Uchaguzi 2020 Kangi Lugola: Nina makosa gani hadi nisigombee Ubunge?

Uchaguzi 2020 Kangi Lugola: Nina makosa gani hadi nisigombee Ubunge?

View attachment 1481565
"Wananchi wangu wa Mwibara wameniamini sana, huu ni mwaka wa 10 nawatumikia, wako wahuni wachache ambao wanapita kujaribu kuonyesha kuwa miaka 10 inanitosha niondoke, nimekosa nini? Hadi niondoke? Nimewaambia sina makosa.
.
"Sasa wale wahuni wanasema niondolewe, sina makosa, nitagombea ubunge mwaka huu" Kangi Lugola, Mbunge wa jimbo la Mwibara.
Huyu si ndo aliesema kuna mtu amekutana nae kafanana na Yesu au nnamfananisha, ntashangaa sana kama watu wa mwibara kwa kufuru hii watampa tena
 
Maagi Malaga

Anaenda kumumaliza huyu

Angetulia tu ale kiinua mgongo chake!
 
Kangi na musiba Ni mizigo wote hawafai kuwepo bungeni
Uwezo wa kufikiri wa musiba Ni mdogo Sana Nina wasiwasi na shule yake.
Lugola nae yaleyale anasifia mpaka wasikilizaji tunaona aibu.
 
Kwani msamaha wake ulishapita, au amedandia ule wa bwana adwegenye..
 
Musiba amesema anamchomoa Lugola hapo Mwibara na tayari nimeona ameenda kutoa rushwa kwa wenyeviti wa kijiji
 
Ndani ya CCM wenye njaa kali na nuksi ni hawa wawili... huyu na yule Mzee asiye na jimbo hadi sasa...Ukonga hawataki Tarime pia wamesema hawataki kumwona sura yake inayotisha watoto ..nuksi!!
 
View attachment 1481565
"Wananchi wangu wa Mwibara wameniamini sana, huu ni mwaka wa 10 nawatumikia, wako wahuni wachache ambao wanapita kujaribu kuonyesha kuwa miaka 10 inanitosha niondoke, nimekosa nini? Hadi niondoke? Nimewaambia sina makosa.
.
"Sasa wale wahuni wanasema niondolewe, sina makosa, nitagombea ubunge mwaka huu" Kangi Lugola, Mbunge wa jimbo la Mwibara.
Miaka kumi inatosha. Kaa pembeni,
 
View attachment 1481565
"Wananchi wangu wa Mwibara wameniamini sana, huu ni mwaka wa 10 nawatumikia, wako wahuni wachache ambao wanapita kujaribu kuonyesha kuwa miaka 10 inanitosha niondoke, nimekosa nini? Hadi niondoke? Nimewaambia sina makosa.
.
"Sasa wale wahuni wanasema niondolewe, sina makosa, nitagombea ubunge mwaka huu" Kangi Lugola, Mbunge wa jimbo la Mwibara.
Yaani unasema huna makosa wakati Mkuu alikutumbua kwa kuto kuwajibika, ina maana umeonewa?.
 
View attachment 1481565
"Wananchi wangu wa Mwibara wameniamini sana, huu ni mwaka wa 10 nawatumikia, wako wahuni wachache ambao wanapita kujaribu kuonyesha kuwa miaka 10 inanitosha niondoke, nimekosa nini? Hadi niondoke? Nimewaambia sina makosa.
.
"Sasa wale wahuni wanasema niondolewe, sina makosa, nitagombea ubunge mwaka huu" Kangi Lugola, Mbunge wa jimbo la Mwibara.

Atengue Kauli yake upesi hasa ya Kutudhihaki Sisi Wahuni kama ambavyo ametuita hapa vinginevyo kwa Uhuni Wetu Ubunge wake ataukosa pia.
 
Pengina kwa mchango wake aliochangia bungeni kwa mara ya mwisho waweza kumrudisha bungeni. Anajua kucheza karata vuzuri sana. Mi nimemsifu.
 
Back
Top Bottom