Kwa zamani ambapo hata viwango vya upandaji vyeo ilikuwa hauendani na wakati sio mbaya maana ukistaafu kwenye umeja umeja wenyewe kwa wakati huo hupati aibu ya kuwa ulikwama sababu ya mitihaniwakati huo hakukuwa na makanali wengi walikuwa wanahesabika. Major ndiyo ilikuwa kikomo kwa wengi; mmarufi walikuwa ni pamoja na Major Kyusa pamoja na Major Hashim Mbita wakati huo.
Kuna mzee hapa anasema Mkisi alikuwa brig. miaka ya ' 70 na alikua kiongozi JKTYuko vizuri sana kichwani jamaa
Kuna Mkisi wa zamani ni marehemu kwa sasa ndio aliwahi kuwa Brigedia na alifika pia kuwa meja jenerali huyo alijuwa anaitwa Meja jenerali Nelson MkisiKuna mzee hapa anasema Mkisi alikuwa brig. miaka ya ' 70 na alikua kiongozi JKT
ukweli ni UPI?
Mkisi senior alikuwa mkuu wa Jkt huyu ni junior ambaye ni kanaliKuna mzee hapa anasema Mkisi alikuwa brig. miaka ya ' 70 na alikua kiongozi JKT
ukweli ni UPI?
Mimi zamani nilikuwa najua kwamba mwanajeshi hawezi kupanda cheo bila nchi husika haipo kwenye vita. Nilijua vita pekee ndo vinaweza kumpatia cheo mwanajeshi.
Okay. Alikuwa kitivo/ndaki ama idara gani hapo UDSM?Kichwa sana na mchapa kazi
UDSM alipasua akatoka na high GPA
Alipandishwa baadaye, na nadhani alipanda kutoka major hadi Brigadier General; kwa sababu sina kumbukumbu hapo katikati kwa yeye kuwa Kanali. Maafisa wengi wa jeshi waasisi waliokuwa na vyeo vya chini na baadaye kutumika kwenye shughuli nje ya jeshi alipandishwa kwa mtindo huo. Hata Sarakikya naye alipandishwa ingawa yeye alikuwa major General nadhani alipandishwa kuwa General. Luteni Alexander Gwebe Nyirenda naye alipandishwa kuwa Brigadier General. Mbita alitumia sehemu kubwa ya maisha yake kwenye mambo ya kidiplomasia zaidi kuliko jeshi; mara baada ya kutoka kuwa Press Secretary wa Nyerere ndipo alipanda kuwa Major na kupewa kamati ya Ukombozi wa Kusini mwa Afrika; aliendelea huko kwenye diplomacy za Ukombozi hadi kustaafu kwakeHashim Mbita alikuja kupandishwa baada ya kustaafu au?
Maana mazishi yake nilifuatilia amezikwa akiwa ni Brig Gen mstaafu
Sijui sura yake lakini enzi hizo alikuwa vocal sana; baadaye Nyerere alimhamisha kutoka jeshini na kumfanya General manager wa shirica fulani la mbao, sijui TWICO
Sijui sura yake lakini enzi hizo alikuwa vocal sana; baadaye Nyerere alimhamisha kutoka jeshini na kumfanya General manager wa shirica fulani la mbao, sijui TWICO
Alipandishwa baadaye, na nadhani alipanda kutoka major hadi Brigadier General; kwa sababu sina kumbukumbu hapo katikati kwa yeye kuwa Kanali. Maafisa wengi wa jeshi waasisi waliokuwa na vyeo vya chini na baadaye kutumika kwenye shughuli nje ya jeshi alipandishwa kwa mtindo huo. Hata Sarakikya naye alipandishwa ingawa yeye alikuwa major General nadhani alipandishwa kuwa General. Luteni Alexander Gwebe Nyirenda naye alipandishwa kuwa Brigadier General. Mbita alitumia sehemu kubwa ya maisha yake kwenye mambo ya kidiplomasia zaidi kuliko jeshi; mara baada ya kutoka kuwa Press Secretary wa Nyerere ndipo alipanda kuwa Major na kupewa kamati ya Ukombozi wa Kusini mwa Afrika; aliendelea huko kwenye diplomacy za Ukombozi hadi kustaafu kwake
Alitoka jeshini zamani sana, ilikuwa ni mwanzoni mwa miaka ya sabini kabla ya 1975. Kama angelikuwa amebakia Jeshini, alikuwa na nafasi kubwa sana ya kuwa CDF or CoS, kwani alikuwa anajulikana kuwa ni mwanajeshi msomi sana wakati huo...basi ndiye huyo unayemuona hapo kwenye video.
..unafahamu aliondoka jeshini mwaka gani, kwasababu alikuwa GM wa viwanda vya mbao kwa muda mrefu.
Hiyo sijaijua kumbe Mkisi alikuwa anatuma wanajeshi kukamata wanaochochoraMy personal views katika kipindi cha miaka 2016-2020 ni wanajeshi wachache wameludi shule kuongeza elimu ukiachana na course mbali mbali zilizopo ndani ya taasisi yao tunaitaji professors and Doctors wengi ili wajisifu Kama Mkisi...
Nimekumbuka enzi za JITEGEME ukifanya dhambi Kama una mbio kimbia ila wakikushika umeishaa...afande tupatie mbwa vijana wanambio sana hawa ...afande anawajibu nileteeni vijana kwenye team ya riadha[emoji23]
Cheo cha mwisho ni major jenerali au jenerali? Ebu nyoosha hapo mkuu!!Upo usemi kuwa maisha ni kama Gwaride wa kwanza anaweza kuwa wa mwisho na wa mwisho akawa wa kwanza hii yote inategemea gwaride limeamrishwaje
Wiki tatu zilizopita update ni kuwa Martin Mkisi bado yupo kwenye ukanali tangia mwaka 2015
Tarehe 31 August mwaka 2016 Mbuge alikuwa na cheo cha luteni kanali akiwa CO Ruvu katika tarehe hiyo Mkisi alikuwa ni DC Kasulu akiwa ni kanali Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof Ndalichako afunga Mafunzo ya Vijana kwa Mujibu wa sheria Ruvu JKT
DC KASULU NA KAMATI YAKE YA ULINZI NA USALAMA WAFANYA OPERESHENI KUKAMATA MAJANGILI NA WATEKAJI
Yaani kwa kifupi ni kwamba katika Uafisa mkuu jeshini Martin Mkisi ni senior kwa Mbuge ila ndio vile tena maisha Gwaride Mbuge kapandishwa haraka haraka na Mkuu wa kaya jiwe
Leo Mbuge yuko ngazi mbili juu ya Martin Mkisi cha kuumiza zaidi Mkisi na Mbuge walikuwa kituo kimoja cha kazi pale Mgulani huku Mkisi akiwa ni mkubwa wa Mbuge
Mkisi kurudi kuwa mkubwa kwa Mbuge ni kama haiwezekani, possible scenario ni labda Mkisi afike kwenye uluteni jenerali wakati huo Mbuge akishindwa au akichelewa kufika kwenye uluteni jenerali na jeshini techinically cheo cha mwisho ni meja jenerali na hakuna uhakika kama Mkisi atafanikisha angalau kufika kwenye ubrigedia
"Technically " Cheo cha mwisho jeshini ni Maj.Gen.Cheo cha mwisho ni major jenerali au jenerali? Ebu nyoosha hapo mkuu!!
Afande tulia basi dah 🤣🤣🤣Silii na ndoma na like post yako ila nimesema tuu nyny ndo wale mkija jeshini tuna waita ma officer wa voda fasta mana ww una vinyota viwili tuu unataka unipelekeshe mm mkongwe eti ww sagent njoo hapa mm nimeingia jeshini na miaka zaidi ya 20 now niko jeshini ww uko shuleni heshimini watu mnaotukuta kwenye chombo sisi ma askari tunajua mengi sana na iki chombo msilete dharau...sisi ndo tunawafundisha kazi nyny ni ite kustaarabu aisee Sagent njoo nakuomba mara moja na sio kunipelekesha eti njoo apa mtoto wa juzi ww unanita mm njoo hapa ila kuna wengine wastaarabu sana nawapenda ukimsalimia jambo afande anaitikia vzr na mnaongea vzr sana ndio atukatai ni mafande wetu lkn muwe mnatuheshimu aisee mana mmetukuta kwenye chomba stupid....