Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Unaona Sasa ushaanza kukimbia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji123][emoji3][emoji3][emoji3] alafu mie ni Rai mwema kamanda.. mambo yenu hayo mie sipo.. nakula maisha tu huku uraini..
Nimekuelewa vyema sana mkuuSi unaona mwenyewe
Hata naibu mkurugenzi mkuu wa sasa wa hicho chombo ni siri
Sijaita kijana yyte tusi na sina historia hiyo ya tusi lolote review post zangu...wala voda fasta wala vyo yote.ila shimbo (lt.gen mstaafu) alisema moja ya sababu ya kutaka kuanzisha shahada ya sayansi ya kijeshi ni aina ya maafisa wanaopata kutokana vyuo vya kiraia na wanakaa nao mda mfupi kabla ya kuwapa ukamisheniKatafuute uwajue Google ipo
Na nikukumbushe nyakati zinabadilika usifananishe Mambo ya 1979 na 2020 .
Nachokushauri kubaki nafasi yako acha dharau kuwaita vijana maafisa wa voda fasta
Hakuna aliekuzuia wewe kuwa afisa
Maisha Ni safari ndefu kila mtu na kipande chake
Wivu unaua
Sent using Jamii Forums mobile app
Hajui watu hawana jema. Wamesota sana bila kula cheo halafu mdogo mtu anapanda fasta fasta wao wapo tu..Mdogo ake ni wake madogo wa mujibu wa sheria wamekaa sana uzalendo pale TAU 95Kj yani watu wana connect dot uyu jamaa hajui....ana funguka tu kizembe zembe...
Na ndomana nikauliza kwann alitolewa U DC uko kigoma why...???
Wapo wanarushwa wa chini yake hatariHuyo aliomba mwenyewe arudushwe kikosini kazi ya u DC hakuipenda, sasa naona hicho kitu ndo kinamletea shida!
Dogo anajua elimu tu itafanya upate cheo kasahau nidhamu ni kiungo muhimu sana kukufanya wewe kupanda cheo.Skia ww raia mm ni "Boa Sargent" si tumwi tumwi ovyo hata gard lindo kukaa sikai mm nakaa ofisini kama msomi mm ndo napanga mtiririko mzima wa kikosi kizima nani akae gard nani afanye ivi nani afanye ivi uyu akae pale kwaiyo basi siteseki Jeshini mm ww...
Dogo anajua elimu tu itafanya upate cheo kasahau nidhamu ni kiungo muhimu sana kukufanya wewe kupanda cheo.
😂😂😂😂Akiingia kwenye pindi au kama anahutubia
Anaanza kuzungumzia familia yake kwanza.
Familia yangu yote hakuna mwenye Degree, ni masters kwenda juu, mimi na mke wangu tuu kitanda chetu kinalaliwa na degree 4.
Mimi nina pesa..
Mkuu wa shule kubwa kabisa Tz na east africa,
Mwanajeshi pekee handsome na aliyesoma...
Ukiona gari yangu inapita manzese ujue imeibiwa, toa taarifa,
Nalipwa mshahara na Jeshi, Shule na vyuo.
Hapo hajazungumzia gari,
Hajataja sifa za mwanae,
Hajataja backgroud ya kwao....
Hahaa anyway ni mtu poa na smart sana, hayo mengine ni mambo binafsi
Ww unamda gani kwenye hiki chombo.. ???Usijidanganye kwenye ile Vita kulikuwa na.makamanda waliosoma.sandhurst Kama akina mej Gen Walden so kaa kwa kutulia
Sent using Jamii Forums mobile app
We ujielewi ww...mshamba wa maisha wewe...Ufahamu gani ambao nyie Askari mnao zaidi ya maafisa
Nyie hata ishu zingine za jeshi ngumu kujua zaidi ya kupewa order mtekeleze
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio askari wote wanspokea oda kutoka kwa maafisa mfano 92kj awapokei oda kutoka kwa afisa yeyote yule mkuu zaidi ya General mabeyo na Raisi Amiri jeshi mkuu unazani kila kikosi wanapokea oda kiboya tuu na kutekeleza afu ivi viluteni ivi cjui vikoje...Nenda 92Kj ukatoe oda yako kama wauni wa pale watakusikiliza....pale oda ya Raisi na mkuu wa majeshi tuu ndo zinazotekelezwa msilete dharau hapa...au ww utakuwa wale madogo wa Navy wewe...Ufahamu gani ambao nyie Askari mnao zaidi ya maafisa
Nyie hata ishu zingine za jeshi ngumu kujua zaidi ya kupewa order mtekeleze
Sent using Jamii Forums mobile app
Ufutwe nn hakuna kufutwa...Kwa maslahi mapana, nashairi huu uzi ufutwe hapa
Wazee wa ngerengere hao sioSio askari wote wanspokea oda kutoka kwa maafisa mfano 92kj awapokei oda kutoka kwa afisa yeyote yule mkuu zaidi ya General mabeyo na Raisi Amiri jeshi mkuu unazani kila kikosi wanapokea oda kiboya tuu na kutekeleza afu ivi viluteni ivi cjui vikoje...Nenda 92Kj ukatoe oda yako kama wauni wa pale watakusikiliza....pale oda ya Raisi na mkuu wa majeshi tuu ndo zinazotekelezwa msilete dharau hapa...au ww utakuwa wale madogo wa Navy wewe...
Ndio.Wazee wa ngerengere hao sio
Naomba taarifa mkuuHayupo jeshini tena
Wakikutana njiani salute kama kawa, heshima ifate mkondoSio askari wote wanspokea oda kutoka kwa maafisa mfano 92kj awapokei oda kutoka kwa afisa yeyote yule mkuu zaidi ya General mabeyo na Raisi Amiri jeshi mkuu unazani kila kikosi wanapokea oda kiboya tuu na kutekeleza afu ivi viluteni ivi cjui vikoje...Nenda 92Kj ukatoe oda yako kama wauni wa pale watakusikiliza....pale oda ya Raisi na mkuu wa majeshi tuu ndo zinazotekelezwa msilete dharau hapa...au ww utakuwa wale madogo wa Navy wewe...
Mwenye hizo sifa ni Mbuge au Mkisi mkuu?Hahaaa hata sijuii...
Hizo ni baadhi ya kauli zake tuu, Ashawahi vunja simu ya thamani mbele ya wanafunzi kuonesha ana hela..
Anakuambia kwenye friji yangu hakuna kinywaji cha chini ya 200,000
Mwanagu wa darasa la tatu anakuzidi hicho ulicho present.
Kitanda changu kinalaliwa na degree nne..
Zangu mbili na za mke wangu mbili
Ninalipwa mshahara na Jeshi, Shule na vyuo,
Ukiona gari langu linapita manzese ujue limeibiwa...
House girl wangu lazima awe na degree
Yaani jamaa ndio maisha yake hayo..
Fanya ufanyavyo usije ukaingia kwenye anga zake,
Kinyume na hapo hana shida na wewe.
Ila kiukweli ni very smart kichwani na ni kiongozi mzuri sana...