Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 7,093
- 10,469
Hivi hii hutokea tu kwamba kila matukio yakitokea basi Watawala wengi hupotea na kuibikia huko Kanda ya Ziwa Mikoa ya Kagera au Mara na Mwanza, huwa matukio yanawakutia huko kwamba imetokea tu wakawa huko mipakani au kuna mengineyo?
Hata Tundu Lisu hatujui yuko wapi sasa hivi binafsi sijamsikia lkn mara ya mwisho alikuwa huko huko mipakani.
Kikwete naye kaibukia huko huko pia kuongelea hali ya kisiasa nchini …
Hata Tundu Lisu hatujui yuko wapi sasa hivi binafsi sijamsikia lkn mara ya mwisho alikuwa huko huko mipakani.
Kikwete naye kaibukia huko huko pia kuongelea hali ya kisiasa nchini …