Hapa nilipo nimechanganyikiwa baada ya kuambiwa na mtu ambaye nlitokea kumpenda kupita kias kuwa ni muathirika wa vvu.Nilikutana nae sku chache zlizopita,ni mschana mrembo kupita kiasi nilimtongoza akasema anawachukia wanaume ckujua kwa nn!?
Leo kaniambia kama kweli nampenda tukapime,nikamwambia poa,bac ye akaamua kuniambia kuwa ana hiv na aliambukizwa na mvulana ambaye ndiye wa kwanza kwake.Nimelia sana kaniambia tuwe marafiki tu ila na yy ananipenda ila hataki kuniua.Hapi nilipo nimechanganyikiwa naona kama ndoto