Kanali Martini Mkisi kweli maisha ni gwaride

Unajua kwamba General Mboma alipanda kutoka Major General kuwa General bila kupitia Lt General?
Inawezekana sio lazima uwe Lt General, Maana macho ya rais anaanza kuangalia kuanzia major general means wakuu wa kamandi so kama ni zari lako unatoboa
 
Unajua kwamba General Mboma alipanda kutoka Major General kuwa General bila kupitia Lt General?
Skipping ranks sio desturi nzuri

Na hapo Mboma alikuwa anauwezo vizuri tu wa kuwa CDF bila kuruka ngazi sababu alishafika umeja jenerali
 

Nani alikwambia ukimbie umande[emoji1787][emoji1787][emoji1787] shule muhimu mzee utaishia kutumwa tumia tu hapo[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Nani alikwambia ukimbie umande[emoji1787][emoji1787][emoji1787] shule muhimu mzee utaishia kutumwa tumia tu hapo[emoji2][emoji2][emoji2]
Skia ww raia mm ni "Boa Sargent" si tumwi tumwi ovyo hata gard lindo kukaa sikai mm nakaa ofisini kama msomi mm ndo napanga mtiririko mzima wa kikosi kizima nani akae gard nani afanye ivi nani afanye ivi uyu akae pale kwaiyo basi siteseki Jeshini mm ww...
 
Hivi huyu Mkisi si ndie aliyekataa uteuzi wa U-DC wa JPM akarudishwa HQ na kutimuliwa kazi??kama ndie aliyekuwa Jitegemee Sekondari basi hayupo Jeshini kwa ninavyofahamu
 
Mkuu mishahara ni siri,umejuaje?
 
Hivi huyu Mkisi si ndie aliyekataa uteuzi wa U-DC wa JPM akarudishwa HQ na kutimuliwa kazi??kama ndie aliyekuwa Jitegemee Sekondari basi hayupo Jeshini kwa ninavyofahamu
Hiyo Clip kwenye Channel amejitambulisha kama Kanali na hiyo Clip imerekodiwa mwezi May au June mwaka huu
 
Kulikuwa na mitihani siyo ya makaratasi. Mafunzo yalikuwa mazito na hatari Sana.
Kwa hiyo vijana wengi wangeshindwa??

Lakini hata huo wa makaratasi si unaenda na wa vitendo
 
Hahaa daah
 
Kwa nn alirogwa?km ni makosa ya kudhamilia hapaswi kupewa cheo ataumiza wengine
 
Kwa kigezo cha elimu au?
Hao wote wawili nawafahamu


Unaulizia elimu ya Mkisi?!! Mkisi alipiga GPA kali UDSM mpaka UDSM walikuja kumpa lecture kazi part time wakati hajaamishwa kwenda U'CO' Mafinga Jkt

Mkisi hajapata vyeo kibahati bahati
 
Hivi huyu Mkisi si ndie aliyekataa uteuzi wa U-DC wa JPM akarudishwa HQ na kutimuliwa kazi??kama ndie aliyekuwa Jitegemee Sekondari basi hayupo Jeshini kwa ninavyofahamu
Km unakataa kazi ninayokutuma huna utiifu na nidhamu...inatosha kuwa sababu kubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…