Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile series ukiifutilia inaonyesha Israel ana sleep agent wengi sana ndani ya Iran mbaya zaidi wengi wao ni Wairan wenye asili ya Israel hivyo inakuwa ngumu sana kuwatambua.yani kuna series naifuatilia inaitwa tehran, naona kama ina reflect ukweli.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] kama hawaoniBREAKING: Iran Revolutionary Guards colonel assassinated in Tehran
Mnajikauuuuusha na habari za Ukraine...
Mmepigwa tena
[emoji851][emoji851][emoji1756][emoji1756]Lini wamewahi lipiza?
Tafuta popote pale ambapo Iran imewahi lipiza kwa kuua usawia
Mbona spy kibao wa Mossad wanakamatwa kila maraHivi nani amewahi kamatwa?
Kawaida tu hata hitman wa drug cartel huko mexico wanafanya hivyo maana unaikaribia target kabisa.Ila Mossad balaa,jamaa wapo kwenye pikipiki lakini hawakosei shabaha
Khodaei was assassinated around 4 p.m. local time by two motorcyclists who fired five bullets at him near his house, the semi-official Fars news agency said.kauwawa na wale wapanda pikipiki au safari hii kauwawa vipi
😀😁😬😀🙄 Na kuogelea nao kwenye mito ya dhahabu.Hahhahaa jamaa kasafirishwa akajilie zake bikra 72
akikujibu nitag tafadhaliHivi nani amewahi kamatwa?
Kama lini walirudisha?Hayo ni mauaji kama mauaji mengine tu, kama mossad wanahuska lazima jamaa watarudisha tu
yani kuna series naifuatilia inaitwa tehran, naona kama ina reflect ukweli.
Labda ukawakamate wewe.Watakamatwa wanaendelea kusakwa ni suala la muda tu
Cheki aljaeeraChanzo cha taarifa pls!
kimya kimyaMbona spy kibao wa Mossad wanakamatwa kila mara