Kaniambia fuata mambo yako

Kaniambia fuata mambo yako

Siyo kweli mkuu huu ni mwezi wa 4 so nilisha move on na penzi lilishakufa mda na nilishakubali
Ni kweli mkuu, lakini nasisitiza msahau kabisa hata uzi kama huu umeanzisha sababu kuna kitu umekumbuka, umemove on ila hujamsahau me nikashavunja mahusiono staki kabisa kumkumbuka, wala kuwa na mawasiliano haijalishi tumeachana kwa heri au shari mpaka jina huwa nasahau
 
Wakuu kwema?

Aisee nilikua na Pisi moja hivi nimekaa nayo miaka 4 aisee tokea akiwa form three mpaka alivofika chuo .. alikuja mkoa ninaoishi kwa ajili yangu.

Tatizo lilianzia hapa
Aisee alivoanza chuo mahusiano yalikua fresh kabisa mwaka wa kwanza ukaisha fresh ila mwanzoni mwaka wa pili akaanza kubadilika aisee.. nikawa namcheki tuu akawa hanicheki mpaka mimi ndo ni mcheki aisee... nikaona red flags nikajua atabadilika ikawa akinipigia ni anaomba tuu hela akipata kimya kwa sababu nilikua nampenda ikabdi niwe namtumia ila siku hyo nimeamka na moodiness akanicheki kama kawaida yake ananiomba hela kwanza alituma message ya salamu sikumjibu.. akatuma ya kuomba hela nikamuambia namba ipi? Akaniambia message yangu kwani hujaiona nikamuambia sitaki salmamu za kinafiki mimi maana wewe kila ukinitafuta unaomba hela wee alikasirika hatari... na hela sikutuma

Zikapita siku 2 mimi kimya akanicheki akaniambia ile siku ulinikera sana nikamjibu ndo hvo huo ndo ukweli akaniambia fuata mambo yako nikamjibu ok. Akatuma tena fuata mambo yako nika mjibu ok.. from that day mpaka leo hajawahi kunicheki na mimi hvo hvo sijawahi mcheki.. huu ni mwezi wa 4 penzi likafa Rasmi.

Iam not that cheap aisee alijua kuwa nitamshobokea na kumuomba msamaha.

Na wakati mwingine tukubali tuu ukweli kuwa upendo umeisha tusilazimishe.
Aisee aisee aisee wasikie tu hao viumbe. Ulikuwa ATM
 
Bado moyo wako haujamuachia
Wakuu kwema?

Aisee nilikua na Pisi moja hivi nimekaa nayo miaka 4 aisee tokea akiwa form three mpaka alivofika chuo .. alikuja mkoa ninaoishi kwa ajili yangu.

Tatizo lilianzia hapa
Aisee alivoanza chuo mahusiano yalikua fresh kabisa mwaka wa kwanza ukaisha fresh ila mwanzoni mwaka wa pili akaanza kubadilika aisee.. nikawa namcheki tuu akawa hanicheki mpaka mimi ndo ni mcheki aisee... nikaona red flags nikajua atabadilika ikawa akinipigia ni anaomba tuu hela akipata kimya kwa sababu nilikua nampenda ikabdi niwe namtumia ila siku hyo nimeamka na moodiness akanicheki kama kawaida yake ananiomba hela kwanza alituma message ya salamu sikumjibu.. akatuma ya kuomba hela nikamuambia namba ipi? Akaniambia message yangu kwani hujaiona nikamuambia sitaki salmamu za kinafiki mimi maana wewe kila ukinitafuta unaomba hela wee alikasirika hatari... na hela sikutuma

Zikapita siku 2 mimi kimya akanicheki akaniambia ile siku ulinikera sana nikamjibu ndo hvo huo ndo ukweli akaniambia fuata mambo yako nikamjibu ok. Akatuma tena fuata mambo yako nika mjibu ok.. from that day mpaka leo hajawahi kunicheki na mimi hvo hvo sijawahi mcheki.. huu ni mwezi wa 4 penzi likafa Rasmi.

Iam not that cheap aisee alijua kuwa nitamshobokea na kumuomba msamaha.

Na wakati mwingine tukubali tuu ukweli kuwa upendo umeisha tusilazimishe.
 
Wakuu kwema?

Aisee nilikua na Pisi moja hivi nimekaa nayo miaka 4 aisee tokea akiwa form three mpaka alivofika chuo .. alikuja mkoa ninaoishi kwa ajili yangu.

Tatizo lilianzia hapa
Aisee alivoanza chuo mahusiano yalikua fresh kabisa mwaka wa kwanza ukaisha fresh ila mwanzoni mwaka wa pili akaanza kubadilika aisee.. nikawa namcheki tuu akawa hanicheki mpaka mimi ndo ni mcheki aisee... nikaona red flags nikajua atabadilika ikawa akinipigia ni anaomba tuu hela akipata kimya kwa sababu nilikua nampenda ikabdi niwe namtumia ila siku hyo nimeamka na moodiness akanicheki kama kawaida yake ananiomba hela kwanza alituma message ya salamu sikumjibu.. akatuma ya kuomba hela nikamuambia namba ipi? Akaniambia message yangu kwani hujaiona nikamuambia sitaki salmamu za kinafiki mimi maana wewe kila ukinitafuta unaomba hela wee alikasirika hatari... na hela sikutuma

Zikapita siku 2 mimi kimya akanicheki akaniambia ile siku ulinikera sana nikamjibu ndo hvo huo ndo ukweli akaniambia fuata mambo yako nikamjibu ok. Akatuma tena fuata mambo yako nika mjibu ok.. from that day mpaka leo hajawahi kunicheki na mimi hvo hvo sijawahi mcheki.. huu ni mwezi wa 4 penzi likafa Rasmi.

Iam not that cheap aisee alijua kuwa nitamshobokea na kumuomba msamaha.

Na wakati mwingine tukubali tuu ukweli kuwa upendo umeisha tusilazimishe.
Bora yako kaka Mimi tumezinguana na demu wangu juzi Ila siko vizuri kihisia, japokuwa tulikuwa hatupendani kiivo toka mwanzo. Ila roho inaniuma na hajawai kunichangamkia kivile Yani yupoyupo tu pia anakaushamba flani hivi .
 
Iam not that cheap aisee
Yet you are hurting.

If it's of any solace, just know pesa aliyokuwa anakuomba ilikuwa anampelekea jamaa yake. Wewe ulikuwa mfadhili wa mahusiano yao🤣🤣🤣🤣.

Saa hizi kawekwa miguu juu anachezea mjulus, wewe upo busy kuandika nyuzi JF🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom