Kanali Martini Mkisi kweli maisha ni gwaride

Kanali Martini Mkisi kweli maisha ni gwaride

Katafuute uwajue Google ipo

Na nikukumbushe nyakati zinabadilika usifananishe Mambo ya 1979 na 2020 .

Nachokushauri kubaki nafasi yako acha dharau kuwaita vijana maafisa wa voda fasta

Hakuna aliekuzuia wewe kuwa afisa

Maisha Ni safari ndefu kila mtu na kipande chake

Wivu unaua

Sent using Jamii Forums mobile app
Sijaita kijana yyte tusi na sina historia hiyo ya tusi lolote review post zangu...wala voda fasta wala vyo yote.ila shimbo (lt.gen mstaafu) alisema moja ya sababu ya kutaka kuanzisha shahada ya sayansi ya kijeshi ni aina ya maafisa wanaopata kutokana vyuo vya kiraia na wanakaa nao mda mfupi kabla ya kuwapa ukamisheni
Mwisho wa kunukuu
 
Mdogo ake ni wake madogo wa mujibu wa sheria wamekaa sana uzalendo pale TAU 95Kj yani watu wana connect dot uyu jamaa hajui....ana funguka tu kizembe zembe...
Hajui watu hawana jema. Wamesota sana bila kula cheo halafu mdogo mtu anapanda fasta fasta wao wapo tu..

Dogo akianzwa piga majungu aanze kulialia humu ndani, kumbe yeye ndio chanzo. Na nimuambie tu hakuna sehemu yenye majungu kama kwenye vyombo vya ulinzi na usalama..

Ningemuona wa busara mno kama asingeandika kile alichoandika humu ndani ama angeandika kwa code..
 
Skia ww raia mm ni "Boa Sargent" si tumwi tumwi ovyo hata gard lindo kukaa sikai mm nakaa ofisini kama msomi mm ndo napanga mtiririko mzima wa kikosi kizima nani akae gard nani afanye ivi nani afanye ivi uyu akae pale kwaiyo basi siteseki Jeshini mm ww...
Dogo anajua elimu tu itafanya upate cheo kasahau nidhamu ni kiungo muhimu sana kukufanya wewe kupanda cheo.
 
Akiingia kwenye pindi au kama anahutubia
Anaanza kuzungumzia familia yake kwanza.

Familia yangu yote hakuna mwenye Degree, ni masters kwenda juu, mimi na mke wangu tuu kitanda chetu kinalaliwa na degree 4.
Mimi nina pesa..
Mkuu wa shule kubwa kabisa Tz na east africa,
Mwanajeshi pekee handsome na aliyesoma...
Ukiona gari yangu inapita manzese ujue imeibiwa, toa taarifa,
Nalipwa mshahara na Jeshi, Shule na vyuo.
Hapo hajazungumzia gari,
Hajataja sifa za mwanae,
Hajataja backgroud ya kwao....

Hahaa anyway ni mtu poa na smart sana, hayo mengine ni mambo binafsi
😂😂😂😂
 
Ufahamu gani ambao nyie Askari mnao zaidi ya maafisa

Nyie hata ishu zingine za jeshi ngumu kujua zaidi ya kupewa order mtekeleze



Sent using Jamii Forums mobile app
Sio askari wote wanspokea oda kutoka kwa maafisa mfano 92kj awapokei oda kutoka kwa afisa yeyote yule mkuu zaidi ya General mabeyo na Raisi Amiri jeshi mkuu unazani kila kikosi wanapokea oda kiboya tuu na kutekeleza afu ivi viluteni ivi cjui vikoje...Nenda 92Kj ukatoe oda yako kama wauni wa pale watakusikiliza....pale oda ya Raisi na mkuu wa majeshi tuu ndo zinazotekelezwa msilete dharau hapa...au ww utakuwa wale madogo wa Navy wewe...
 
Sio askari wote wanspokea oda kutoka kwa maafisa mfano 92kj awapokei oda kutoka kwa afisa yeyote yule mkuu zaidi ya General mabeyo na Raisi Amiri jeshi mkuu unazani kila kikosi wanapokea oda kiboya tuu na kutekeleza afu ivi viluteni ivi cjui vikoje...Nenda 92Kj ukatoe oda yako kama wauni wa pale watakusikiliza....pale oda ya Raisi na mkuu wa majeshi tuu ndo zinazotekelezwa msilete dharau hapa...au ww utakuwa wale madogo wa Navy wewe...
Wazee wa ngerengere hao sio
 
Sio askari wote wanspokea oda kutoka kwa maafisa mfano 92kj awapokei oda kutoka kwa afisa yeyote yule mkuu zaidi ya General mabeyo na Raisi Amiri jeshi mkuu unazani kila kikosi wanapokea oda kiboya tuu na kutekeleza afu ivi viluteni ivi cjui vikoje...Nenda 92Kj ukatoe oda yako kama wauni wa pale watakusikiliza....pale oda ya Raisi na mkuu wa majeshi tuu ndo zinazotekelezwa msilete dharau hapa...au ww utakuwa wale madogo wa Navy wewe...
Wakikutana njiani salute kama kawa, heshima ifate mkondo
 
Hahaaa hata sijuii...
Hizo ni baadhi ya kauli zake tuu, Ashawahi vunja simu ya thamani mbele ya wanafunzi kuonesha ana hela..

Anakuambia kwenye friji yangu hakuna kinywaji cha chini ya 200,000

Mwanagu wa darasa la tatu anakuzidi hicho ulicho present.

Kitanda changu kinalaliwa na degree nne..
Zangu mbili na za mke wangu mbili

Ninalipwa mshahara na Jeshi, Shule na vyuo,

Ukiona gari langu linapita manzese ujue limeibiwa...

House girl wangu lazima awe na degree

Yaani jamaa ndio maisha yake hayo..
Fanya ufanyavyo usije ukaingia kwenye anga zake,
Kinyume na hapo hana shida na wewe.

Ila kiukweli ni very smart kichwani na ni kiongozi mzuri sana...
Mwenye hizo sifa ni Mbuge au Mkisi mkuu?
 
Back
Top Bottom