Timing, timing.... kila siku tunasema hapa, too early or too late is very bad kumtongoza demu, meaning inategemea na demu mwenyewe, wako wale wa maharage ya mbeya hao hawafai leo leo unakula mzigo sio hao naongelea, nasema mwanamke anayejiheshimu ukimtaka usiwahii sana au kuchelewa sana kumtongoza, sijui niseme vipi kuhusu timing ya kumtongoza na kumpata, mm najua, pia ushapu wa mwanaume, if u gooooo around the bush saaana humpati demu, SO THEIR IS A TIME WHEN U KICK A BALL U SCORE A GOAL, hapa ndio utundu unatakiwa, ndicho nisemacho, hapa demu hachomoi, kwani nitakuwa nimeshamandaa kisaikolojia sometime, kumfurahidha kwa vitu vidogo vidogo, then msupport, feel her, usichukue muuuda hapa, then shooot kumtongoza, kwani mazingira kabla hata ya kumwambia utayaona yamekamilika, then akikubali usichukue muda hata same day kaleeeee mzigo, tunawafundisha daily bana, gday