Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Muda ni hakimu sahihi.Lini watamfilisi Mayweather!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muda ni hakimu sahihi.Lini watamfilisi Mayweather!?
Kwa hiyo wewe unaona sawa Iran kutembezewa kichapo barazani kwake!?Mtabaki na hizi story za mtu akipigwa risasi hata na wezi mnasema Israel, tulitaka kuona Israel anamshambulia kwa makombora Iran, nndio tujue yeye kidume
Mbona kule Israel ndani Hamas wanaua kila siku hamleti kelele humu
Fakhrizadeh yule.Jamaa wakifanya tulip hua hawaachi alama hata moja rejea lile tulio la kumuua Yule babu ambaye wanamuita 'Baba ya nyuklia wa Iran' alivyopigwa na mgobole unaondeshwa Kwa kutumia satellite. Yan wapo Tel Aviv wanafanya mission Tehran.
Mambo ya kuuwa viongozi yalisha pitwa na wakati na ni mambo ya kizamani ndio maana mataifa mengi yalisha acha kufanya huo upumbavu.Majasusi wa Iran nao wawafanyie Israel ndani ya Jerusalem/Tel Aviv kama ni rahisi namna hii.
Kudeal na viongozi ni jambo zuri, hawa ndio hufanya maamuzi. Ndio maana hata Putin alitoa ushauri kwa maaskari wa Ukraine kumkamata raisi wao.Mambo ya kuuwa viongozi yalisha pitwa na wakati na ni mambo ya kizamani ndio maana mataifa mengi yalisha acha kufanya huo upumbavu.
Sasa tangu waanze kuuwa sijui wana sayansi sijui viongozi wa kijeshi ni kipi kilicho badirika ndani ya Iran?
Kama wao ni miamba kweli wafanye kama alivyo fanya Putin ndani Ukraine tuione hiyo jeuri yao ilipo.
Masjidsource ?
Kwani Mossad wakishakiri lolote lile au kataa lolote lile?Hii habari haina uthibitisho kamili kuwa ni Mosad wanasafisha huko!
Inaweza kuwa mahasimu wengine!
![]()
Iran says IRGC colonel assassinated in Tehran
A colonel of Iran’s Islamic Revolutionary Guard Corps (IRGC) was assassinated in a gun attack in the capital Tehran on Sunday, the IRGC said in a statementenglish.alarabiya.net
![]()
Wako wanashangalia vita ya UrusiHawa wa iran wana tembezewa kichapo seblen kwao kabisaaa ajab semaji la tehran bwana kimsboy yupo kimya na machawa wenzake Bwana Utam & STRUGGLE MAN
Hata hapo Iran wamejaa mno, Waisrael popote walipo wanajali sana nchi yaoSasa tafuta series inaitwa "The Spy" based on a true story uone jinsi jasusi Eli Cohen alivyoendesha shughuli zake Syria mpaka pale alipokuja kukamatwa na kunyongwa. Jamaa wana maagent wengi sana kwenye nchi za kiislam
Hii nayo ni thread!?
Putin ni mjingaMambo ya kuuwa viongozi yalisha pitwa na wakati na ni mambo ya kizamani ndio maana mataifa mengi yalisha acha kufanya huo upumbavu.
Sasa tangu waanze kuuwa sijui wana sayansi sijui viongozi wa kijeshi ni kipi kilicho badirika ndani ya Iran?
Kama wao ni miamba kweli wafanye kama alivyo fanya Putin ndani Ukraine tuione hiyo jeuri yao ilipo.
Hahahaha..Hawa wa iran wana tembezewa kichapo seblen kwao kabisaaa ajab semaji la tehran bwana kimsboy yupo kimya na machawa wenzake Bwana Utam & STRUGGLE MAN
Wewe usijifanye huelewi, hao ndio mastermind kwenye mipango yao mingi. Ukiona mpaka mtu anakuwa targeted ina maana wanajua influence yake. Wanaouawa sio askari uchwara wa vyeo vya chini, bali ni ma_top kwenye medani.Mambo ya kuuwa viongozi yalisha pitwa na wakati na ni mambo ya kizamani ndio maana mataifa mengi yalisha acha kufanya huo upumbavu.
Sasa tangu waanze kuuwa sijui wana sayansi sijui viongozi wa kijeshi ni kipi kilicho badirika ndani ya Iran?
Kama wao ni miamba kweli wafanye kama alivyo fanya Putin ndani Ukraine tuione hiyo jeuri yao ilipo.
Umezivaa wap mzee wa kazi?hapana ni shanga
Almongstrong akaenda mwezini akasiki Adhana Allah wakbar Allah wakbar na Muhammad ndiye Mtume pekee wa mwisho.Au walivyomfilisi Mike Tyson.
Hivi season 2 ilitoka?yani kuna series naifuatilia inaitwa tehran, naona kama ina reflect ukweli.
Hata wangemuuwa Ayatullah nn kingebadirika ndani ya Iran?Wewe usijifanye huelewi, hao ndio mastermind kwenye mipango yao mingi. Ukiona mpaka mtu anakuwa targeted ina maana wanajua influence yake. Wanaouawa sio askari uchwara wa vyeo vya chini, bali ni ma_top kwenye medani.