Kaniambia akiipata kazi mume wake atapiga deki ndani!

Kaniambia akiipata kazi mume wake atapiga deki ndani!

Kama anafanya visasi sio poa, ila kupiga deki ndani mwanaume unapiga tu, sio hadi mkeo apate kazi.

Au mume kudeki ndani ni jambo baya sana?
Sio jambo baya lakini huyu mwanamke katumia hicho kitendo kama dhihaka kwa mumewe
 
Mmh, kwani wewe ulioa ili tu mkeo apige deki, ndio lengo kuu la kuoa?

Mimi sio tu deki, hata kupika huwa napika, vipi nimeshikwa masikio?
Lengo la kuoa ni mwanamke afanye kazi za nyumbani km usafi na haruhusiwi kufanya kazi yoyote ya kumuingizia kipato.
Kazi ya mwanamke ni kulea familia hapo nyumbani.
Nioe halafu nipige deki? 😀😀😀😀Acha utani kijana
 
Nimekaa na mke wa mtu nikampa dili kuna sehemu wanahitajika watu kazi ya kutwa data collection 25,000 kwa siku, project ya miezi 2, alichonijibu akasema yupo tayari tena akiipata hiyo kazi huyo mume wake mbona atapiga deki ndani.

Akasema ana rafiki yake kama wanahitajika watu wengi nikamwabia ampigie sasa anamjulisha rafiki yake halafu anamwambia hii dili nikiipata namtaka huyo boss atakayekuwa anatulipa, nikimpata sasa huyu mwanaume ndio atanijua mimi nani!

Yaani mpaka nawaza nisimconnect na jamaa, anaonekana ana kisasi sana na mumewe ndio vile tu hana namna ni mama wa nyumbani.
Mkuu nina dogo yupo tu kama hutajali naomba msaada unisaidie
 
Mkuu ungeweka hapa hapa full mawasiliano ni wengi wanataka hiyo 25k per day haina haja ya kuja chemba...
 
Si bora aseme tutaachana kuliko hivyo
Kwa hiyo miez 2 ikipita?
 
Nimecheka, 😂😂😂😂kuna jamaa akaamua acomment kabisa ana mdogo wake amuinganishe naae😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom