Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu si ndo aliesema kuna mtu amekutana nae kafanana na Yesu au nnamfananisha, ntashangaa sana kama watu wa mwibara kwa kufuru hii watampa tenaView attachment 1481565
"Wananchi wangu wa Mwibara wameniamini sana, huu ni mwaka wa 10 nawatumikia, wako wahuni wachache ambao wanapita kujaribu kuonyesha kuwa miaka 10 inanitosha niondoke, nimekosa nini? Hadi niondoke? Nimewaambia sina makosa.
.
"Sasa wale wahuni wanasema niondolewe, sina makosa, nitagombea ubunge mwaka huu" Kangi Lugola, Mbunge wa jimbo la Mwibara.
Duh,, watu mna maneno!!Cheki mdomo wake ulivyo , utafikiri unapuliza moto wa kuchomea mahindi shambani
Miaka kumi inatosha. Kaa pembeni,View attachment 1481565
"Wananchi wangu wa Mwibara wameniamini sana, huu ni mwaka wa 10 nawatumikia, wako wahuni wachache ambao wanapita kujaribu kuonyesha kuwa miaka 10 inanitosha niondoke, nimekosa nini? Hadi niondoke? Nimewaambia sina makosa.
.
"Sasa wale wahuni wanasema niondolewe, sina makosa, nitagombea ubunge mwaka huu" Kangi Lugola, Mbunge wa jimbo la Mwibara.
Jimbo la Mwibara wana kazi sana aiseee...[emoji23][emoji23]Kwa wana musoma watamtimua kabisa
Ila hakumuambia asihudhurie bungeni Wala asigombee tena
Jimbo la Chadema hilo. Hakuna Sijui Musiba, Msiba wala mkata mauno..Musiba na Lugola hawana tofauti. Uwezo wao wa kufikiri unalingana.
Nasikia Kangi kwa lugha ya watu wa Mara maana yake ni Jinga!!!Kwa wana musoma watamtimua kabisa
Nasikia Kangi kwa lugha ya watu wa Mara maana yake ni Jinga!!!
Jimbo la Mwibara wana kazi sana aiseee...[emoji23][emoji23]
Jimbo la Chadema hilo. Hakuna Sijui Musiba, Msiba wala mkata mauno..
Yaani unasema huna makosa wakati Mkuu alikutumbua kwa kuto kuwajibika, ina maana umeonewa?.View attachment 1481565
"Wananchi wangu wa Mwibara wameniamini sana, huu ni mwaka wa 10 nawatumikia, wako wahuni wachache ambao wanapita kujaribu kuonyesha kuwa miaka 10 inanitosha niondoke, nimekosa nini? Hadi niondoke? Nimewaambia sina makosa.
.
"Sasa wale wahuni wanasema niondolewe, sina makosa, nitagombea ubunge mwaka huu" Kangi Lugola, Mbunge wa jimbo la Mwibara.
View attachment 1481565
"Wananchi wangu wa Mwibara wameniamini sana, huu ni mwaka wa 10 nawatumikia, wako wahuni wachache ambao wanapita kujaribu kuonyesha kuwa miaka 10 inanitosha niondoke, nimekosa nini? Hadi niondoke? Nimewaambia sina makosa.
.
"Sasa wale wahuni wanasema niondolewe, sina makosa, nitagombea ubunge mwaka huu" Kangi Lugola, Mbunge wa jimbo la Mwibara.