaskari private ambao ni form four na la saba ambao wamevimbishwa vichwa kuwa wao ndo wenye nchi.
 
Hii sio JW tu, ipo hadi kwenye majeshi yote. Ukikutana na maafisa wa polisi unaweza dhani ni askari wa nchi nyingine kabisa.

Wanyenyekevu,wapole,wanaheshima,wasikivu n.k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…