Kangi Lugola: Rais Magufuli namfananisha na Yesu tofauti na Mbowe ambaye ni mlevi anayelewa Chako ni Chako

Kangi Lugola: Rais Magufuli namfananisha na Yesu tofauti na Mbowe ambaye ni mlevi anayelewa Chako ni Chako



Dah.....bunge linogile.

Kangi Lugola amesema Rais Magufuli ni kama Yesu na kila aendapo wananchi humfuata kumweleza shida zao naye huwatatulia papo kwa hapo kama Yesu alivyomponya Batholomeo na kumfufua Lazaro.

Lugola amesema Rais Magufuli ni mtu wa kipekee ambaye huwezi kumpata sehemu nyingine yoyote tofauti na Mbowe ambaye ni mlevi anayeshinda Grocery na hasa pale Chako ni Chako.

"Niliwahi kusema watu kama Rais Magufuli hawazaliwi kila wakati na hauwezi kuwapata kila mahala. Watu ambao unaweza kuwapata kila mahala ni walevi kama kina Freeman Mbowe" - Kangi Lugola.

Chanzo: Bungeni

Maendeleo hayana vyama!

Aiseee
 


Dah.....bunge linogile.

Kangi Lugola amesema Rais Magufuli ni kama Yesu na kila aendapo wananchi humfuata kumweleza shida zao naye huwatatulia papo kwa hapo kama Yesu alivyomponya Batholomeo na kumfufua Lazaro.

Lugola amesema Rais Magufuli ni mtu wa kipekee ambaye huwezi kumpata sehemu nyingine yoyote tofauti na Mbowe ambaye ni mlevi anayeshinda Grocery na hasa pale Chako ni Chako.

"Niliwahi kusema watu kama Rais Magufuli hawazaliwi kila wakati na hauwezi kuwapata kila mahala. Watu ambao unaweza kuwapata kila mahala ni walevi kama kina Freeman Mbowe" - Kangi Lugola.

Chanzo: Bungeni

Maendeleo hayana vyama!

Hawa walimtenda Magufuli kwa akili sana.

Walimpa rushwa ya sifa za uongo ili wapewe asali.

Walipomchoka wakamuua kwa kumwita Yesu...kufuru ya hali juu
 


Dah.....bunge linogile.

Kangi Lugola amesema Rais Magufuli ni kama Yesu na kila aendapo wananchi humfuata kumweleza shida zao naye huwatatulia papo kwa hapo kama Yesu alivyomponya Batholomeo na kumfufua Lazaro.

Lugola amesema Rais Magufuli ni mtu wa kipekee ambaye huwezi kumpata sehemu nyingine yoyote tofauti na Mbowe ambaye ni mlevi anayeshinda Grocery na hasa pale Chako ni Chako.

"Niliwahi kusema watu kama Rais Magufuli hawazaliwi kila wakati na hauwezi kuwapata kila mahala. Watu ambao unaweza kuwapata kila mahala ni walevi kama kina Freeman Mbowe" - Kangi Lugola.

Chanzo: Bungeni

Maendeleo hayana vyama!


Hivi huyu jamaa siku hizi yuko wapi?

Sikuwahi kujua kumbe hapa Tanzania unaweza kuwa na tatizo la afya ya kiakili kama huyu bwana na bado ukapewa uongozi ili kuongoza watu wenye akili timamu...!

Huyu jamaa ilikuwa akiamua kucharuka kwa ulevi wa madaraka ya cheo chake, basi aliweza kutapika chochote bila kupima athari zake katika jamii..
 


Dah.....bunge linogile.

Kangi Lugola amesema Rais Magufuli ni kama Yesu na kila aendapo wananchi humfuata kumweleza shida zao naye huwatatulia papo kwa hapo kama Yesu alivyomponya Batholomeo na kumfufua Lazaro.

Lugola amesema Rais Magufuli ni mtu wa kipekee ambaye huwezi kumpata sehemu nyingine yoyote tofauti na Mbowe ambaye ni mlevi anayeshinda Grocery na hasa pale Chako ni Chako.

"Niliwahi kusema watu kama Rais Magufuli hawazaliwi kila wakati na hauwezi kuwapata kila mahala. Watu ambao unaweza kuwapata kila mahala ni walevi kama kina Freeman Mbowe" - Kangi Lugola.

Chanzo: Bungeni

Maendeleo hayana vyama!

Lugola ni hovyo sana! Anamjua Yesu huyu fisadi?
 
H
Hivi huyu jamaa siku hizi yuko wapi?

Sikuwahi kujua kumbe hapa Tanzania unaweza kuwa na tatizo la afya ya kiakili kama huyu bwana na bado ukapewa uongozi ili kuongoza watu wenye akili timamu...!

Huyu jamaa ilikuwa akiamua kucharuka kwa ulevi wa madaraka ya cheo chake, basi aliweza kutapika chochote bila kupima athari zake katika jamii..
Ccm wanapenda mijitu ya hovyo kama haya!
 
Hivi huyu jamaa siku hizi yuko wapi?

Sikuwahi kujua kumbe hapa Tanzania unaweza kuwa na tatizo la afya ya kiakili kama huyu bwana na bado ukapewa uongozi ili kuongoza watu wenye akili timamu...!

Huyu jamaa ilikuwa akiamua kucharuka kwa ulevi wa madaraka ya cheo chake, basi aliweza kutapika chochote bila kupima athari zake katika jamii..
Anavua kamongo kwao huko na ndugu yake Cyprian Musiba
 


Dah.....bunge linogile.

Kangi Lugola amesema Rais Magufuli ni kama Yesu na kila aendapo wananchi humfuata kumweleza shida zao naye huwatatulia papo kwa hapo kama Yesu alivyomponya Batholomeo na kumfufua Lazaro.

Lugola amesema Rais Magufuli ni mtu wa kipekee ambaye huwezi kumpata sehemu nyingine yoyote tofauti na Mbowe ambaye ni mlevi anayeshinda Grocery na hasa pale Chako ni Chako.

"Niliwahi kusema watu kama Rais Magufuli hawazaliwi kila wakati na hauwezi kuwapata kila mahala. Watu ambao unaweza kuwapata kila mahala ni walevi kama kina Freeman Mbowe" - Kangi Lugola.

Chanzo: Bungeni

Maendeleo hayana vyama!

Bange hizi!
 
Mimi nimemkumbuka raba zake na akikata mauno kucheza dansi na mwanadada..
 
Back
Top Bottom