View attachment 1481565
"Wananchi wangu wa Mwibara wameniamini sana, huu ni mwaka wa 10 nawatumikia, wako wahuni wachache ambao wanapita kujaribu kuonyesha kuwa miaka 10 inanitosha niondoke, nimekosa nini? Hadi niondoke? Nimewaambia sina makosa.
.
"Sasa wale wahuni wanasema niondolewe, sina makosa, nitagombea ubunge mwaka huu" Kangi Lugola, Mbunge wa jimbo la Mwibara.
Kumekucha
Kumekucha
Naona Sasa Mpaka Ufie Kwenye Harakati
Changamoto Kwa Vijana
Jitokezeni Mzee Aangushwe
Asisahau kukata mauno kwenye kampeni...[emoji41][emoji41]
Ila hakumuambia asihudhurie bungeni Wala asigombee tenaAtwambie ni kwanini mh rais alimwambia kuwa hata hakutakiwa kuudhuria kikao chake pale siku amemtimua kazi
Tegemea show kubwa sana kipindi cha kampeni alisikika mtu akisema eti yale ni mauno ya uzazi!Asisahau kukata mauno kwenye kampeni...[emoji41][emoji41]
View attachment 1481565
"Wananchi wangu wa Mwibara wameniamini sana, huu ni mwaka wa 10 nawatumikia, wako wahuni wachache ambao wanapita kujaribu kuonyesha kuwa miaka 10 inanitosha niondoke, nimekosa nini? Hadi niondoke? Nimewaambia sina makosa.
.
"Sasa wale wahuni wanasema niondolewe, sina makosa, nitagombea ubunge mwaka huu" Kangi Lugola, Mbunge wa jimbo la Mwibara.
Vipi yule muuza magazeti ya kufungia vitumbua msemaji wa lumumba nae si analitaka Hilo Jimbo ili aje awe waziri wa Mambo ya ndani ili awashughulikie wapinzani,itakuwaje Sasa.View attachment 1481565
"Wananchi wangu wa Mwibara wameniamini sana, huu ni mwaka wa 10 nawatumikia, wako wahuni wachache ambao wanapita kujaribu kuonyesha kuwa miaka 10 inanitosha niondoke, nimekosa nini? Hadi niondoke? Nimewaambia sina makosa.
.
"Sasa wale wahuni wanasema niondolewe, sina makosa, nitagombea ubunge mwaka huu" Kangi Lugola, Mbunge wa jimbo la Mwibara.
Mwanafunzi wa yesu anaachaje kurudiNina uhakika kabisa kuwa huyo lugola hawezi kurudi kabisa
CCM lolote linawezekana!Nina uhakika kabisa kuwa huyo lugola hawezi kurudi kabisa
CCM lolote linawezekana!
Mwaka huu CCM watauana maana wao wenyewe ni wengi bado mamluki waliowasajili.
Cheki mdomo wake ulivyo , utafikiri unapuliza moto wa kuchomea mahindi shambaniView attachment 1481565
"Wananchi wangu wa Mwibara wameniamini sana, huu ni mwaka wa 10 nawatumikia, wako wahuni wachache ambao wanapita kujaribu kuonyesha kuwa miaka 10 inanitosha niondoke, nimekosa nini? Hadi niondoke? Nimewaambia sina makosa.
.
"Sasa wale wahuni wanasema niondolewe, sina makosa, nitagombea ubunge mwaka huu" Kangi Lugola, Mbunge wa jimbo la Mwibara.