Protocol zako kwenye dini zina mipaka kwenye imani ya mtu mwingine, jua hilo.Wote wapo kwenye makosa. Ila kosa la Wakristo kusema UTATU na kusema YESU ni Mungu au mwana wa Mungu ni kosa kubwa sana kuliko hilo la huyo aliye mfananisha na binadamu.
Siyo kweli, dini siyo maoni ya mtu binafsi kijana, dini ni njia ya kukupeleka katika hatima na maisha baada ya kifo, dini ni ukweli maridhawa, hakuna kweli mbili kijana, lingine unatakiwa ujue tunajadili nini ?Protocol zako kwenye dini zina mipaka kwenye imani ya mtu mwingine, jua hilo.
Hakuna msingihuo, na wenye imani hiyo hawana misingi, labda kama hujui maana ya misingi au msingi kwa umoja. Nakupa kazi weka msingi wa imani hiyo unaruhusu USHIRIKINA huku wenyewe wanaishi katila USHIRIKINA.Huwezi kutumia sheria zako za kiimani kukashifu imani ya wengine huku ukijua wazi kua misingi yao inawaruhusu wao kufanya hilo jambo ambalo we unaona haliko sawa.
Mtatetea hadi vinyesi ili mradi elfu 7 iingieMleta mada ni kilaza
MEKO NI SAWA NA YESU😂😂😂😂
https://www.facebook.com/
Hapo ndoa anajipambanua ili asizamishweHuyo si yule aliyepigwa chini??!;, sasa kaja na mbinu mpya ili apewe cheo kingine.
Ile kesi yake na Takukuru iliishia wapi??
Hata anayeabudu ng'ombe unatakiwa uheshimu imani yake as long as havunji sheria za nchi.Wote wapo kwenye makosa. Ila kosa la Wakristo kusema UTATU na kusema YESU ni Mungu au mwana wa Mungu ni kosa kubwa sana kuliko hilo la huyo aliye mfananisha na binadamu.
Wameshajua weakness ya Jiwe na wanagonga hapo hapo. Nyerere usingeliweza kusema rubbish kama hizo!" Tunapokuwa na Rais wa namna hii [kama Rais Magufuli] hatuhitaji tena kuingia kwenye mjadala wala michakato ya kutafuta Rais mwingine, kwa sababu huyu Rais wa Watanzania tayari amekwisha patikana ."- Mbunge wa Mwibara, Kangi Lugola (CCM)
Kwa hiki ni Matuamini yangu makubwa Mzukulu kuwa Msamaha utakubalika haraka sana na huenda hata akafikiriwa upya katika Uwaziri ujao.
Kabisa washajua... embu tumfikirie Mwigulu na mtangulizi wake...!!! Au yule mwingine ..!!Wameshajua weakness ya Jiwe na wanagonga hapo hapo. Nyerere usingeliweza kusema rubbish kama hizo!