Kanda ya ziwa, msichukulie kifo cha Magufuli kama jambo la ukanda

Kanda ya ziwa, msichukulie kifo cha Magufuli kama jambo la ukanda

Ngungenge

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2016
Posts
2,914
Reaction score
3,386
Ni dhahiri JPM alikua Shuja wa kanda ya ziwa.
Ni dhahiri katika utawala wake kanda ya ziwa mlifaidi, wapo ambao mlipitisha mafuta bila kulipa kodi, mkanunua magari na kupiga ela.
Mpo mliotumia ukabila kupata tenda nono za ujenzi, MSD na nguzo za umeme nchi nzima
Mpo mliotengeneza kikundi cha kikabila na agenda zenu za kuweka watu wenu kila idara na kuua biashara za watu ilI mfanye nyie mkawalipa akina musiba kuwatukana watu kwa kujifanya mnakipigania chama kumbe nyuma ya pazia mnalamba asali
Tunajua kuwa mlifaidi kwa uwepo wake

Jambo la msingi mnatakiwa kujua kuwa JPM alichaguliwa na watanzania kama alipotoka kwa kuwapendelea tumemsamehe na tunamkumbuka kwa kazi zake

Sisi wazalendo hatutaki vurugu mnazoleta kwenye nchi hii.
Raisi wetu wa sasa ni Dr. Samia Suluhu Hassan. Kama hamumtaki subirini amalize muda wake

Nchi hii inakanda nyingi na Tanzania sio kanda ya ziwa pekoe
Over
 
Ni dhahiri JPM alikua Shuja wa kanda ya ziwa.
Ni dhahiri katika utawala wake kanda ya ziwa mlifaidi, wapo ambao mlipitisha mafuta bila kulipa kodi, mkanunua magari na kupiga ela.
Mpo mliotumia ukabila kupata tenda nono za ujenzi, MSD na nguzo za umeme nchi nzima
Mpo mliotengeneza kikundi cha kikabila na agenda zenu za kuweka watu wenu kila idara na kuua biashara za watu ilI mfanye nyie mkawalipa akina musiba kuwatukana watu kwa kujifanya mnakipigania chama kumbe nyuma ya pazia mnalamba asali
Tunajua kuwa mlifaidi kwa uwepo wake

Jambo la msingi mnatakiwa kujua kuwa JPM alichaguliwa na watanzania kama alipotoka kwa kuwapendelea tumemsamehe na tunamkumbuka kwa kazi zake

Sisi wazalendo hatutaki vurugu mnazoleta kwenye nchi hii.
Raisi wetu wa sasa ni Dr. Samia Suluhu Hassan. Kama hamumtaki subirini amalize muda wake

Nchi hii inakanda nyingi na Tanzania sio kanda ya ziwa pekoe
Over
Lazima iwe hivyo maana hata humu wanaitwa sukuma gang

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni dhahiri JPM alikua Shuja wa kanda ya ziwa.
Ni dhahiri katika utawala wake kanda ya ziwa mlifaidi, wapo ambao mlipitisha mafuta bila kulipa kodi, mkanunua magari na kupiga ela.
Mpo mliotumia ukabila kupata tenda nono za ujenzi, MSD na nguzo za umeme nchi nzima
Mpo mliotengeneza kikundi cha kikabila na agenda zenu za kuweka watu wenu kila idara na kuua biashara za watu ilI mfanye nyie mkawalipa akina musiba kuwatukana watu kwa kujifanya mnakipigania chama kumbe nyuma ya pazia mnalamba asali
Tunajua kuwa mlifaidi kwa uwepo wake

Jambo la msingi mnatakiwa kujua kuwa JPM alichaguliwa na watanzania kama alipotoka kwa kuwapendelea tumemsamehe na tunamkumbuka kwa kazi zake

Sisi wazalendo hatutaki vurugu mnazoleta kwenye nchi hii.
Raisi wetu wa sasa ni Dr. Samia Suluhu Hassan. Kama hamumtaki subirini amalize muda wake

Nchi hii inakanda nyingi na Tanzania sio kanda ya ziwa pekoe
Over
Acha uongo! Sisi hatuna ukabila wala ukanda hata siku moja! Siku Kanda yq Ziwa ikiwa na ukabila huko kwenu Moshi mtapata shida sana.
 
Njaa anayoipata machinga wa kisukuma ndio njaa hiyo hiyo anayoipata machinga wa kizaramo huo ukabila ama mada za ukabila huwa zinawasaidia nini?? Kwanini mnataka kutengeneza tatizo ambalo halipo?? Kwani baada ya Jembe hayati JPM kuwa Rais wa Tanzania wasukuma wote walianza kuishi ikulu na kufutiwa kodi?? Vita vyenu vya kisiasa na kutofautiana mitazamo au kunyimana maslahi fulani fulani msivielekeze kwenye ukabila, havitawaacha salama
 
1684259769097.png
 
Unawashwawashwa tukukune..??

Kama ambavyo anazungumzia acha pia na current pres... Azungumziwe,hicho cheo hakuna atakaekishika bila kuchambwa,kutetwa,kusimangwa na kusifiwa!. Hicho kiti ni kiti chenye maamuzi yote ya nchi! Utake usitake watu watamteta tu kama wanavyomteta jiwe akiwa tayari keshapita!
 
Ni dhahiri JPM alikua Shuja wa kanda ya ziwa.
Ni dhahiri katika utawala wake kanda ya ziwa mlifaidi, wapo ambao mlipitisha mafuta bila kulipa kodi, mkanunua magari na kupiga ela.
Mpo mliotumia ukabila kupata tenda nono za ujenzi, MSD na nguzo za umeme nchi nzima
Mpo mliotengeneza kikundi cha kikabila na agenda zenu za kuweka watu wenu kila idara na kuua biashara za watu ilI mfanye nyie mkawalipa akina musiba kuwatukana watu kwa kujifanya mnakipigania chama kumbe nyuma ya pazia mnalamba asali
Tunajua kuwa mlifaidi kwa uwepo wake

Jambo la msingi mnatakiwa kujua kuwa JPM alichaguliwa na watanzania kama alipotoka kwa kuwapendelea tumemsamehe na tunamkumbuka kwa kazi zake

Sisi wazalendo hatutaki vurugu mnazoleta kwenye nchi hii.
Raisi wetu wa sasa ni Dr. Samia Suluhu Hassan. Kama hamumtaki subirini amalize muda wake

Nchi hii inakanda nyingi na Tanzania sio kanda ya ziwa pekoe
Over
This is nonsense
 
Baada ya Maghufuli kufa , maneno yangebak huku chini wala isingeleta madhara , tatizo viongozi wa juu walivyo majuha wanaanza kuwa wanamnanga kwenye majukwaa , kuponda kila alilolifanya , na hii ikaleta tension isiyo na sababu , na kuanza kuibua maswali hata kuhusu kifo chake ..... Watu kama Jasusi Mbobezi , akina makamba , akina kinana , karbia wote high profile leaders wakawa wanaropoka upumbavu wakaenda mbali zaidi kuihusisha na kabila hapa lazima utengeneze matabaka tuuu , na yata-explode soon ni suala la mda tuu
 
Ni dhahiri JPM alikua Shuja wa kanda ya ziwa.
Ni dhahiri katika utawala wake kanda ya ziwa mlifaidi, wapo ambao mlipitisha mafuta bila kulipa kodi, mkanunua magari na kupiga ela.
Mpo mliotumia ukabila kupata tenda nono za ujenzi, MSD na nguzo za umeme nchi nzima
Mpo mliotengeneza kikundi cha kikabila na agenda zenu za kuweka watu wenu kila idara na kuua biashara za watu ilI mfanye nyie mkawalipa akina musiba kuwatukana watu kwa kujifanya mnakipigania chama kumbe nyuma ya pazia mnalamba asali
Tunajua kuwa mlifaidi kwa uwepo wake

Jambo la msingi mnatakiwa kujua kuwa JPM alichaguliwa na watanzania kama alipotoka kwa kuwapendelea tumemsamehe na tunamkumbuka kwa kazi zake

Sisi wazalendo hatutaki vurugu mnazoleta kwenye nchi hii.
Raisi wetu wa sasa ni Dr. Samia Suluhu Hassan. Kama hamumtaki subirini amalize muda wake

Nchi hii inakanda nyingi na Tanzania sio kanda ya ziwa pekoe
Over
Jamaa wewe lijinga sana tena huna akili kabisa. Wasukuma hawana ukabila kabisa. Nenda Mwanza au Shinyanga au Tabora utakuta madiwani wachaga etc, wafanyabiashara wamakonde etc. Hii dhana yenu ya kijinga huwa mnaitoa wapi? Ukome choko mkubwa
 
Ni dhahiri JPM alikua Shuja wa kanda ya ziwa.
Ni dhahiri katika utawala wake kanda ya ziwa mlifaidi, wapo ambao mlipitisha mafuta bila kulipa kodi, mkanunua magari na kupiga ela.
Mpo mliotumia ukabila kupata tenda nono za ujenzi, MSD na nguzo za umeme nchi nzima
Mpo mliotengeneza kikundi cha kikabila na agenda zenu za kuweka watu wenu kila idara na kuua biashara za watu ilI mfanye nyie mkawalipa akina musiba kuwatukana watu kwa kujifanya mnakipigania chama kumbe nyuma ya pazia mnalamba asali
Tunajua kuwa mlifaidi kwa uwepo wake

Jambo la msingi mnatakiwa kujua kuwa JPM alichaguliwa na watanzania kama alipotoka kwa kuwapendelea tumemsamehe na tunamkumbuka kwa kazi zake

Sisi wazalendo hatutaki vurugu mnazoleta kwenye nchi hii.
Raisi wetu wa sasa ni Dr. Samia Suluhu Hassan. Kama hamumtaki subirini amalize muda wake

Nchi hii inakanda nyingi na Tanzania sio kanda ya ziwa pekoe
Over
Aa
Ni dhahiri JPM alikua Shuja wa kanda ya ziwa.
Ni dhahiri katika utawala wake kanda ya ziwa mlifaidi, wapo ambao mlipitisha mafuta bila kulipa kodi, mkanunua magari na kupiga ela.
Mpo mliotumia ukabila kupata tenda nono za ujenzi, MSD na nguzo za umeme nchi nzima
Mpo mliotengeneza kikundi cha kikabila na agenda zenu za kuweka watu wenu kila idara na kuua biashara za watu ilI mfanye nyie mkawalipa akina musiba kuwatukana watu kwa kujifanya mnakipigania chama kumbe nyuma ya pazia mnalamba asali
Tunajua kuwa mlifaidi kwa uwepo wake

Jambo la msingi mnatakiwa kujua kuwa JPM alichaguliwa na watanzania kama alipotoka kwa kuwapendelea tumemsamehe na tunamkumbuka kwa kazi zake

Sisi wazalendo hatutaki vurugu mnazoleta kwenye nchi hii.
Raisi wetu wa sasa ni Dr. Samia Suluhu Hassan. Kama hamumtaki subirini amalize muda wake

Nchi hii inakanda nyingi na Tanzania sio kanda ya ziwa pekoe
Over
Asante kwa andiko zuri na mujarabu mungu akubariki sana mkuu
 
Ni dhahiri JPM alikua Shuja wa kanda ya ziwa.
Ni dhahiri katika utawala wake kanda ya ziwa mlifaidi, wapo ambao mlipitisha mafuta bila kulipa kodi, mkanunua magari na kupiga ela.
Mpo mliotumia ukabila kupata tenda nono za ujenzi, MSD na nguzo za umeme nchi nzima
Mpo mliotengeneza kikundi cha kikabila na agenda zenu za kuweka watu wenu kila idara na kuua biashara za watu ilI mfanye nyie mkawalipa akina musiba kuwatukana watu kwa kujifanya mnakipigania chama kumbe nyuma ya pazia mnalamba asali
Tunajua kuwa mlifaidi kwa uwepo wake

Jambo la msingi mnatakiwa kujua kuwa JPM alichaguliwa na watanzania kama alipotoka kwa kuwapendelea tumemsamehe na tunamkumbuka kwa kazi zake

Sisi wazalendo hatutaki vurugu mnazoleta kwenye nchi hii.
Raisi wetu wa sasa ni Dr. Samia Suluhu Hassan. Kama hamumtaki subirini amalize muda wake

Nchi hii inakanda nyingi na Tanzania sio kanda ya ziwa pekoe
Over
Ni kama umechanganyikiwa wewe
 
Baada ya Maghufuli kufa , maneno yangebak huku chini wala isingeleta madhara , tatizo viongozi wa juu walivyo majuha wanaanza kuwa wanamnanga kwenye majukwaa , kuponda kila alilolifanya , na hii ikaleta tension isiyo na sababu , na kuanza kuibua maswali hata kuhusu kifo chake ..... Watu kama Jasusi Mbobezi , akina makamba , akina kinana , karbia wote high profile leaders wakawa wanaropoka upumbavu wakaenda mbali zaidi kuihusisha na kabila hapa lazima utengeneze matabaka tuuu , na yata-explode soon ni suala la mda tuu
Mwendazake angewaheshimu watangulizi wake naamini hata yeye watu wangeliheshimu kaburi lake. Lakini alilewa madaraka na akajiona Sana. Alikuwa anazungumza peke yake Tanzania nzima,hakutaka wengine wazungumze madhara yake ndio haya. Watu wanajibizana na maiti na huku wakijua kuwa dead issue never talk. Mwendazake hakutaka kabisa kuambiwa ukweli unaomuhusu. Wacha watu wazungumze na wafu kwasababu alikuwa mkali kipindi Cha uhai wake.
 
Ni dhahiri JPM alikua Shuja wa kanda ya ziwa.
Ni dhahiri katika utawala wake kanda ya ziwa mlifaidi, wapo ambao mlipitisha mafuta bila kulipa kodi, mkanunua magari na kupiga ela.
Mpo mliotumia ukabila kupata tenda nono za ujenzi, MSD na nguzo za umeme nchi nzima
Mpo mliotengeneza kikundi cha kikabila na agenda zenu za kuweka watu wenu kila idara na kuua biashara za watu ilI mfanye nyie mkawalipa akina musiba kuwatukana watu kwa kujifanya mnakipigania chama kumbe nyuma ya pazia mnalamba asali
Tunajua kuwa mlifaidi kwa uwepo wake

Jambo la msingi mnatakiwa kujua kuwa JPM alichaguliwa na watanzania kama alipotoka kwa kuwapendelea tumemsamehe na tunamkumbuka kwa kazi zake

Sisi wazalendo hatutaki vurugu mnazoleta kwenye nchi hii.
Raisi wetu wa sasa ni Dr. Samia Suluhu Hassan. Kama hamumtaki subirini amalize muda wake

Nchi hii inakanda nyingi na Tanzania sio kanda ya ziwa pekoe
Over
Pumba tupu
 
Ni dhahiri JPM alikua Shuja wa kanda ya ziwa.
Ni dhahiri katika utawala wake kanda ya ziwa mlifaidi, wapo ambao mlipitisha mafuta bila kulipa kodi, mkanunua magari na kupiga ela.
Mpo mliotumia ukabila kupata tenda nono za ujenzi, MSD na nguzo za umeme nchi nzima
Mpo mliotengeneza kikundi cha kikabila na agenda zenu za kuweka watu wenu kila idara na kuua biashara za watu ilI mfanye nyie mkawalipa akina musiba kuwatukana watu kwa kujifanya mnakipigania chama kumbe nyuma ya pazia mnalamba asali
Tunajua kuwa mlifaidi kwa uwepo wake

Jambo la msingi mnatakiwa kujua kuwa JPM alichaguliwa na watanzania kama alipotoka kwa kuwapendelea tumemsamehe na tunamkumbuka kwa kazi zake

Sisi wazalendo hatutaki vurugu mnazoleta kwenye nchi hii.
Raisi wetu wa sasa ni Dr. Samia Suluhu Hassan. Kama hamumtaki subirini amalize muda wake

Nchi hii inakanda nyingi na Tanzania sio kanda ya ziwa pekoe
Over
Eeeh Kwa hiyo?
 
Ni kama umechanganyikiwa wewe
Mwendazake angewaheshimu watangulizi wake naamini hata yeye watu wangeliheshimu kaburi lake. Lakini alilewa madaraka na akajiona Sana. Alikuwa anazungumza peke yake Tanzania nzima,hakutaka wengine wazungumze madhara yake ndio haya. Watu wanajibizana na maiti na huku wakijua kuwa dead issue never talk. Mwendazake hakutaka kabisa kuambiwa ukweli unaomuhusu. Wacha watu wazungumze na wafu kwasababu alikuwa mkali kipindi Cha uhai wake.
Ni changamoto kuona wewe ndio wewe na kuwaona wengine hawajafanya kitu
 
Njaa anayoipata machinga wa kisukuma ndio njaa hiyo hiyo anayoipata machinga wa kizaramo huo ukabila ama mada za ukabila huwa zinawasaidia nini?? Kwanini mnataka kutengeneza tatizo ambalo halipo?? Kwani baada ya Jembe hayati JPM kuwa Rais wa Tanzania wasukuma wote walianza kuishi ikulu na kufutiwa kodi?? Vita vyenu vya kisiasa na kutofautiana mitazamo au kunyimana maslahi fulani fulani msivielekeze kwenye ukabila, havitawaacha salama
Asilimia 90 ya comment against za watch wa kandy ya ziwa ni wapinzani wa rais Samia
 
Back
Top Bottom