Kanali Martini Mkisi kweli maisha ni gwaride

Kanali Martini Mkisi kweli maisha ni gwaride

da hv hujui kuwa siku hzi mkisi ni lecturer juo flan hapa Tz...ashaachana na JESHI KITAMBO SANA

Yuko Chuo gani?

Hapo kwenye mada nimewawekea link ya Youtube video ina wiki tatu tu toka ichukuliwe video kaangalie Mkisi kajitambulisha kwenye hiyo Channel kuwa ana cheo cha kanali

Na kijeshi huruhusiwi kutumia jina la cheo kama hukustaafu kwa utaratibu
 
jamaa alikuwa na program yake moja inaitwa MKISI PROGRAMU...aisee kuna siku aliingia darasan kwetu akaanza kukagua daftari la mmoja baada ya mwingine..akamkuta mmoja hata daftar hana...aisee alimpiga kofi moja hilo darasa zima tukashtuka..dogo akapatwa na maluelue ikabd apelekwe hospital ndo ikawa pona yangu....maana mi mwenyewe aikuwa na daftar siku hyo
JWTZ kwa makofi tu

....sio la kushangaa
 
Mbuge aliingia Jeshini lini na elimu gani na Mkisi aliingia lini na Elimu gani
Hao wote wawili nawafahamu


Unaulizia elimu ya Mkisi?!! Mkisi alipiga GPA kali UDSM mpaka UDSM walikuja kumpa lecture kazi part time wakati hajaamishwa kwenda U'CO' Mafinga Jkt

Mkisi hajapata vyeo kibahati bahati
 
Hakuna cha kusota, elimu tu
JWTZ hakuna shortcut kupata vyeo

fuatilia Maluteni kanali wamepata hicho cheo wakiwa na umri gani Wanaowahi uluteni kanali huwa wana miaka arobaini na kitu tena hao wamewahi ndio maana wanaovaa vijogoo wengi wazee ni sasa hivi tu batch za karibuni tunawaona maluteni kanali wa miaka 40s
 
JWTZ hakuna shortcut kupata vyeo

fuatilia Maluteni kanali wamepata hicho cheo wakiwa na umri gani Wanaowahi uluteni kanali huwa wana miaka arobaini na kitu tena hao wamewahi ndio maana wanaovaa vijogoo wengi wazee ni sasa hivi tu batch za karibuni tunawaona maluteni kanali wa miaka 40s
Labda kama ulikuwa huelewi, wengi huwa wanakwama kwenye kutoka meja kuwa Luteni Kanali ni kwa sababu za mitihani, hata hivyo zamani ndio ilikuwa inazingatiwa seniority kwasasa kipawa elimu, ila baada ya kchukuliwa wasomi sahv wanatusua uluteni kanali fasta, na wanaokwama ni wale wazee wa zamani, kama huamini ulizia. Vijana walioingia 2011 sahv mameja. Angalia wana muda gani.
 
Alikuwa mkuu wa jeshi pale mafinga 2015 mara nyingi alikuwa haonekani hakuwa kambini ila Kama akiwepo kambini kuruta wote tunakula bata kula naye sana mastory,private ndo walikuwa wanakinywea
 
Labda kama ulikuwa huelewi, wengi huwa wanakwama kwenye kutoka meja kuwa Luteni Kanali ni kwa sababu za mitihani, hata hivyo zamani ndio ilikuwa inazingatiwa seniority kwasasa kipawa elimu, ila baada ya kchukuliwa wasomi sahv wanatusua uluteni kanali fasta, na wanaokwama ni wale wazee wa zamani, kama huamini ulizia. Vijana walioingia 2011 sahv mameja. Angalia wana muda gani.
Sijawahi ona luteni kanali Youngster

Wasomi jeshini ni miaka yote wapo
kama maeneo mengine duniani tunafuata viwango vya muingereza Uafisa sifa ya kwanza at least mwenye cheti cha form six plus officer candidate interview


ila hao wa 2011 ambao wapo kwenye umeja hongera kwao kwakweli maana wanakula mshahara zaidi ya milioni nne ktk umri mdogo sana
 
Sijawahi ona luteni kanali Youngster

Wasomi jeshini ni miaka yote wapo
kama maeneo mengine duniani tunafuata viwango vya muingereza Uafisa sifa ya kwanza at least mwenye cheti cha form six plus officer candidate interview


ila hao wa 2011 ambao wapo kwenye umeja hongera kwao kwakweli maana wanakula mshahara zaidi ya milioni nne ktk umri mdogo sana
Wengi kinachowagandisha sio kozi za kijeshi bali ni Promex, unaelewa maana ya promex? 2013 kuna jamaa ninaemfahamu alikuwa ni Kanali na alikuwa hajafikisha hata 40.
 
Wengi kinachowagandisha sio kozi za kijeshi bali ni Promex, unaelewa maana ya promex? 2013 kuna jamaa ninaemfahamu alikuwa ni Kanali na alikuwa hajafikisha hata 40.
Hivi vyeo vya nembo(maj mpaka col) haviangalii muda wa kutumikia? Kwamba vyenyewe vimebase kwenye mtu kutusua Promex tu basi
 
Hivi vyeo vya nembo(maj mpaka col) haviangalii muda wa kutumikia? Kwamba vyenyewe vimebase kwenye mtu kutusua Promex tu basi
Unakumbuka kuna maada moja niliwahi kukwambia kuwa mbali ya muda wa kukaa na cheo pia kuna hitajio na mambo mengine kama vile Amirijeshi mkuu atavyoona inafaa?? Jitahidi ukumbuke, pia kuna watu wamemaliza Cadet muda mfupi mbele waliukwaa umeja kutokana na elimu zao.
 
Siku hizi nasikia kunakufanya mitihani ya uongozi na military science ndio upande cheo na inakuwa kwa kiingereza
Mitihani siku zote ipo

Tangia enzi na enzi kutoka Uluteni lazima kupasua mtihani ndio mtu anapewa ukapteni
 
Alikuwa mkuu wa jeshi pale mafinga 2015 mara nyingi alikuwa haonekani hakuwa kambini ila Kama akiwepo kambini kuruta wote tunakula bata kula naye sana mastory,private ndo walikuwa wanakinywea
Nilikuwepo hiyo jomba jamaa akija mambo mengi kepu kali hapo yuko kiraia

Sent from my SM-J500F using JamiiForums mobile app
 
Nani kakwambia Gen. Mabeyo siyo 4 star general?
Ilo tushalizungumza ebu fatilia izo post vzr tumesahishana na kuwekana sawa hapo kama mm wasiwasi wangu nilikuwa nashsngaa akivaa kofia yenye star 3 badala ya 4 ila nikasahishwa ni makosa ya makota masta....kwaiyo tushasahishana na kujuzana.
 
Yuko Chuo gani?

Hapo kwenye mada nimewawekea link ya Youtube video ina wiki tatu tu toka ichukuliwe video kaangalie Mkisi kajitambulisha kwenye hiyo Channel kuwa ana cheo cha kanali

Na kijeshi huruhusiwi kutumia jina la cheo kama hukustaafu kwa utaratibu
Bado yuko jeshi me sizani kama kaacha jeshi...
 
JWTZ hakuna shortcut kupata vyeo

fuatilia Maluteni kanali wamepata hicho cheo wakiwa na umri gani Wanaowahi uluteni kanali huwa wana miaka arobaini na kitu tena hao wamewahi ndio maana wanaovaa vijogoo wengi wazee ni sasa hivi tu batch za karibuni tunawaona maluteni kanali wa miaka 40s
Ila asikwambie mtu kijogoo kile cha kwenye kora ya shati kukivaa raha bhana....na ndomana wanavaa ma kanali na kuendelea uko raha sana....
 
Back
Top Bottom