Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
Unakosea sana. Sema arusha mjini ndio ndogo. Ila arusha yenyewe huwez imaliza siku moja. Arusha asilimia kubwa imezungukwa na mapori na misitu na milima... sehem ilijengeka(mjini) ni asilimia ndogo sana.Moshi ama Arusha, kuuzunguka mji mzima haimalizi nusu saa. Hata uwe na V8, ni rahisi kumudu wese. On the contrary, Dar ni jiji kubwa. Kutoka Tegeta mmpaka tu Sinza kuna km kama 20 hivyo unahitaji uwe na gari dogo ili uweze kumudu mizunguko ya siku.
Unakosea sana. Sema arusha mjini ndio ndogo. Ila arusha yenyewe huwez imaliza siku moja. Arusha asilimia kubwa imezungukwa na mapori na misitu na milima... sehem ilijengeka(mjini) ni asilimia ndogo sana.
Arusha mjini ni padogo lakin ukitoka nje ya mji ndio utajua kuwa arusha ni kubwa.
Moshi ama Arusha, kuuzunguka mji mzima haimalizi nusu saa. Hata uwe na V8, ni rahisi kumudu wese. On the contrary, Dar ni jiji kubwa. Kutoka Tegeta mmpaka tu Sinza kuna km kama 20 hivyo unahitaji uwe na gari dogo ili uweze kumudu mizunguko ya siku.
Hata sisi tuliopo Lindi hatutaki viberiti ....labda mpeleke kigoma na rukwaMoshi na Arusha vijana wana dharau sana , si wanawake , si wanaume na wala si wazee !
Ukiwa na Passo, ist, Starlet, Porte, Runx, Allex unapata taabu sana. Wanaiita hivyo vigari mara Kobe, mara Viberiti n.k.
Sijui kwakuwa wao wana magari makubwa makubwa Subaru , Harriers, Fortuners n.k!
Kule Dar wamama wanatembelea vigari vidogo. Arusha na Moshi ni tofauti sana. Wengi wanaendesha masubaru na yanapiga sana kelele!
Ukiwa na Kiberiti peleka huko Lindi na Ntwara!
Nilikuwa nafafanua tu kuwa huyu bwana anasema arusha anaizunguka siku moja . Ndio nikmwambia kuwa arusha mjini ndio ndogo.. ila arusha yenyewe kama mkoa ni kubwa sana.Kasema kuzunguka mji sio kwenda maporini