Kanali Idd Kipingu, bado soka linakuhitaji mzee

Kanali Idd Kipingu, bado soka linakuhitaji mzee

mmteule

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2011
Posts
5,883
Reaction score
14,600
Mzee wetu Kanali Idd Kipingu inafikia wakati tunakumbuka jinsi Makongo Sekondari ya enzi zako ilivyokuwa incubator ya Mastaa wa VPL. Wachezaji kama Juma Kaseja, Henry Joseph, Mussa Mgosi, Jerry Tegete, Boniphace Pawasa nk ni miongoni mwa matunda mazuri ya Shule ya Sekondari ya Makongo. Lakini miaka inaenda na siku zinazidi kusonga hatuoni tena Makongo ikiwa tishio katika kuzalisha wachezaji wa viwango na hapo ndiyo nafikia hitimisho la kusema: Mzee wetu bado soka linakuhitaji, hali ya wachezaji wetu ni mbaya, wanaolea vituo vya soka wamepoteza mwelekeo.

Nimetaja kwa uchache, wadau ongezeeni wachezaji waliopitia Makongo enzi za Kipingu.
 
kama inaendelea kwanini kusitoke vipaji hapo kama alivyokua anafanya Makongo umeshajaribu kujiuliza swali hili?
Maono na Vipaumbele ktk Uongozi yanatofautiana Mkuuu tulikuwa na Zama za Kilimo Kwanza leo tupo Uchumi wa Viwanda. Ndio maaana nikasema kwa hali ya soma letu maono ya Kipingu bado yanahitajika sana
 
Ukipita kwenye ile Shule yake kule Mapinga waweza kudondoka kwa mshangao
 
Wahindi Ni rare specie kwenye biashara. Kuliko sisi ngozi nyeusi ujuaji mwingii
 
Mzee wetu Kanali Idd Kipingu inafikia wakati tunakumbuka jinsi Makongo Sekondari ya enzi zako ilivyokuwa incubator ya Mastaa wa VPL. Wachezaji kama Juma Kaseja, Henry Joseph, Mussa Mgosi, Jerry Tegete, Boniphace Pawasa nk ni miongoni mwa matunda mazuri ya Shule ya Sekondari ya Makongo. Lakini miaka inaenda na siku zinazidi kusonga hatuoni tena Makongo ikiwa tishio katika kuzalisha wachezaji wa viwango na hapo ndiyo nafikia hitimisho la kusema: Mzee wetu bado soka linakuhitaji, hali ya wachezaji wetu ni mbaya, wanaolea vituo vya soka wamepoteza mwelekeo.

Nimetaja kwa uchache, wadau ongezeeni wachezaji waliopitia Makongo enzi za Kipingu.
Kipingu yupo hai kweli?
 
Back
Top Bottom