Ni kweli mkuu, lakini nasisitiza msahau kabisa hata uzi kama huu umeanzisha sababu kuna kitu umekumbuka, umemove on ila hujamsahau me nikashavunja mahusiono staki kabisa kumkumbuka, wala kuwa na mawasiliano haijalishi tumeachana kwa heri au shari mpaka jina huwa nasahauSiyo kweli mkuu huu ni mwezi wa 4 so nilisha move on na penzi lilishakufa mda na nilishakubali
ephen_ ngoja nimfikishie ujumbe guede14Mimi nipo na ephen wangu tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu.Kama imekubidi ujiunge bando, ufungue JF na upost uzi its clear kwamba bado unampenda huyo mwanamke.
Pole.
Usisahau kula matikiti
Aisee aisee aisee wasikie tu hao viumbe. Ulikuwa ATMWakuu kwema?
Aisee nilikua na Pisi moja hivi nimekaa nayo miaka 4 aisee tokea akiwa form three mpaka alivofika chuo .. alikuja mkoa ninaoishi kwa ajili yangu.
Tatizo lilianzia hapa
Aisee alivoanza chuo mahusiano yalikua fresh kabisa mwaka wa kwanza ukaisha fresh ila mwanzoni mwaka wa pili akaanza kubadilika aisee.. nikawa namcheki tuu akawa hanicheki mpaka mimi ndo ni mcheki aisee... nikaona red flags nikajua atabadilika ikawa akinipigia ni anaomba tuu hela akipata kimya kwa sababu nilikua nampenda ikabdi niwe namtumia ila siku hyo nimeamka na moodiness akanicheki kama kawaida yake ananiomba hela kwanza alituma message ya salamu sikumjibu.. akatuma ya kuomba hela nikamuambia namba ipi? Akaniambia message yangu kwani hujaiona nikamuambia sitaki salmamu za kinafiki mimi maana wewe kila ukinitafuta unaomba hela wee alikasirika hatari... na hela sikutuma
Zikapita siku 2 mimi kimya akanicheki akaniambia ile siku ulinikera sana nikamjibu ndo hvo huo ndo ukweli akaniambia fuata mambo yako nikamjibu ok. Akatuma tena fuata mambo yako nika mjibu ok.. from that day mpaka leo hajawahi kunicheki na mimi hvo hvo sijawahi mcheki.. huu ni mwezi wa 4 penzi likafa Rasmi.
Iam not that cheap aisee alijua kuwa nitamshobokea na kumuomba msamaha.
Na wakati mwingine tukubali tuu ukweli kuwa upendo umeisha tusilazimishe.
Wakuu kwema?
Aisee nilikua na Pisi moja hivi nimekaa nayo miaka 4 aisee tokea akiwa form three mpaka alivofika chuo .. alikuja mkoa ninaoishi kwa ajili yangu.
Tatizo lilianzia hapa
Aisee alivoanza chuo mahusiano yalikua fresh kabisa mwaka wa kwanza ukaisha fresh ila mwanzoni mwaka wa pili akaanza kubadilika aisee.. nikawa namcheki tuu akawa hanicheki mpaka mimi ndo ni mcheki aisee... nikaona red flags nikajua atabadilika ikawa akinipigia ni anaomba tuu hela akipata kimya kwa sababu nilikua nampenda ikabdi niwe namtumia ila siku hyo nimeamka na moodiness akanicheki kama kawaida yake ananiomba hela kwanza alituma message ya salamu sikumjibu.. akatuma ya kuomba hela nikamuambia namba ipi? Akaniambia message yangu kwani hujaiona nikamuambia sitaki salmamu za kinafiki mimi maana wewe kila ukinitafuta unaomba hela wee alikasirika hatari... na hela sikutuma
Zikapita siku 2 mimi kimya akanicheki akaniambia ile siku ulinikera sana nikamjibu ndo hvo huo ndo ukweli akaniambia fuata mambo yako nikamjibu ok. Akatuma tena fuata mambo yako nika mjibu ok.. from that day mpaka leo hajawahi kunicheki na mimi hvo hvo sijawahi mcheki.. huu ni mwezi wa 4 penzi likafa Rasmi.
Iam not that cheap aisee alijua kuwa nitamshobokea na kumuomba msamaha.
Na wakati mwingine tukubali tuu ukweli kuwa upendo umeisha tusilazimishe.
Bora yako kaka Mimi tumezinguana na demu wangu juzi Ila siko vizuri kihisia, japokuwa tulikuwa hatupendani kiivo toka mwanzo. Ila roho inaniuma na hajawai kunichangamkia kivile Yani yupoyupo tu pia anakaushamba flani hivi .Wakuu kwema?
Aisee nilikua na Pisi moja hivi nimekaa nayo miaka 4 aisee tokea akiwa form three mpaka alivofika chuo .. alikuja mkoa ninaoishi kwa ajili yangu.
Tatizo lilianzia hapa
Aisee alivoanza chuo mahusiano yalikua fresh kabisa mwaka wa kwanza ukaisha fresh ila mwanzoni mwaka wa pili akaanza kubadilika aisee.. nikawa namcheki tuu akawa hanicheki mpaka mimi ndo ni mcheki aisee... nikaona red flags nikajua atabadilika ikawa akinipigia ni anaomba tuu hela akipata kimya kwa sababu nilikua nampenda ikabdi niwe namtumia ila siku hyo nimeamka na moodiness akanicheki kama kawaida yake ananiomba hela kwanza alituma message ya salamu sikumjibu.. akatuma ya kuomba hela nikamuambia namba ipi? Akaniambia message yangu kwani hujaiona nikamuambia sitaki salmamu za kinafiki mimi maana wewe kila ukinitafuta unaomba hela wee alikasirika hatari... na hela sikutuma
Zikapita siku 2 mimi kimya akanicheki akaniambia ile siku ulinikera sana nikamjibu ndo hvo huo ndo ukweli akaniambia fuata mambo yako nikamjibu ok. Akatuma tena fuata mambo yako nika mjibu ok.. from that day mpaka leo hajawahi kunicheki na mimi hvo hvo sijawahi mcheki.. huu ni mwezi wa 4 penzi likafa Rasmi.
Iam not that cheap aisee alijua kuwa nitamshobokea na kumuomba msamaha.
Na wakati mwingine tukubali tuu ukweli kuwa upendo umeisha tusilazimishe.
Ukaribisho humble kabisa huu ashindwe yeye tuSawasawa.
Sasa mkuu karibu kweny chama chetu pendwa, mwenyekiti dronedrake atakupa muongozo, you only need to be open minded.
Yet you are hurting.Iam not that cheap aisee