Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aailimia 90 ya watu wangapi?, ukitaka kazi ya kusifiwa kauze Ice cream sio kuwa rais wa nchi.Asilimia 90 ya comment against za watch wa kandy ya ziwa ni wapinzani wa rais Samia
umevurugwaMwendazake angewaheshimu watangulizi wake naamini hata yeye watu wangeliheshimu kaburi lake. Lakini alilewa madaraka na akajiona Sana. Alikuwa anazungumza peke yake Tanzania nzima,hakutaka wengine wazungumze madhara yake ndio haya. Watu wanajibizana na maiti na huku wakijua kuwa dead issue never talk. Mwendazake hakutaka kabisa kuambiwa ukweli unaomuhusu. Wacha watu wazungumze na wafu kwasababu alikuwa mkali kipindi Cha uhai wake.
Ukabila kwa wasukuma upo bna.Mimi niko mwanza huu mwaka wa 13.Labda uzingumzie mwanza nyingine isiyopatikana tzJamaa wewe lijinga sana tena huna akili kabisa. Wasukuma hawana ukabila kabisa. Nenda Mwanza au Shinyanga au Tabora utakuta madiwani wachaga etc, wafanyabiashara wamakonde etc. Hii dhana yenu ya kijinga huwa mnaitoa wapi? Ukome choko mkubwa
mjinga saana wwNi dhahiri JPM alikua Shuja wa kanda ya ziwa.
Ni dhahiri katika utawala wake kanda ya ziwa mlifaidi, wapo ambao mlipitisha mafuta bila kulipa kodi, mkanunua magari na kupiga ela.
Mpo mliotumia ukabila kupata tenda nono za ujenzi, MSD na nguzo za umeme nchi nzima
Mpo mliotengeneza kikundi cha kikabila na agenda zenu za kuweka watu wenu kila idara na kuua biashara za watu ilI mfanye nyie mkawalipa akina musiba kuwatukana watu kwa kujifanya mnakipigania chama kumbe nyuma ya pazia mnalamba asali
Tunajua kuwa mlifaidi kwa uwepo wake
Jambo la msingi mnatakiwa kujua kuwa JPM alichaguliwa na watanzania kama alipotoka kwa kuwapendelea tumemsamehe na tunamkumbuka kwa kazi zake
Sisi wazalendo hatutaki vurugu mnazoleta kwenye nchi hii.
Raisi wetu wa sasa ni Dr. Samia Suluhu Hassan. Kama hamumtaki subirini amalize muda wake
Nchi hii inakanda nyingi na Tanzania sio kanda ya ziwa pekoe
Over
Pole, unajichanganya sana, wakati Jembe Jiwe Magufuli anaongeza asilimia za kulipa HESLB kutoka 8% hadi 15% watu wa kanda ya Ziwa aliwapunguzia kutoka 8% hadi 3% au sio?? Wakati anazuia ongezeko la mshahara watu wa kanda ya ziwa aliwaongezea au sio?? Tumia akili, fikira za kikabila hazina manufaa yoyote isipokuwa kwenye matambiko ya mizimuEnzi za mwendazake mlikua ni kusifu na kuabudu
Ninachokisema ni kweli enzi za jiwe mligeuza hii nchi Mali yenumjinga saana ww
nchiii inawazarau saana wasukuma kwasababu yaupole naukalimu wao wanaonekana wajinga ila naamini IPO siku wakiamuka nakujiunga nchiii haitakuwa salama mwenye akili ataelewa
na Sasa underground movement zitaanza kuhamasisha umoja wajimii wyakisukuma kujiokoa namanyanyaso wanayofanyiwa ktk nchii hiii
MUNGU awape akili nakusema lugha moja
Mama kaleta usawaKwaio unatak kusema kwakua kanda ya ziwa walifaidi na zanzibar wanafaidi sio, ama kabla ya magu Kwaio watu wa kanda ya msoga walifaidi pia?
#ThreadZingineBana
Labda kanda ya ChatoNi dhahiri JPM alikua Shuja wa kanda ya ziwa.
Ni dhahiri katika utawala wake kanda ya ziwa mlifaidi, wapo ambao mlipitisha mafuta bila kulipa kodi, mkanunua magari na kupiga ela.
Mpo mliotumia ukabila kupata tenda nono za ujenzi, MSD na nguzo za umeme nchi nzima
Mpo mliotengeneza kikundi cha kikabila na agenda zenu za kuweka watu wenu kila idara na kuua biashara za watu ilI mfanye nyie mkawalipa akina musiba kuwatukana watu kwa kujifanya mnakipigania chama kumbe nyuma ya pazia mnalamba asali
Tunajua kuwa mlifaidi kwa uwepo wake
Jambo la msingi mnatakiwa kujua kuwa JPM alichaguliwa na watanzania kama alipotoka kwa kuwapendelea tumemsamehe na tunamkumbuka kwa kazi zake
Sisi wazalendo hatutaki vurugu mnazoleta kwenye nchi hii.
Raisi wetu wa sasa ni Dr. Samia Suluhu Hassan. Kama hamumtaki subirini amalize muda wake
Nchi hii inakanda nyingi na Tanzania sio kanda ya ziwa pekoe
Over
Not just nonsense but huge oneThis is nonsense