Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakua umeshikwa Mapumbuvipi nimeshikwa masikio?
PM lazima ijae kuna wale wakina kazeuzabe kucha mbelembele lazima waipiganie PM kwa UDI na uvumbaHili tangazo lilimekaa kishujaa sana
Sio jambo baya lakini huyu mwanamke katumia hicho kitendo kama dhihaka kwa mumeweKama anafanya visasi sio poa, ila kupiga deki ndani mwanaume unapiga tu, sio hadi mkeo apate kazi.
Au mume kudeki ndani ni jambo baya sana?
Lengo la kuoa ni mwanamke afanye kazi za nyumbani km usafi na haruhusiwi kufanya kazi yoyote ya kumuingizia kipato.Mmh, kwani wewe ulioa ili tu mkeo apige deki, ndio lengo kuu la kuoa?
Mimi sio tu deki, hata kupika huwa napika, vipi nimeshikwa masikio?
Mkuu nina dogo yupo tu kama hutajali naomba msaada unisaidieNimekaa na mke wa mtu nikampa dili kuna sehemu wanahitajika watu kazi ya kutwa data collection 25,000 kwa siku, project ya miezi 2, alichonijibu akasema yupo tayari tena akiipata hiyo kazi huyo mume wake mbona atapiga deki ndani.
Akasema ana rafiki yake kama wanahitajika watu wengi nikamwabia ampigie sasa anamjulisha rafiki yake halafu anamwambia hii dili nikiipata namtaka huyo boss atakayekuwa anatulipa, nikimpata sasa huyu mwanaume ndio atanijua mimi nani!
Yaani mpaka nawaza nisimconnect na jamaa, anaonekana ana kisasi sana na mumewe ndio vile tu hana namna ni mama wa nyumbani.
Nyuzi za memba wa kataa ndoa zinazidishwa tangawizi.Wakuu wenzangu tuukatae au tuukubali huu uzi?
Sasa utashangaa hata pesa yenyewe hutafutiUmeoa na bado unapiga deki. Sasa ulioa ili ufanye nini? Si bora ubaki single tu
Jukumu la mwanaume ni kutafuta hela tu na hayo mambo ya usafi ni ya mwanamke
Daah! Watu wabaya kumbe hii ni ndoano?Hili tangazo lilimekaa kishujaa sana
Vp demu wako wa chuo amekubali ombi lako?
Huwa napenda sana mke wangu akinishika Mapumbu.Utakua umeshikwa Mapumbu
Wewe fala sana 750000/- kwa mwezi pesa ndefu sana????Hiyo ni mihemko tu inamsumbua alafu mkuu hiyo pesa ni ndefu sana