Kanali wa Iran Revolutionary Guards, Sayad Khodai auawa

Mossad in action! Hawa jamaa ni balaa! waliwahi kuingia Tunisia na kumchinja Abuu Jihad risasi mia nane mwilini halafu mke wake na watoto watatu walilazimishwa kuangalia jinsi mwili wa baba yao ukikatika vipande vipande mpaka maiti iliishia kujaa katika kibiliti tuu!
 
Haizidi habari ya Justin beiber na mpenzi wake kuslimu na ametengaza kujenga msikiti mkubwa Mississippi.
CIA na kanisa catholic watamua kama walivyomua Michael Jackson baada ya kutengaza kuslimu.
[emoji853][emoji853]
mj alitangaza lini kaslimu ?

leta source.

mkikaa vibaraza vya kahawa mnajitungia tu habari
 
Haizidi habari ya Justin beiber na mpenzi wake kuslimu na ametengaza kujenga msikiti mkubwa Mississippi.
CIA na kanisa catholic watamua kama walivyomua Michael Jackson baada ya kutengaza kuslimu.
[emoji853][emoji853]
mshaanza kutunga storiz asee
 
Mtabaki na hizi story za mtu akipigwa risasi hata na wezi mnasema Israel, tulitaka kuona Israel anamshambulia kwa makombora Iran, nndio tujue yeye kidume
Mbona kule Israel ndani Hamas wanaua kila siku hamleti kelele humu
hahahaaaa Myaudi umetishaaa
 
wameshakamatwa wahusika hii imekuja baada ya meja jeneral wa israel kuuawa na majasusi wa iran pale jenin palestina

lakin mtoa post nakukumbusha huko ukraine ina hali mbaya najua wewe ni pro ukraine
mjomba heshimu uwanja , usiturudishe nyumban wkt tupo ugenin
 
sw mkuu
 
Endelea kubisha na kulalamika huku ukijamba baada ya kushiba zako ugali kwa furu
Unaleta ushabiki,Eli Cohen anapambwa tu lakini hakuna Cha maana,tafuta interview za familia yake na documentary yake,achana na ile series iliyorefushwa kukidhi season
 
Mossad wamefanya yao,ukiona operation imehusisha pikipiki,hiyo ni modus operand ya mossad,au operative trained by mossad,sasa hv waarab lazima wajambe mishuzi kibao.
 
Yapo majukwaa yakuzungumzia hayo ya msingi, hili ni jukwaa la habari za kimataifa.
 
Allah ninan mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…