Kangi Lugola: Diamond hana nidhamu aliwahi kuchelewa jukwaani

Kangi huenda Ni Waziri Mkuu mtarajiwa maana Hata Mkutano wa kujadili Masuala ya KusafirUsha Watalii huko Arusha Mh. Mrisho Gambo kamualika Huyu Ninja badala ya Waziri wa Utalii Au wa masuala ya uchukuzi!

Kangi kafunika ghafla Sana Umaarufu wa Paul Makonda
 


Yaani soon tutaona wamachinga wanatembeza makoti ya Kangi Lugola, we subiri Mchina ashtukie dili tu
 
Tumewapa nchi watu washamba na malimbukeni
 
Yaani soon tutaona wamachinga wanatembeza makoti ya Kangi Lugola, we subiri Mchina ashtukie dili tu
Nasubiri baba nanihii aniijie na hilo koti nyumbani sitoongea kitu, kesho atalikuta jikoni naipulia sufuria sipendagi ushabiki wa kuchefuana Mimi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…