Kangi Lugola: Rais Magufuli namfananisha na Yesu tofauti na Mbowe ambaye ni mlevi anayelewa Chako ni Chako

Kangi Lugola: Rais Magufuli namfananisha na Yesu tofauti na Mbowe ambaye ni mlevi anayelewa Chako ni Chako

Wanabodi,
Saalam!
Kwakuwa kangi lugola alitamka, mbele ya camera na kusikiwa na watanzania waliowengi.

Ilitakiwa aliyefananishwa na Yesu kristo, leo ktk kulivunja bunge akane au kumkemea lugola hadharani.
Tofaauti na mategemeo ya wengi imekuwa kimya.

Hivyo kitendo hicho kinatuonesha lugola amekubali na muhusika kama siyo kutumwa.

My take,
Viongozi wa dini watu hao watengwe kanisani kanisani, msipofanya hivyo mtakuwa mmeshiriki dhambi ya kumweka mwanaadam kwenye nafasi ya mungu.
Nimeandika sana humu kama ulivyoandika. Basi YESU ni Jiwe! Katoliki wamebariki!
 
Kama ni kutengwa ilitakiwa itengwe Biblia kwanza inayotaja maumbile ya mwanadamu kufanana na Mungu, kisha atengwe Lugola. Vinginevyo tukubali kuwa Lugola yuko sahihi na Yesu siyo Mungu aliyeumba mbingu na ardhi na vyote vilivyomo, bali ni mwanadamu kama Magufuli.
 
Wanabodi,
Saalam!
Kwakuwa kangi lugola alitamka, mbele ya camera na kusikiwa na watanzania waliowengi.

Ilitakiwa aliyefananishwa na Yesu kristo, leo ktk kulivunja bunge akane au kumkemea lugola hadharani.
Tofaauti na mategemeo ya wengi imekuwa kimya.

Hivyo kitendo hicho kinatuonesha lugola amekubali na muhusika kama siyo kutumwa.

My take,
Viongozi wa dini watu hao watengwe kanisani kanisani, msipofanya hivyo mtakuwa mmeshiriki dhambi ya kumweka mwanaadam kwenye nafasi ya mungu.
Tunamwachia Mungu awatenge.
 


Dah.....bunge linogile.

Kangi Lugola amesema Rais Magufuli ni kama Yesu na kila aendapo wananchi humfuata kumweleza shida zao naye huwatatulia papo kwa hapo kama Yesu alivyomponya Batholomeo na kumfufua Lazaro.

Lugola amesema Rais Magufuli ni mtu wa kipekee ambaye huwezi kumpata sehemu nyingine yoyote tofauti na Mbowe ambaye ni mlevi anayeshinda Grocery na hasa pale Chako ni Chako.

"Niliwahi kusema watu kama Rais Magufuli hawazaliwi kila wakati na hauwezi kuwapata kila mahala. Watu ambao unaweza kuwapata kila mahala ni walevi kama kina Freeman Mbowe" - Kangi Lugola.

Chanzo: Bungeni

Maendeleo hayana vyama!


Huyu ni mwanafunzi wa Dr Magufuli aliyejivunia nae. Ubora wa mwanafunzi waweza kuwa ni matokeo ya mwalimu au juhudi binafsi na malezi ya kwao au mchanganyiko wa hivi lakini vikiwa na uzito tofauti.
 


Dah.....bunge linogile.

Kangi Lugola amesema Rais Magufuli ni kama Yesu na kila aendapo wananchi humfuata kumweleza shida zao naye huwatatulia papo kwa hapo kama Yesu alivyomponya Batholomeo na kumfufua Lazaro.

Lugola amesema Rais Magufuli ni mtu wa kipekee ambaye huwezi kumpata sehemu nyingine yoyote tofauti na Mbowe ambaye ni mlevi anayeshinda Grocery na hasa pale Chako ni Chako.

"Niliwahi kusema watu kama Rais Magufuli hawazaliwi kila wakati na hauwezi kuwapata kila mahala. Watu ambao unaweza kuwapata kila mahala ni walevi kama kina Freeman Mbowe" - Kangi Lugola.

Chanzo: Bungeni

Maendeleo hayana vyama!

Inamana Mungu wa wakiristo anafanana na binadamu, anaenda chooni kunya, anakula chakula, anapata njaa, anaumwa anakojoa
 
Baada ya kufurushwa mezani sidhani Kama anaweza yarudia maneno haya.
Mbele ya tumbo hakuna wanafik Kama watz pale wanaponufaika,naona kigwangwala keshaanza kulalamika kupungua kwa marafiki
 
Baada ya kufurushwa mezani sidhani Kama anaweza yarudia maneno haya.
Mbele ya tumbo hakuna wanafik Kama watz pale wanaponufaika,naona kigwangwala keshaanza kulalamika kupungua marafiki
 


Dah.....bunge linogile.

Kangi Lugola amesema Rais Magufuli ni kama Yesu na kila aendapo wananchi humfuata kumweleza shida zao naye huwatatulia papo kwa hapo kama Yesu alivyomponya Batholomeo na kumfufua Lazaro.

Lugola amesema Rais Magufuli ni mtu wa kipekee ambaye huwezi kumpata sehemu nyingine yoyote tofauti na Mbowe ambaye ni mlevi anayeshinda Grocery na hasa pale Chako ni Chako.

"Niliwahi kusema watu kama Rais Magufuli hawazaliwi kila wakati na hauwezi kuwapata kila mahala. Watu ambao unaweza kuwapata kila mahala ni walevi kama kina Freeman Mbowe" - Kangi Lugola.

Chanzo: Bungeni

Maendeleo hayana vyama!

Upumbavu ni pale ambapo wapambe wanaotaka vyeo wanakufuru kukufananisha na Mitume na Manabii wetu, halafu na wewe huwakemei.

Nashukuru Yesu hajawahi kupumua kwa mitungi ya Oxygen na Ventilators
 
Back
Top Bottom