Msela Baharia
JF-Expert Member
- Jun 12, 2016
- 766
- 1,104
Inawezekana sio lazima uwe Lt General, Maana macho ya rais anaanza kuangalia kuanzia major general means wakuu wa kamandi so kama ni zari lako unatoboaUnajua kwamba General Mboma alipanda kutoka Major General kuwa General bila kupitia Lt General?
Skipping ranks sio desturi nzuriUnajua kwamba General Mboma alipanda kutoka Major General kuwa General bila kupitia Lt General?
Silii na ndoma na like post yako ila nimesema tuu nyny ndo wale mkija jeshini tuna waita ma officer wa voda fasta mana ww una vinyota viwili tuu unataka unipelekeshe mm mkongwe eti ww sagent njoo hapa mm nimeingia jeshini na miaka zaidi ya 20 now niko jeshini ww uko shuleni heshimini watu mnaotukuta kwenye chombo sisi ma askari tunajua mengi sana na iki chombo msilete dharau...sisi ndo tunawafundisha kazi nyny ni ite kustaarabu aisee Sagent njoo nakuomba mara moja na sio kunipelekesha eti njoo apa mtoto wa juzi ww unanita mm njoo hapa ila kuna wengine wastaarabu sana nawapenda ukimsalimia jambo afande anaitikia vzr na mnaongea vzr sana ndio atukatai ni mafande wetu lkn muwe mnatuheshimu aisee mana mmetukuta kwenye chomba stupid....
Seniority na KAZI, usisahahu hiloZikishaisha ngazi za mitihani zinakuja ngazi za kupanda kwa seniority
Skia ww raia mm ni "Boa Sargent" si tumwi tumwi ovyo hata gard lindo kukaa sikai mm nakaa ofisini kama msomi mm ndo napanga mtiririko mzima wa kikosi kizima nani akae gard nani afanye ivi nani afanye ivi uyu akae pale kwaiyo basi siteseki Jeshini mm ww...Nani alikwambia ukimbie umande[emoji1787][emoji1787][emoji1787] shule muhimu mzee utaishia kutumwa tumia tu hapo[emoji2][emoji2][emoji2]
Mkuu mishahara ni siri,umejuaje?Sijawahi ona luteni kanali Youngster
Wasomi jeshini ni miaka yote wapo
kama maeneo mengine duniani tunafuata viwango vya muingereza Uafisa sifa ya kwanza at least mwenye cheti cha form six plus officer candidate interview
ila hao wa 2011 ambao wapo kwenye umeja hongera kwao kwakweli maana wanakula mshahara zaidi ya milioni nne ktk umri mdogo sana
Mkuu mshahara ni siri umejuaje?Mshahara wa milioni nne mtu hata watoto hana
Hiyo Clip kwenye Channel amejitambulisha kama Kanali na hiyo Clip imerekodiwa mwezi May au June mwaka huuHivi huyu Mkisi si ndie aliyekataa uteuzi wa U-DC wa JPM akarudishwa HQ na kutimuliwa kazi??kama ndie aliyekuwa Jitegemee Sekondari basi hayupo Jeshini kwa ninavyofahamu
Mnyasa huyo.Msafa wa mbeya wa kizazi kipya
Kulikuwa na mitihani siyo ya makaratasi. Mafunzo yalikuwa mazito na hatari Sana.Enzi za wazee wasio soma za Msuguri kulikuwa hakuna mitihani
Kwa hiyo vijana wengi wangeshindwa??Kulikuwa na mitihani siyo ya makaratasi. Mafunzo yalikuwa mazito na hatari Sana.
Hahaa daahAkiingia kwenye pindi au kama anahutubia
Anaanza kuzungumzia familia yake kwanza.
Familia yangu yote hakuna mwenye Degree, ni masters kwenda juu, mimi na mke wangu tuu kitanda chetu kinalaliwa na degree 4.
Mimi nina pesa..
Mkuu wa shule kubwa kabisa Tz na east africa,
Mwanajeshi pekee handsome na aliyesoma...
Ukiona gari yangu inapita manzese ujue imeibiwa, toa taarifa,
Nalipwa mshahara na Jeshi, Shule na vyuo.
Hapo hajazungumzia gari,
Hajataja sifa za mwanae,
Hajataja backgroud ya kwao....
Hahaa anyway ni mtu poa na smart sana, hayo mengine ni mambo binafsi
Kwa nn alirogwa?km ni makosa ya kudhamilia hapaswi kupewa cheo ataumiza wengineWee acha bana, alopitia Kanali mkisi ni makubwa sana.
Jamaa ilifikia muda mwenyewe akaomba kutolewa uDC , jamaa alirogwa, alikua hawez kutoka hata kitandani.
Jiwe alipoona barua ya jamaa, akaamua kumtoa ,nasababu kubwa yeye akakazia et "Mjeda gan unaomba kutolewa kwa nafasi ulochaguliwa namkuu wako??"...utovu wa nidhamu.
Ila jamaaaa angekua keshasepa nakaburi limemeza, alirogwa akiwa DC
Hao wote wawili nawafahamu
Unaulizia elimu ya Mkisi?!! Mkisi alipiga GPA kali UDSM mpaka UDSM walikuja kumpa lecture kazi part time wakati hajaamishwa kwenda U'CO' Mafinga Jkt
Mkisi hajapata vyeo kibahati bahati
Zipi i sifa za kawaida...hakusoma kabisa auMkuu we jua tu kuwa Mkisi ana high GPA first,second degrees ila Mbuge ana sifa za kawaida tu
Na inawezekana hajaliona kosa akaendelea kuchukuliaa poaMkuu huwa unaandika vitu simple sana ila vina maana kubwa sana ndani yake
Km unakataa kazi ninayokutuma huna utiifu na nidhamu...inatosha kuwa sababu kubwaHivi huyu Mkisi si ndie aliyekataa uteuzi wa U-DC wa JPM akarudishwa HQ na kutimuliwa kazi??kama ndie aliyekuwa Jitegemee Sekondari basi hayupo Jeshini kwa ninavyofahamu