Kanda ya ziwa inaongoza kutoa wasomi wingi, ni kwanini mpaka sasa hakuna chuo kikuu cha serikali ?

Kanda ya ziwa inaongoza kutoa wasomi wingi, ni kwanini mpaka sasa hakuna chuo kikuu cha serikali ?

wastani kwa idadi

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2024
Posts
503
Reaction score
1,432
inashangaza sana kuona mpaka sasa ukanda huu hauna chuo kikuu cha serikali licha ya kuwa sehemu inayotoa wasomi wengi na kuwa na jiji kubwa la Mwanza.

vyup utavyovikuta ni vya kati tena ni matawi yaliyojengwa miaka ya karibu, mifano tia, ifm, cbe, dit, n.k.

Chuo kikuu cha serikali hakuna, kile cha Saint Augastine ni cha kanisa, bado kipo nyuma mambo mengi huwezi kukilinganisha hata na Mzumbe achilia mbali Udsm na Udom.
 
inashangaza sana kuona mpaka sasa ukanda huu hauna chuo kikuu cha serikali licha ya kuwa sehemu inayotoa wasomi wengi na kuwa na jiji kubwa la Mwanza.

vyup utavyovikuta ni vya kati tena ni matawi yaliyojengwa miaka ya karibu, mifano tia, ifm, cbe, dit, n.k.

Chuo kikuu cha serikali hakuna, kile cha Saint Augastine ni cha kanisa, bado kipo nyuma mambo mengi huwezi kukilinganisha hata na Mzumbe achilia mbali Udsm na Udom.
Nyerere ndo alikuwa mpuuzi hata Musoma hakuna chuo Kikuu! Akarundika vyuo vikuu Pwani,Kaskazini,Nyanda za juu kusini nk! Hofu yake kubwa ilikuwa watu wa Kanda ya Ziwa hasa Wasukuma wakisoma watamsumbua sana!
 
Hata Magufuli hakuwa na maono haya, akatumia 700 bili kujenga daraja pesa ambazo angeweka kwenye elimu ya juu Mwanza pangekaa chuo kikuu kimoja matata sana. Aibuu
 
Kanda ya ziwa huwa inajiendeleza yenyewe bila mbeleko ya Serikali.

Hata jiji la Mwanza limekuwa la pili kwa ukubwa bila promo wala uwekezaji wowote wa Serikali.
Kanda ya ziwa huwa inasadifu ule usemi wa kwenye bible kwamba aliyepewa kapewa tu hata umpuuze kiasi gani ataibuka tu
 
Hata Magufuli hakuwa na maono haya, akatumia 700 bili kujenga daraja pesa ambazo angeweka kwenye elimu ya juu Mwanza pangekaa chuo kikuu kimoja matata sana. Aibuu
Hapana alikuwa na mpango wa kujenga chuo kikubwa sana hapo Shinyanga! Licha ya hivo ni bora yeye alikumbuka kujenga kanda ya ziwa kwa maana Nyerere hospital aliyoinzisha mwaka 1976 ilimshinda kumaliza mpaka JPM akaja kumalizia! Hata hilo Daraja ni muhimu sana na bila yeye kuna uwezekano tungechukua hata miaka 50 mbele kuja upata daraja kama hilo!
JPM kanda ya ziwa kaitendea mengi ila kwa bahati mbaya kaondoka mapema sana bado kanda ya ziwa inamuhitaji pamoja na Tanzania kwa ujumla!
Kwa ujumla Nyerere hakufanya lolte la maana tofauti na kuunganisha Watanzania! Ndo maana alipoona mambo magumu akamwajia Mwinyi!
 
Back
Top Bottom