Kanali Kinana, mtaalamu wa kufukia mashimo. Wapotoshaji watasulubiwa kimya kimya

Kanali Kinana, mtaalamu wa kufukia mashimo. Wapotoshaji watasulubiwa kimya kimya

Hapana, hukusoma vibaya, ila mleta mada hakujieleza vizuri.

Kiujumla, mada yake ni fikirishi sana, lakini hakuijengea hoja zinazostahili kujengwa juu ya umuhimu wa Kinana kwenye chama hicho wakati huu.

Kusema kwamba CCM itamtegemea sana huyu mtu wakati huu hadi 2025, itakuwa ni 'understatement' (sijui niandikeje kwa lugha yetu taathimu).

Simwoni mtu mwingine yeyote humo CCM mwenye uwezo wa kuisogeza karibu zaidi CCM kwa wananchi kwa sasa, zaidi ya huyu Kinana.

Ni wazi kabisa, kuwa "ni mfukia Mashimo Mzuri Sana."
Ccm wanaiogopa katiba na tume huru
 
Back
Top Bottom