Tafakari yetu
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 1,505
- 4,427
Katika karata muhimu CCM waliyocheza ni uteuzi wa Kanali Kinana katika nafasi ya Umakamu mwenyekiti, uwepo wa Kinana ni kuhahakisha ushindi kwa chaguzi zijazo.
Ukiachana na sifa nyingine nyingi na za kutukuka katika utendaji na uongozi hasa ile ya uchapakazi lakini Kanali Kinana anaonekana ni mtaalamu wa kufukia mashimo.
Mashimo ninayoyaona ambayo mzee Kinana ataanza kuyafukia ni kama ifuatavyo:
i) Upotoshaji wa taarifa mitandaoni
ii) Chama kukosa coordination
iii) Chama kukosa ushawishi
iv) Hofu ya kushindwa kuzungumza
v)n.k.
Kwa hayo machache hakika kilio cha wapotosha taarifa kitasikika, wanaojiona miungu watu watasulubiwa na watumia nguvu wataumia. Kutakuwa na mabadiliko makubwa serikalini na chamani hususani katika namna watu watakavyokuwa wanatoa kero za wananchi
Aliweza kuyafukia mashimo alipokuwa katibu mkuu wa CCM kuanzia 2012 mpaka 2017 na kusema ukweli alifanikiwa sana, naamini atafanikiwa sasa
Ukiachana na sifa nyingine nyingi na za kutukuka katika utendaji na uongozi hasa ile ya uchapakazi lakini Kanali Kinana anaonekana ni mtaalamu wa kufukia mashimo.
Mashimo ninayoyaona ambayo mzee Kinana ataanza kuyafukia ni kama ifuatavyo:
i) Upotoshaji wa taarifa mitandaoni
ii) Chama kukosa coordination
iii) Chama kukosa ushawishi
iv) Hofu ya kushindwa kuzungumza
v)n.k.
Kwa hayo machache hakika kilio cha wapotosha taarifa kitasikika, wanaojiona miungu watu watasulubiwa na watumia nguvu wataumia. Kutakuwa na mabadiliko makubwa serikalini na chamani hususani katika namna watu watakavyokuwa wanatoa kero za wananchi
Aliweza kuyafukia mashimo alipokuwa katibu mkuu wa CCM kuanzia 2012 mpaka 2017 na kusema ukweli alifanikiwa sana, naamini atafanikiwa sasa