Kaniambia huwa anaenda kunyoosha mbavu

Kaniambia huwa anaenda kunyoosha mbavu

Mama Sabrina

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2016
Posts
16,620
Reaction score
27,589
Mmmmmmhhh kuna mkaka huwa nawasiliana nae ,anasoma nchi za watu sasa yupo likizo,huwa ananitafuta sana na sasa ananisisitiza tukaishi wote Dar,mi kiukweli na Dar mbali mbali lile joto linanishinda halaf siwezi kwenda kuishi nae tu ye nani bwana.
Lakin pia sina future nae kiukweli japo ni mwanaume mzuri tu ana sura ya kuwalingishia maadui zangu wa jf marafiki wa mtaani kwetu,kiukweli ni handsome kwa kurusha roho tu anafaa ,ni mrefu huyo halaf mwembamba sio sana lakini ,nikamdanganya kuwa kuna vitu nafanya nikimaliza tu ntakuja Dar tuishi wote akasema poa.
Huwa simtafuti ananitafuta yeye mara nyingi ,kiukweli ana sauti nzuri sana ya mvuto huwa inanibembeleza[emoji6].
Leo nimetoka kwenye mishe zangu town mara huyo kapiga tukaongea weee,nikamuuliza hivi wewe hapo kitaa hawakusumbui wanawake na ulivyo unavutia hivyo akasema kawaida tu,huwa nanyoosha mbavu mara moja moja ,nikamuambia eeeeh akasema ndio maana we upo mbali sasa nikishikwa sana nyege inabidi nikanyooshe mbavu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila sina mahusiano nao akili yangu inakufikiria wewe,,, nacheka kama mazuri lakini ntafanyaje sasa,,nikamuuliza mara ya mwisho lini umenyoosha mbavu akasema juzi kuna dada aliamua tu kunitunuku ni rafiki wa sista angu na nilitumia condom ,maana muda mwingine nazidiwa nawe mpenzi upo mbali,nikawa kama namsikiliza tu akaniuliza umechukia nikamuambia hapana kabisa sijachukia,akaniuliza na wewe mara ya mwisho umefanya lini?nikamuambia nina muda mrefu kidogo akasema ok kwa hiyo nitakuja unitunuku nile[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22].

Ni wangapi wanaweza sema ukweli?ni bora kusema ukweli au kudanganya ,je kanifanyia vyema kuniambia?? ,anataka aishi na mimi kisa hamu zake au?
Mimi kama haupo moyoni siwezi kukuonea wivu,utanisimulia mambo yako yote najua hapa hakuna kitu ,,lakini nikipenda hata watu kumuangalia tu napatwa wivu

Nasisitiza ni mwanaume mzuri ana sauti nzurii,na mimi mwanaume mzuri ni ngumu sana kupindua,yaan huwa nakuwa mdogo kama piliton ndio udhaifu wangu sio kwa wote lakin kuna ladha zangu nazijua mimi haswa akiwa na muscles nikimuona tu nasisimka tu sijui ilikuwaje nikapenda hivyo,sijuii[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]nikipindua ujue nimesali sana na kufunga juu,Ee Mola ninusuru mimi,,kuna sehemu huwa Mungu ananisuru mpaka unashukuru tu kabisa na kufurahi

Nioombeeni Jamani niyashinde majaribu kesho naenda kwenye nini kule kanisani sijui kupakwa majivu,
Nawatakia upendo mwema msipendane tu siku ya valentine
tapatalk_1518554758377.jpg
 
Kwahiyo ndio umeamua kuja kuniandika huku eehhhh.....[emoji45] [emoji45] [emoji45]
Afadhali ungeniambia na tukayaongea yaishe, kuliko hivi ulivyo nifanyia....[emoji19] [emoji19]
[emoji23][emoji23][emoji23] hakuna baya
 
Are you serious ama unapoza machungu ya kuwa mpweke siku ya valentine?

anyway, umeshawahi kusikia msemo wa wahenga kuwa, "people will treat you how you want them to"
Kweli bana,,kesho ntakuwa na lizungu langu usiwe na shaka
Sijawah kuusikia nielezee kirefu
 
Back
Top Bottom