Kaniambia ana HIV

Kaniambia ana HIV

Hapa nilipo nimechanganyikiwa baada ya kuambiwa na mtu ambaye nlitokea kumpenda kupita kiasi kuwa ni muathirika wa VVU.Nilikutana nae sku chache zlizopita,ni msichana mrembo kupita kiasi nilimtongoza akasema anawachukia wanaume sikujua kwa nini.

Leo kaniambia kama kweli nampenda tukapime,nikamwambia poa,basi yeye akaamua kuniambia kuwa ana HIV na aliambukizwa na mvulana ambaye ndiye wa kwanza kwake.Nimelia sana kaniambia tuwe marafiki tu ila na yeye ananipenda ila hataki kuniua.

Hapa nilipo nimechanganyikiwa naona kama ndoto.
Kaa mbali
 
Back
Top Bottom